< Mwanzo 5 >
1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
Ndondomeko ya mibado ya Adamu ndi iyi: Pamene Mulungu analenga munthu, anamulenga mʼchifaniziro cha Mulungu.
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
Iye analenga mwamuna ndi mkazi. Anawadalitsa ndipo anawatcha “Munthu.”
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
Pamene Adamu anali ndi zaka 130, anabereka mwana wamwamuna wofanana naye ndipo anamutcha Seti.
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
Atabadwa Seti, Adamu anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
Zaka zonse za Adamu zinali 930 ndipo anamwalira.
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Pamene Seti anali ndi zaka 105, anabereka Enosi.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
Atabadwa Enosi, Seti anakhala ndi moyo zaka zina 807 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
Zaka zonse za Seti zinali 912 ndipo anamwalira.
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Pamene Enosi anali ndi zaka 90, anabereka Kenani.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Atabadwa Kenani, Enosi anakhala ndi moyo zaka zina 815 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
Zaka zonse za Enosi pamodzi zinali 905 ndipo anamwalira.
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Pamene Kenani anali ndi zaka 70, anabereka Mahalaleli.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Atabadwa Mahalaleli, Kenani anakhala ndi moyo zaka zina 840 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
Zaka zonse za Kenani zinali 910, ndipo anamwalira.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
Pamene Mahalaleli anali ndi zaka 65, anabereka Yaredi.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Atabadwa Yaredi, Mahalaleli anakhala ndi moyo zaka zina 830 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
Zaka zonse za Mahalaleli zinali 895 ndipo anamwalira.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
Pamene Yaredi anali ndi zaka 162, anabereka Enoki.
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
Atabadwa Enoki, Yaredi anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
Zaka zonse za Yaredi zinali 962 ndipo anamwalira.
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
Pamene Enoki anali ndi zaka 65, anabereka Metusela.
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
Atabadwa Metusela, Enoki anayenda ndi Mulungu zaka 300 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
23 Henoko aliishi miaka 365.
Zaka zonse za Enoki zinali 365.
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
Enoki anayenda ndi Mulungu; ndipo iye sanaonekenso chifukwa Mulungu anamutenga.
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
Pamene Metusela anali ndi zaka 187, anabereka Lameki.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Ndipo atabadwa Lameki, Metusela anakhala ndi moyo zaka zina 782 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
Zaka zonse za Metusela zinali 969, ndipo anamwalira.
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Pamene Lameki anali ndi zaka 182, anabereka mwana wamwamuna.
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
Ndipo anamutcha Nowa ndipo anati, “Iyeyu adzatipumulitsa ku ntchito zathu zolemetsazi, zolima nthaka imene Yehova anayitemberera.”
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
Atabadwa Nowa, Lameki anakhala zaka zina 595 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
Zaka zonse za Lameki zinali 777, ndipo kenaka anamwalira.
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.
Pamene Nowa anali ndi zaka 500, anabereka Semu, Hamu ndi Yafeti.