< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
«Küylerning küyi» — Sulaymanning küyi.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
«U otluq aghzi bilen méni söysun; Chünki séning muhebbiting sharabtin shérindur.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Xushpuraqtur séning etirliring; Quyulghan puraqliq may séning namingdur; Shunglashqa qizlar séni söyidu. Könglümni özüngge mehliya qilghaysen — Biz sanga egiship yügüreyli! — Padishah méni öz hujrilirigha ekirgey!»
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
«Biz sendin xushal bolup shadlinimiz; Séning muhebbetliringni sharabtin artuq eslep teripleymiz».
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
«Ular séni durusluq bilen söyidu». — «Qara tenlik bolghinim bilen chirayliqmen, i Yérusalém qizliri! Berheq, Kédarliqlarning chédirliridek, Sulaymanning perdiliridek qarimen.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Manga tikilip qarimanglar, Chünki qaridurmen, Chünki aptap méni köydürdi; Anamning oghulliri mendin renjigen; Shunga ular méni üzümzarlarni baqquchi qildi; Shunga öz üzümzarimni baqalmighanmen».
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
«Hey, jénim söyginim, dégine, Padangni qeyerde baqisen? Uni kün qiyamida qeyerde aram alghuzisen? Hemrahliringning padiliri yénida chümperdilik ayallardek yürüshümning néme hajiti?»
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
«I qiz-ayallar arisidiki eng güzili, eger sen buni bilmiseng, Padamning basqan izlirini bésip méngip, Padichining chédiri yénida öz oghlaqliringni ozuqlandurghin».
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
«I söyümlüküm, men séni Pirewnning jeng harwilirigha qétilghan bir baytalgha oxshattim;
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Séning mengziliring tizilghan munchaqlar bilen, Boynung marjanlar bilen güzeldur.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Biz sanga kümüsh közler quyulghan, Altundin zibu-zinnetlerni yasap bérimiz».
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
«Padishah toy dastixinida olturghinida, sumbul melhimim puraq chachidu;
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
Méning söyümlüküm, u manga bir monek murmekkidur, U kökslirim arisida qonup qalidu;
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
Méning söyümlüküm manga En-Gedidiki üzümzarlarda ösken bir ghunche xéne gülidektur».
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
«Mana, sen güzel, amriqim! Mana, sen shundaq güzel! Közliring paxteklerningkidektur!»
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
«Mana, sen güzel, söyümlüküm; Berheq, yéqimliq ikensen; Bizning orun-körpimiz yéshildur;
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
Öyimizdiki limlar kédir derixidin, Wasilirimiz archilardindur.

< Wimbo wa Sulemani 1 >