< Mhubiri 10 >

1 Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
Xuddi ölük chiwinler ettarning etirini sésitiwétidighandek, azraqqine exmeqliq tarazida danaliq we izzet-hörmettinmu éghir toxtaydu.
2 Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
Danaliqning köngli onggha mayil, exmeqningki solgha.
3 Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
Exmeq kishi hetta yolda méngiwatqandimu, uning eqli kem bolghachqa, u exmeq ikenlikini hemmige ayan qilidu.
4 Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
Hökümdarning sanga achchiqi kelse, ornungdin istépa berme; chünki tinch-sewrichanliq xata-sewenliktin bolghan zor xapiliqni tinchitidu.
5 Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
Quyash astida yaman bir ishni kördumki, u hökümdardin chiqqan bir xata ishtur —
6 Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
exmeqler yuqiri mensepte, shuning bilen teng baylar pes orunda olturidu;
7 Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
men qullarning atqa min’genlikini, emirlerning qullardek piyade mangghanliqini kördum.
8 Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
Orini kolighan kishi uninggha yiqilishi mumkin; tamni buzghan kishini yilan chéqishi mumkin;
9 Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
tashlarni yötkigen kishi tash teripidin yarilinishi mumkin; otun yaridighan kishi xewpke uchraydu.
10 Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
Palta gal bolsa, birsi tighini bilimise, paltini küchep chépishqa toghra kélidu; biraq danaliq ademni utuq-muweppeqiyetke érishtüridu.
11 Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
Yilan oynitilmay turup, yilanchini chaqsa, yilanchigha néme payda?
12 Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
Dana kishining sözliri shepqetliktur; biraq exmeqning lewliri özini yutidu.
13 Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
Sözlirining béshi exmeqliq, ayighi rezil telwiliktur;
14 Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
emma exmeq yenila gepni köpeytidu. Biraq héchkim kelgüsini bilmeydu; uningdin kéyinki ishlarni kim uninggha éytalisun?
15 Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
Exmeqler japasi bilen özlirini upritidu; chünki ular hetta sheherge baridighan yolnimu bilmeydu.
16 Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
I zémin, padishahing bala bolsa, emirliring seherde ziyapet ötküzse, halinggha way!
17 Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
I zémin, padishahing mötiwerning oghli bolsa we emirliring keyp üchün emes, belki özini quwwetlesh üchün muwapiq waqtida ziyapet ötküzse, bu séning bexting!
18 Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
Hurunluqtin öyning torusi ghulay dep qalidu; qollarning boshluqidin öydin yamghur ötidu.
19 Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
Ziyapet külke üchün teyyarlinar, sharab hayatni xush qilar; lékin pul hemme ishni hel qilar!
20 Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.
Padishahqa lenet qilma, hetta oyungdimu tillima; hujrangdimu baylarni tillima; chünki asmandiki bir qush awazingni taritidu, bir qanat igisi bu ishni ayan qilidu.

< Mhubiri 10 >