< Danieli 1 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote.
in/on/with year three to/for royalty Jehoiakim king Judah to come (in): come Nebuchadnezzar king Babylon Jerusalem and to confine upon her
2 Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka katika nchi ya Babeli, kwa nyumba ya mungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.
and to give: give Lord in/on/with hand: power his [obj] Jehoiakim king Judah and from end article/utensil house: temple [the] God and to come (in): bring them land: country/planet Shinar house: temple God his and [obj] [the] article/utensil to come (in): bring house: home treasure God his
3 Mfalme akamwambia Ashipenazi, afisa wake mkuu, awalete baadhi ya watu wa Israeli, wa familia ya kifalme na za kiungwana -
and to say [the] king to/for Ashpenaz chief eunuch his to/for to come (in): bring from son: descendant/people Israel and from seed: children [the] kingship and from [the] noble
4 vijana wasio na hila, wenye mwonekano wa kuvutia, wenye ujuzi katika hekima yote, wenye kujawa na ufahamu na weledi, na wenye sifa za kutumika katika ikulu ya mfalme. Alitakiwa kuwafundisha maandiko na lugha ya Babeli.
youth which nothing in/on/with them all (blemish *Q(K)*) and pleasant appearance and be prudent in/on/with all wisdom and to know knowledge and to understand knowledge and which strength in/on/with them to/for to stand: stand in/on/with temple: palace [the] king and to/for to learn: teach them scroll: book and tongue: language Chaldea
5 Mfalme aliwatengea kwa ajili yao fungu kutoka katika chakula chake kizuri kwa kila siku na katika divai aliyokunywa. Vijana hawa walitakiwa kufunzwa kwa miaka mitatu, na baada ya hapo, wangeweza kumtumikia mfalme.
and to count to/for them [the] king word: portion day: daily in/on/with day: daily his from choice choice [the] king and from wine feast his and to/for to magnify them year three and from end their to stand: stand to/for face: before [the] king
6 Miongoni mwao walikuwa ni Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria, baadhi ya watu wa Yuda.
and to be in/on/with them from son: descendant/people Judah Daniel Hananiah Mishael and Azariah
7 Afisa mkuu aliwapa majina: Danieli alimwita Belteshaza, Hanania alimwita Shadraka, Mishaeli alimwita Meshaki, na Azaria alimwita Abedinego.
and to set: name to/for them ruler [the] eunuch name and to set: name to/for Daniel Belteshazzar and to/for Hananiah Shadrach and to/for Mishael Meshach and to/for Azariah Abednego Abednego
8 Lakini Danieli alinuia katika akili yake kuwa asingejitia ujanisi mwenyewe kwa chakula kizuri cha mfalme wala kwa divai ambayo alikunywa.
and to set: make Daniel upon heart his which not to defile in/on/with choice [the] king and in/on/with wine feast his and to seek from ruler [the] eunuch which not to defile
9 Basi, aliomba ruhusa kutoka kwa afisa mkuu ili kwamba asije akajitia uchafu yeye mwenyewe. Hivyo, Mungu alimpa Danieli kibali na huruma kupitia katika heshima ambayo afisa mkuu alikuwa nayo kwake.
and to give: give [the] God [obj] Daniel to/for kindness and to/for compassion to/for face of ruler [the] eunuch
10 Afisa mkuu alimwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme. Ameagiza aina ya chakula na vinywaji mnavyotakiwa kutumia. Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu kwa sababu yenu.
and to say ruler [the] eunuch to/for Daniel afraid I [obj] lord my [the] king which to count [obj] food your and [obj] feast your which to/for what? to see: see [obj] face of your to enrage from [the] youth which like/as youth your and to endanger [obj] head my to/for king
11 Kisha Daniel akamwambia msimamizi ambaye afisa mkuu alikuwa amemweka juu ya Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria.
and to say Daniel to(wards) [the] `steward` which to count ruler [the] eunuch upon Daniel Hananiah Mishael and Azariah
12 Alisema, “Tafadhari tujaribuni, sisi watumishi wako kwa siku kumi. Tupatieni tu mboga mboga za kula na maji ya kunywa.
to test please [obj] servant/slave your day ten and to give: give to/for us from [the] vegetable and to eat and water and to drink
13 Kisha ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano wa vijana wanaokula vyakula vya mfalme, na mtutendee, sisi watu wako kulingana na kile unachokiona.”'
and to see: see to/for face of your appearance our and appearance [the] youth [the] to eat [obj] choice [the] king and like/as as which to see: see to make: do with servant/slave your
14 Hivyo msimamizi alikubaliana naye kufanya hivi, na aliwajaribu kwa siku kumi.
and to hear: hear to/for them to/for word: thing [the] this and to test them day ten
15 Katika mwisho wa siku kumi mwonekano wao ulikuwa ni wenye afya nzuri kuliko wa wale vijana waliokula vyakula vya kifalme.
and from end day ten to see: see appearance their pleasant and fat flesh from all [the] youth [the] to eat [obj] choice [the] king
16 Basi, msimamizi aliliondoa fungu lao la chakula na vivywaji vyao na walipewa mboga mboga tu.
and to be [the] `steward` to lift: raise [obj] choice their and wine feast their and to give: give to/for them vegetable
17 Na kuhusu vijana hawa nne Mungu aliwapa uelewa na ufahamu katika maandiko yote na hekima, na Danieli aliweza kupambanua aina zote za maono na ndoto.
and [the] youth [the] these four their to give: give to/for them [the] God knowledge and be prudent in/on/with all scroll: book and wisdom and Daniel to understand in/on/with all vision and dream
18 Katika mwisho wa muda uliokuwa umepangwa na mfalme kuwaleta ndani, afisa mkuu aliwaleta mbele ya Nebukadneza.
and to/for from end [the] day which to say [the] king to/for to come (in): bring them and to come (in): bring them ruler [the] eunuch to/for face: before Nebuchadnezzar
19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia.
and to speak: speak with them [the] king and not to find from all their like/as Daniel Hananiah Mishael and Azariah and to stand: stand to/for face: before [the] king
20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote.
and all word: thing wisdom understanding which to seek from them [the] king and to find them ten hand: times upon all [the] magician [the] enchanter which in/on/with all royalty his
21 Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.
and to be Daniel till year one to/for Cyrus [the] king

< Danieli 1 >