< Ezekieli 24 >
1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
and to be word LORD to(wards) me in/on/with year [the] ninth in/on/with month [the] tenth in/on/with ten to/for month to/for to say
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
son: child man (to write *Q(k)*) to/for you [obj] name [the] day [obj] bone: same [the] day [the] this to support king Babylon to(wards) Jerusalem in/on/with bone: same [the] day [the] this
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
and to use a proverb to(wards) house: household [the] rebellion proverb and to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God to set [the] pot to set and also to pour: pour in/on/with him water
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
to gather piece her to(wards) her all piece pleasant thigh and shoulder best bone to fill
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
best [the] flock to take: take and also to dwell [the] bone underneath: under her to boil boiling her also to boil bone her in/on/with midst her
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
to/for so thus to say Lord YHWH/God woe! city [the] blood pot which rust her in/on/with her and rust her not to come out: come from her to/for piece her to/for piece her to come out: send her not to fall: fall upon her allotted
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
for blood her in/on/with midst her to be upon bare crag to set: put him not to pour: pour him upon [the] land: soil to/for to cover upon him dust
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
to/for to ascend: rise rage to/for to avenge vengeance to give: put [obj] blood her upon bare crag to/for lest to cover
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
to/for so thus to say Lord YHWH/God woe! city [the] blood also I to magnify [the] pile
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
to multiply [the] tree: stick to burn/pursue [the] fire to finish [the] flesh and to mix [the] ointment pot/seasoning and [the] bone to scorch
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
and to stand: stand her upon coal her worthless because to warm and to scorch bronze her and to pour in/on/with midst her uncleanness her to finish rust her
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
toil be weary and not to come out: come from her many rust her in/on/with fire rust her
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
in/on/with uncleanness your wickedness because be pure you and not be pure from uncleanness your not be pure still till to rest I [obj] rage my in/on/with you
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
I LORD to speak: speak to come (in): come and to make: do not to neglect and not to pity and not to be sorry: relent like/as way: conduct your and like/as wantonness your to judge you utterance Lord YHWH/God
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
son: child man look! I to take: take from you [obj] desire eye your in/on/with plague and not to mourn and not to weep and not to come (in): come tears your
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
to groan to silence: silent to die mourning not to make headdress your to saddle/tie upon you and sandal your to set: put in/on/with foot your and not to enwrap upon mustache and food: bread human not to eat
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
and to speak: speak to(wards) [the] people in/on/with morning and to die woman: wife my in/on/with evening and to make: do in/on/with morning like/as as which to command
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
and to say to(wards) me [the] people not to tell to/for us what? these to/for us for you(m. s.) to make: do
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to say to(wards) them word LORD to be to(wards) me to/for to say
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
to say to/for house: household Israel thus to say Lord YHWH/God look! I to profane/begin: profane [obj] sanctuary my pride strength your desire eye your and compassion soul your and son: child your and daughter your which to leave: forsake in/on/with sword to fall: kill
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
and to make: do like/as as which to make: do upon mustache not to enwrap and food: bread human not to eat
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
and headdress your upon head your and sandal your in/on/with foot your not to mourn and not to weep and to rot in/on/with iniquity: crime your and to groan man: anyone to(wards) brother: compatriot his
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
and to be Ezekiel to/for you to/for wonder like/as all which to make: do to make: do in/on/with to come (in): come she and to know for I Lord YHWH/God
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
and you(m. s.) son: child man not in/on/with day to take: take I from them [obj] security their rejoicing beauty their [obj] desire eye their and [obj] burden soul: appetite their son: child their and daughter their
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
in/on/with day [the] he/she/it to come (in): come [the] survivor to(wards) you to/for report ear: to ears
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
in/on/with day [the] he/she/it to open lip your with [the] survivor and to speak: speak and not be dumb still and to be to/for them to/for wonder and to know for I LORD