< Kutoka 38 >
1 Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.
Uczynił też ołtarz na całopalenie z drzewa sytym, na pięć łokci wzdłuż, i na pięć łokci wszerz, czworogranisty, a na trzy łokcie wzwyż.
2 Halafu akafanya pembe zake kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.
I uczynił mu rogi na czterech węgłach jego; z niego wychodziły rogi jego, a obił je miedzią.
3 Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.
Poczynił też wszelakie naczynia do ołtarza, kotły, i miotły, i miednice, i widły, i łopaty, wszystkie naczynia jego uczynił z miedzi.
4 Tena akaifanyia madhabahu kiunzi cha fito, mtandao wa shaba, chini ya ukingo wake, chini kuelekea katikati yake.
Uczynił też do ołtarza kratę miedzianą na kształt sieci między okręgiem jego, od spodku aż do połowy jego.
5 Halafu akatengeneza pete nne kwenye ile miisho minne karibu na kile kiunzi cha shaba, ili kuitegemeza ile miti.
I ulał cztery kolce na czterech rogach kraty miedzianej, na zakładanie drążków.
6 Bezaleli akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa shaba.
Drążki także porobił z drzewa sytym, a obił je miedzią.
7 Kisha akaitia ile miti kwenye zile pete zilizo pande za madhabahu ili kuibeba. Akaifanya kuwa sanduku la mbao lenye uwazi.
I przewlókł drążki przez one kolce po stronach ołtarza, aby noszony był na nich; czczy z desek uczynił go.
8 Kisha akafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba. Kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
Uczynił też wannę miedzianą, i stolec jej miedziany ze zwierciadeł niewiast gromadą przychodzących, które przychodziły do drzwi namiotu zgromadzenia.
9 Naye akafanya ule ua. Upande unaokabili Negebu, kuelekea kusini, mapazia ya ua yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa, kwa mikono mia moja.
Uczynił i sień ku stronie południowej na południe, i opony sieni z białego jedwabiu kręconego, na sto łokci.
10 Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha
Słupów do nich dwadzieścia, i podstawków do nich dwadzieścia miedzianych, główki na słupiech, i okręcenia ich srebrne.
11 Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini kulikuwa na mikono mia. Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
Także na stronie północnej opon na sto łokci; słupów do nich dwadzieścia i podstawków do nich miedzianych dwadzieścia; główki na słupiech i okręcenia ich srebrne.
12 Lakini kwa ajili ya upande wa magharibi mapazia yalikuwa mikono hamsini. Nguzo zake zilikuwa kumi na vikalio vyake kumi. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
A zasię od zachodniej strony były opony na pięćdziesiąt łokci; słupów do nich dziesięć, i podstawków ich dziesięć; główki na słupiech, i okręcenia ich srebrne.
13 Na kwa ajili ya upande wa mashariki kulikuwa na mikono hamsini.
A na stronie przedniej ku wschodowi było opon na pięćdziesiąt łokci.
14 Mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano kwa upande mmoja. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
Opony na piętnaście łokci były po jednej stronie, słupów do nich trzy, i podstawków do nich trzy.
15 Na kwa ajili ya upande ule mwingine, huu na ule, wa lango la ua, mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
A po drugiej stronie, stąd i zowąd u bramy sieni, opon piętnaście łokci, słupów do nich trzy, także podstawków do nich trzy.
16 Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa.
Wszystkie opony sieni w około były z jedwabiu białego kręconego.
17 Navyo vikalio vya nguzo vilikuwa vya shaba. Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha navyo vilifunikwa kwa shaba sehemu ya juu, na kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua.
A podstawki słupów miedziane, główki na słupiech, i okręcenia ich srebrne, do tego przykrycie wierzchów ich srebrne, a były okręcane srebrem wszystkie słupy sieni.
