< Hosea 5 >

1 Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
Слышите сия, жерцы, и вонмите, доме Израилев, и доме царев, внушите, понеже к вам есть суд: яко пругло бысте стражбе, и якоже мрежа распростерта на Итавирии,
2 Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
юже ловящии лов поткнуша, Аз же наказатель вам:
3 Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
Аз познах Ефрема, и Израиль не отступи от Мене, зане ныне соблуди Ефрем, и осквернися Израиль:
4 Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
не положиша помышлений своих, еже возвратитися к Богу своему, яко дух блужения есть в них, и Господа не уведеша.
5 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
И смирится укоризна Израилева в лице ему, и Израиль и Ефрем изнемогут в неправдах своих, изнеможет же и Иуда с ними.
6 Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
Со овцами и телцы пойдут взыскати Господа и не обрящут Его, уклонися бо от них.
7 Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
Яко Господа оставиша, яко чада чужда породиша себе: ныне пояст я ржа, и причастия их.
8 Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
Вострубите трубою на холмех, возгласите на высоких, проповедите в Дому Онове, ужасеся Вениамин,
9 Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
Ефрем в пагубу бысть во дни наказания: в племенех Израилевых показах верная.
10 Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
Быша князи Иудины яко прелагающе пределы: на ня излию яко воду гнев Мой.
11 Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
Соодоле Ефрем соперника своего, попра суд, яко нача ходити вслед суетных.
12 Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
Аз же яко мятеж Ефремови и яко остен дому Иудину.
13 Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
И виде Ефрем немощь свою и Иуда болезнь свою: и иде Ефрем ко Ассирием и посла послы ко царю Иариму: и той не возможе изцелити вас, и не престанет от вас болезнь.
14 Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
Зане Аз есмь яко панфирь Ефремови и яко лев дому Иудину: и Аз восхищу, и пойду, и возму, и не будет изимаяй:
15 Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.
пойду и возвращуся на место Свое, дондеже погибнут, и взыщут лица Моего.

< Hosea 5 >