< Mwanzo 5 >

1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
Inilah daftar keturunan Adam. (Pada waktu Allah menciptakan manusia, dijadikan-Nya mereka seperti Allah sendiri.
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
Diciptakan-Nya mereka laki-laki dan perempuan. Diberkati-Nya mereka dan dinamakan-Nya mereka "Manusia".)
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
Ketika Adam berumur 130 tahun, ia mendapat anak laki-laki yang mirip dengan dirinya, lalu diberinya nama Set.
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
Setelah itu Adam masih hidup 800 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 930 tahun.
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Pada waktu Set berumur 105 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Enos.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
Setelah itu Set masih hidup 807 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 912 tahun.
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Pada waktu Enos berumur 90 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Kenan.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Setelah itu Enos masih hidup 815 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 905 tahun.
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Pada waktu Kenan berumur 70 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Mahalaleel.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Kenan masih hidup 840 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 910 tahun.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
Pada waktu Mahalaleel berumur 65 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Yared.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Setelah itu Mahalaleel masih hidup 830 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 895 tahun.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
Pada waktu Yared berumur 162 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Henokh.
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
Setelah itu Yared masih hidup 800 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 962 tahun.
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
Pada waktu Henokh berumur 65 tahun, ia mendapat anak laki-laki namanya Metusalah.
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
Setelah itu Henokh hidup dalam persekutuan dengan Allah selama 300 tahun. Ia mendapat anak-anak lain
23 Henoko aliishi miaka 365.
dan mencapai umur 365 tahun.
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
Karena Henokh selalu hidup akrab dengan Allah, ia menghilang karena diambil oleh Allah.
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
Pada waktu Metusalah berumur 187 tahun, ia mendapat anak laki-laki, namanya Lamekh.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Setelah itu Metusalah masih hidup 782 tahun lagi dan mendapat anak-anak lain.
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
Ia meninggal pada usia 969 tahun.
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Pada waktu Lamekh berumur 182 tahun, ia mendapat anak laki-laki.
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
Lamekh berkata, "Anak ini akan memberi keringanan pada waktu kita bekerja keras mengolah tanah yang dikutuk TUHAN." Karena itu Lamekh menamakan anak itu Nuh.
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
Setelah itu Lamekh masih hidup 595 tahun lagi. Ia mendapat anak-anak lain,
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
dan meninggal pada usia 777 tahun.
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.
Setelah Nuh berumur 500 tahun, ia mendapat tiga anak laki-laki, yaitu Sem, Yafet dan Ham.

< Mwanzo 5 >