18 Nacho kisitiri cha lango la ua kilikuwa na mikono ishirini urefu. Cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, na urefu wake ulikuwa mikono ishirini, nacho kimo kotekote kilikuwa mikono mitano sawasawa na mapazia ya ua.
Nad to zasłonę bramy u sieni uczynił robotą haftarską z hijacyntu, i z szarłatu i z karmazynu dwa kroć farbowanego, i z jedwabiu kręconego; na dwadzieścia łokci była długość jej, wysokość szeroka na pięć łokci, jako inne opony sieni.
19 Na nguzo zake nne na vikalio vyake vinne vilikuwa vya shaba. Misumari yake ilikuwa ya fedha na utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha.
A słupów do nich cztery, także podstawków ich cztery miedzianych; główki ich srebrne, i zakrycia wierzchów ich, także okręcenia ich srebrne.
20 Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba
Także wszystkie kołki przybytku, i sieni w około, były miedziane.
21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda, vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi chini ya uongozi wa Ithamari mwana wa Aruni kuhani.
Te są rzeczy policzone do przybytku, do przybytku świadectwa, które policzone były na rozkazanie Mojżeszowe przez Itamara, syna Aarona kapłana, ku usłudze Lewitom.
22 Naye Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda alifanya yote ambayo Yahweh alikuwa amemwamuru Musa.
A Besaleel, syn Urów, syna Churowego z pokolenia Judy, uczynił to wszystko, co był Pan rozkazał Mojżeszowi;
23 Na pamoja naye alikuwa Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani, fundi na mtarizi na mfumaji wa uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora.
A z nim Acholijab, syn Achysamechów z pokolenia Dan, cieśla, subtelny rzemieślnik, i haftujący na hijacyncie, i na szarłacie, i na karmazynie dwa kroć farbowanym, i na białym jedwabiu.
24 Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi katika kazi yote ya mahali patakatifu ikawa jumla ya dhahabu ya toleo la kutikisa, talanta ishirini na tisa na shekeli 730 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
Wszystkiego złota wynałożonego na samą robotę, na wszystką robotę świątnicy, które złoto było podarkowe, było dziewięć i dwadzieścia talentów, siedem set i trzydzieści syklów według sykla świątnicy.
25 Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
Srebra zasię od policzonych w poczet zgromadzenia sto talentów, i tysiąc siedem set siedmdziesiąt i pięć syklów według sykla świątnicy.
26 ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
Od każdej głowy pół sykla według sykla świątnicy, od wszystkich, którzy szli w liczbę, będąc we dwudziestu lat i dalej, których ludzi było sześć kroć sto tysięcy, i trzy tysiące, i pięćset, i pięćdziesiąt.
27 Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza vikalio vya mahali patakatifu na vikalio vya lile pazia. Vikalio mia moja vilitoshana na talanta mia moja, talanta moja kwa kikalio kimoja.
A było sto talentów srebra do odlewania podstawków świątnicy i podstawków zasłony; sto podstawków ze sta talentów; talent na podstawek.
28 Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja.
A z tysiąca, siedmiu set, siedmdziesiąt i pięciu syklów uczynił haki na słupy, i powlókł wierzchy ich, i przepasał je.
29 Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400.
Miedzi zaś ofiarowanej było siedmdziesiąt talentów, dwa tysiące i cztery sta syklów.
30 Naye akaitumia kufanya vile vikalio vya mwingilio wa hema la mkutano na ile madhabahu ya shaba na kile kiunzi chake cha shaba, na vyombo vyote vya madhabahu,
I uczynił z niej podstawki do drzwi namiotu zgromadzenia, i ołtarz miedziany, i kratę miedzianą do niego, także wszystko naczynie do ołtarza.
31 na vile vikalio vya ua kuzunguka pande zote, na vile vikalio vya lango la ua, na misumari yote ya maskani na misumari yote ya ua kuzunguka pande zote.
I podstawki do sieni w około; także podstawki bramy siennej, i wszystkie kołki przybytku, także kołki sieni w około.