< Kutoka 38 >

1 Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.
И начини од дрвета ситима олтар за жртве паљенице у дужину од пет лаката, и у ширину од пет лаката, четвороугласт, висок три лакта.
2 Halafu akafanya pembe zake kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.
И начини му на четири угла његова рогове; из њега излажаху рогови, и окова га у бронзу.
3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.
И начини све посуђе за олтар, лонце и лопатице и котлиће и виљушке и клешта; све му посуђе начини од бронзе.
4 Tena akaifanyia madhabahu kiunzi cha fito, mtandao wa shaba, chini ya ukingo wake, chini kuelekea katikati yake.
И начини олтару решетку као мрежу од бронзе испод олтара унаоколо ода дна до средине.
5 Halafu akatengeneza pete nne kwenye ile miisho minne karibu na kile kiunzi cha shaba, ili kuitegemeza ile miti.
И сали четири биочуга за четири угла решетке бронзане, да се кроз њих провуку полуге.
6 Bezaleli akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa shaba.
А полуге начини од дрвета ситима, и окова их у бронзу.
7 Kisha akaitia ile miti kwenye zile pete zilizo pande za madhabahu ili kuibeba. Akaifanya kuwa sanduku la mbao lenye uwazi.
И провуче полуге кроз биочуге с обе стране олтара, да се може носити, од дасака начини га шупљег.
8 Kisha akafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba. Kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
И начини умиваоницу бронзану и подножје јој бронзано од огледала која доношаху гомилама жене долазећи на врата шатору од састанка.
9 Naye akafanya ule ua. Upande unaokabili Negebu, kuelekea kusini, mapazia ya ua yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa, kwa mikono mia moja.
И начини трем на јужној страни, и завесе трему од танког платна узведеног од сто лаката,
10 Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha
И двадесет ступова за њих и двадесет стопица под њих од бронзе, а куке на ступове и преворнице од сребра.
11 Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini kulikuwa na mikono mia. Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
Тако и на северној страни завесе од сто лаката, двадесет ступова за њих и двадесет стопица под њих од бронзе; а куке на ступове и преворнице њихове од сребра;
12 Lakini kwa ajili ya upande wa magharibi mapazia yalikuwa mikono hamsini. Nguzo zake zilikuwa kumi na vikalio vyake kumi. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
А на западној страни завесе од педесет лаката, десет ступова за њих и десет стопица њихових од бронзе, куке на ступовима и појасеве њихове од сребра;
13 Na kwa ajili ya upande wa mashariki kulikuwa na mikono hamsini.
А на предњој страни према истоку завесе од педесет лаката;
14 Mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano kwa upande mmoja. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
С једне стране завесе од петнаест лаката, три ступа за њих и три стопице под њих;
15 Na kwa ajili ya upande ule mwingine, huu na ule, wa lango la ua, mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
А с друге стране, до врата од трема и отуда и одовуда, завесе од петнаест лаката, три ступа за њих и три стопице под њих.
16 Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa.
Сви завеси на трему унаоколо беху од танког платна узведеног;
17 Navyo vikalio vya nguzo vilikuwa vya shaba. Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha navyo vilifunikwa kwa shaba sehemu ya juu, na kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua.
А стопице под ступовима од бронзе, куке на ступовима и појасеви на њима од сребра; и врхови им беху сребрни; сви ступови у трему беху опасани сребром.
18 Nacho kisitiri cha lango la ua kilikuwa na mikono ishirini urefu. Cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, na urefu wake ulikuwa mikono ishirini, nacho kimo kotekote kilikuwa mikono mitano sawasawa na mapazia ya ua.
А завес на вратима од трема беше од порфире и од скерлета и од црвца и од танког платна узведеног, везен, у дужину од двадесет лаката а у висину по ширини пет лаката, као и други завеси у трему.
19 Na nguzo zake nne na vikalio vyake vinne vilikuwa vya shaba. Misumari yake ilikuwa ya fedha na utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha.
И четири ступа за њ, и четири стопице под њих од бронзе, чепови на њима од сребра и врхови им и појасеви од сребра.
20 Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba
А све коље шатору и трему унаоколо беше од бронзе.
21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda, vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi chini ya uongozi wa Ithamari mwana wa Aruni kuhani.
Те су ствари пребројане за шатор, шатор од сведочанства, које је пребројао по заповести Мојсијевој Итамар, син Арона свештеника за службу левитску.
22 Naye Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda alifanya yote ambayo Yahweh alikuwa amemwamuru Musa.
А Веселеило, син Урије сина Оровог од племена Јудиног, начини све то што заповеди Господ Мојсију,
23 Na pamoja naye alikuwa Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani, fundi na mtarizi na mfumaji wa uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora.
И с њим Елијав, син Ахисамахов од племена Дановог, дрводеља и вешт ткати и вести по порфири, по скерлету, по црвцу и по танком платну.
24 Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi katika kazi yote ya mahali patakatifu ikawa jumla ya dhahabu ya toleo la kutikisa, talanta ishirini na tisa na shekeli 730 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
А свега злата што отиде на ово дело, на све дело за светињу, које злато беше приложено, свега га беше двадесет и девет таланата, седам стотина и тридесет сикала, по светом сиклу;
25 Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
А сребра што дође од збора, сто таланата, и хиљада седам стотина и седамдесет и пет сикала, по светом сиклу;
26 ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
Пола сикла од главе, по сиклу светом, од сваког који уђе у број, од двадесет година и више, од шест стотина и три хиљаде и пет стотина и педесет.
27 Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza vikalio vya mahali patakatifu na vikalio vya lile pazia. Vikalio mia moja vilitoshana na talanta mia moja, talanta moja kwa kikalio kimoja.
Од сто таланата сребра салише се стопице за светињу и стопице за завес; сто стопица од сто таланата, таланат на стопицу.
28 Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja.
А од хиљаду и седам стотина и седамдесет и пет сикала начини куке на ступове, и окова им врхове и опаса их.
29 Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400.
А бронзе приложене беше седамдесет таланата, и две хиљаде и четири стотине сикала.
30 Naye akaitumia kufanya vile vikalio vya mwingilio wa hema la mkutano na ile madhabahu ya shaba na kile kiunzi chake cha shaba, na vyombo vyote vya madhabahu,
И од тога начини стопице на вратима шатора од састанка, и бронзани олтар и решетку бронзану за њ, и све справе за олтар,
31 na vile vikalio vya ua kuzunguka pande zote, na vile vikalio vya lango la ua, na misumari yote ya maskani na misumari yote ya ua kuzunguka pande zote.
И стопице у трему унаоколо, и стопице на вратима од трема, и све коље за шатор и све коље за трем унаоколо.

< Kutoka 38 >