< Mwanzo 5 >
1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
アダムの傳の書は是なり神人を創造りたまひし日に神に象りて之を造りたまひ
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
彼等を男女に造りたまへり彼等の創造られし日に神彼等を祝してかれらの名をアダムと名けたまへり
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
アダム百三十歳に及びて其像に循ひ己に象りて子を生み其名をセツと名けたり
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
アダムのセツを生し後の齡は八百歳にして男子女子を生り
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
アダムの生存へたる齡は都合九百三十歳なりき而して死り
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
セツ百五歳に及びてエノスを生り
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
セツ、エノスを生し後八百七年生存へて男子女子を生り
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
セツの齡は都合九百十二歳なりき而して死り
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
エノス九十歳におよびてカイナンを生り
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
エノス、カイナンを生し後八百十五年生存へて男子女子を生り
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
エノスの齡は都合九百五歳なりき而して死り
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
カイナン七十歳におよびてマハラレルを生り
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
カイナン、マハラレルを生し後八百四十年生存へて男子女子を生り
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
カイナンの齡は都合九百十歳なりきしかして死り
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
マハラレル六十五歳に及びてヤレドを生り
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
マハラレル、ヤレドを生し後八百三十年生存へて男子女子を生り
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
マハラレルの齡は都合八百九十五歳なりき而して死り
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
ヤレド百六十二歳に及びてエノクを生り
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
ヤレド、エノクを生し後八百年生存へて男子女子を生り
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
ヤレドの齡は都合九百六十二歳なりき而して死り
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
エノク六十五歳に及びてメトセラを生り
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
エノク、メトセラを生し後三百年神とともに歩み男子女子を生り
23 Henoko aliishi miaka 365.
エノクの齡は都合三百六十五歳なりき
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
エノク神と偕に歩みしが神かれを取りたまひければをらずなりき
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
メトセラ百八十七歳に及びてレメクを生り
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
メトセラ、レメクを生しのち七百八十二年生存へて男子女子を生り
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
メトセラの齡は都合九百六十九歳なりき而して死り
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
レメク百八十二歳に及びて男子を生み
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
其名をノアと名けて言けるは此子はヱホバの詛ひたまひし地に由れる我操作と我勞苦とに就て我らを慰めん
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
レメク、ノアを生し後五百九十五年生存へて男子女子を生り
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
レメクの齡は都合七百七十七歳なりき而して死り
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.
ノア五百歳なりきノア、セム、ハム、ヤペテを生り