< Mwanzo 13 >

1 Kwa hiyo Abram akaondoka akatoka Misri na akaenda Negebu, Yeye, mke wake, na vyote alivyokuwa navyo. Lutu pia akaenda pamoja naye.
A: ibala: me da Idibidi yolesili, gano asili, Ga: ina: ne soge amo ga (south) la: idi doaga: i. E da ea uda amola Lode oule, ea liligi huluane aguni asi.
2 Na sasa Abram alikuwa tajiri wa mifugo, fedha na dhahabu.
A: ibala: me da bagade gagui dunu esalu. E da sibi, goudi, bulamagau, silifa amola gouli bagohame gagui galu.
3 Aliendelea na safari yake kutoka Negebu hadi Betheli, mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo, kati ya Betheli na mji wa Ai.
Amalalu, amo soge yolesili asili, e da eno soge eno soge amoga asili, Bedele moilaiga doaga: musa: logo amoga asi. E da sogebi amo Bedele amola A: iai dogoa dialu, amoga e da musa: abula diasu moilai gaguia, amoga doaga: i dagoi.
4 Akaenda mahali ambapo madhabahu ilikuwa imejengwa mwanzoni. Hapa akaliitia jina la Yahwe.
Amo sogebi e da musa: oloda gagui galu. E da amo sogebi Hina Godema nodone sia: ne gadoi amola Hina Gode Ea Dioba: le Ema wei.
5 aliyekuwa anasafiri na Abram, alikuwa pia na ngo'mbe, makundi ya mifugo, na mahema.
Lode da sibi, goudi, amola bulamagau gaguiwane, A:ibala: mela lalu. Ea sosogo fi dunu amola ea hawa: hamosu dunu amogawi esalebe ba: i.
6 Nchi haikuwatosha wote kukaa pamoja karibu kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana, kiasi kwamba hawakuweza kukaa pamoja.
Amaiba: le, lai gebo bagohame esalebeba: le, ela da gilisili esaloma: ne sogebi amola gisi da fonabahadi ba: i.
7 Pia, kulikuwa na ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abram na wachunga wanyama wa Lutu. Wakanaani pamoja na Waperizi walikuwa wakiishi katika nchi ile wakati huo.
Amaiba: le, A:ibala: me ea lai gebo ouligisu dunu amola Lode ea lai gebo ouligisu dunu da sia: ga gegei. (Amo esoga, Ga: ina: ne fi amola Bilese fi da amo soge ganodini esalu)
8 Kwa hiyo Abram akamwambia Lutu, “Pasiwe na ugomvi kati yako na mimi, na kati ya wachunga wanyama wako na wachunga wanyama wangu; licha ya hayo sisi ni familia.
Amalalu, A:ibala: me da Lodema amane sia: i, “Ani da fidafa. Amaiba: le, ania hawa: hamosu dunu sia: ga gegemu da defea hame galebe.
9 Je nchi hii yote haiko mbele yako? Nenda na ujitenge na mi. Ikiwa utakwenda kushoto, mimi nitakwenda kulia. au ikiwa utakwenda kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
Ania afafamu da defea. Di fawane sia: ma! Dia hanai soge, di ilegema. Di da guma: soge lamusa: dawa: sea, defea, na da gusu lamu. Di da gusu lamusa: dawa: sea, na da guma: lamu.”
10 Kwa hiyo Lutu akatazama, na akaona kuwa nchi yote tambarare ya Yorodani ilikuwa na maji kila mahali hadi Zoari, kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri. Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora.
Lode da la: ididili amola la: ididili ba: lalu, e da Yodane Hano bega: soge huluane amo asili Soua moilaiga doaga: i. Amo hano la: ididili umi ida: iwane soge da hano bagade dialu, Idini Ifabi amola Idibidi soge amo defele ba: i. (Amo esoga Gode da Sodame amola Goumola hame wadela: lesi)
11 Kwa hiyo Lutu akajichagulia yeye mwenyewe nchi tambarare ya Yorodani na akasafiri mashariki, na ndugu hawa wakatengana wao kwa wao.
Amaiba: le, Lode da Yodane Hano umi soge lamusa: ilegei. E da eso maba la: ididili amoga asili, A:ibala: mema afafai.
12 Abram akaishi katika nchi ya Kanaani, na Lutu akaishi katika miji ya tambarare. Akatandaza hema zake hadi Sodoma.
A: ibala: me da Ga: ina: ne sogega esalu. Be Lode da moilale gagai amo Yodane Hano umiga dialu, amo dogoa fi galu. E da Sodame moilai bai bagade gadenenewane fi.
13 Na sasa watu wa Sodoma walikuwa waovu na wenye dhambi nyingi dhidi ya Yahwe.
Sodame dunu da Gode Ea hou higa: iba: le, wadela: i bagade hamosu dunu fi ba: i.
14 Yahwe akamwambia Abram baada ya Lutu kuondoka kwake, “Angalia kuanzia mahali ulipo simama hadi kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
Lode da afafane asi ba: loba, Hina Gode da A: ibala: mema amane sia: i, “Defea! Di soge huluane ba: ma! Eso maba la: ididili amola eso dabe gududili huluane ba: ma.
15 Nchi yote hii uionayo, nitakupatia wewe pamoja na uzao wako milele.
Amo soge huluanedafa Na da di amola digaga lalelegemu fi ilima imunu. Amo soge da di amola dia fi eso huluane mae yolesili dilia soge dialumu.
16 Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama mavumbi ya nchi, kiasi kwamba kama kuna mtu anaweza kuhesabu mavumbi ya nchi, ndipo na uzao wako pia utahesabika.
Na da dima mano bagohame imunu. Osobo bagade dunu da ilia idi idimu hamedeiwane ba: mu. Osobo dou afae afae idimu da hamedei. Amo defele digaga mano lalelegemu amo idimu da hamedei ba: mu.
17 Inuka, tembea katika urefu na upana wa nchi hii, kwa kuwa nitakupatia.”
Na da amo soge huluane dima imunu. Amaiba: le, amo soge huluane abodela masa.
18 Kwa hiyo Abram akachukua hema yake, akaja na kukaa katika mwaloni wa Mamre, ambao uko Hebroni, na pale akajenga Madhabahu ya Yahwe.
Amalalu, A:ibala: me da ea abula diasu mugululi, asili amo sema ifa ea dio amo Ma: malei amo Hibalone moilai bai bagade gadenene fi galu. Amogai e da Godema gobele salasu fafai (oloda) hamoi.

< Mwanzo 13 >