< Torati 33 >
1 Hii ni baraka ambayo Musa mtu wa Mungu aliwabariki watu wa Israeli kabla ya kifo chake.
Mousese, Gode Ea fa: no bobogesu dunu, ea bogomu gadeneloba, da Isala: ili fi huluane amo hahawane dogolegele fidisu ba: ma: ne sia: i, amane,
2 Alisema: Yahwe alikuja kutoka Sinai na akainuka kutoka Seiri juu yao. Aling'ara kutoka mlima wa Paramu, na akaja na elfu kumi ya watakatifu. Katika mkono wake wa kuume radi zilimulika.
“Hina Gode da Sainai Goumi amoga misi. E da eso mabe agoai Idome sogega heda: i. E da Balane Goumia Ea fi dunuma Ea hadigi olelei. A: igele dunu 10,000agoane da E sigi misi. Ilia da Ea lobodafa dafulili lalu bagade agoane ba: i.
3 Kweli, anawapenda watu; watakatifu wake wote wapo mikononi mwako, na walimsujudu mguuni mwake; walipokea maneno yako.
Hina Gode da Ea fi dunuma asigisa. E da Ema fa: no bobogesu dunu gaga: lala. Amaiba: le, ninia da Ea emoga begudusa amola Ea hamoma: ne sia: i amoma fa: no bobogesa.
4 Musa alituamuru sheria, urithi kwa kusanyiko la Yakobo.
Ninia da Sema amo Mousese da ninima i, amoma fa: no bobogesa. Amoma ninia nodosa amola amo da ninia gagui liligi huluane bagadewane baligisa.
5 Kisha pakawa na mfalme Yeshurumu, pale ambapo wakuu wa watu walipokusanyika, makabila yote ya Israeli pamoja.
Isala: ili fi dunu ilia amola ilia ouligisu dunu da gilisibiba: le, ilia da Hina Gode ilima Hina Bagade hamoi.”
6 Acha Rubeni aishi na asife, lakini wanaume wake wawe wachache.
Mousese daLiubenefi ilia hou amane olelei, “Liubene fi dunu da bagahame esala. Be ilia da hamedafa bogomu da defea.”
7 Hii ni baraka ya Yuda. Musa akasema: Sikiliza sauti ya Yuda, Yahwe, na umlete kwa watu wake tena. Mpiganie; kuwa msaada dhidi ya maadui wake.
E daYudafi ilia hou amane olelei, “Hina Gode! Ilia Di fidimusa: webeba: le, nabima! Dia ili eno Isala: ili fi ilima bu gilisima! Hina Gode, ilima ha lai da ilima hasalasisa: besa: le, ilia gegesu fidima!
8 Kuhusu Lawi, Musa akasema: Thumimu yako na Urimu yako ni ya mtakatifu wako, yule uliyemjaribu kule Masa, ambaye ulishindana naye katika maji ya Meriba.
E daLifaifi ilia hou amane olelei, “Hina Gode! Dia noga: i hawa: hamosu dunu, amo Lifai fi da Dia hanai ninima olelesa. Ilia Iulimi amola Damini ba: sea, olelesa. Di da Masa hano amoga ilia hou adole ba: su amola Meliba hano amoga ilia dafawaneyale dawa: su hou ba: i dagoi.
9 Mtu aliyesema juu ya baba na mama yake, “Sijawaona.” Wala hakuwatambua kaka zake, wala hakuzingatia juu ya watoto wake wenyewe. Kwa maana alilinda neno lako na kushika agano lako.
Ilia Dima asigi hou da ilia eda, ame, olalali amola manolali ilima asigi hou baligi. Ilia da Dia sia: i amo nabawane hamoi amola Dia gousa: su hame yolesi.
10 Anafundisha Yakobo maagizo yako na Israeli sheria yako. Ataweka ubani mbele yako na sadaka kamili ya kuteketezwa juu ya dhabahu lako.
Ilia da Dia fi Dia sema amoma fa: no bobogema: ne olelemu. Ilia da Dia oloda da: iya gobele salasu hamomu.
11 Bariki mali zake, Yahwe, na kubali kazi ya mikono yake. Vunja viuno vya wale wanaoinuka dhidi yake, na wale watu wanaomchukia, ili wasiinuke tena.
Ilia fi da gasa bagade heda: ma: ne, Di, Hina Gode, fidima. Ilia hou hahawane ba: ma. Ilima ha lai amo bu mae wa: legadoma: ne, gugunufinisima.”
12 Kuhusu Benyamini, Musa akasema: Yule anayependwa na Yahwe anaishi kwa usalama kando yake; Yahwe anamkinga siku nzima, naye huishi katikati ya mikono ya Yahwe.
E daBediaminifi ilia hou amane olelei, “Amo fi ilima Hina Gode da asigisa amola gaga: sa. E da eso huluane ili ouligisa. E da ilia gilisisu ganodini esalebe.
13 Kuhusu Yusufu, Musa akasema: Nchi yake na ibarikiwe na Yahwe na vitu vya thamani vya mbinguni, na umande, na kina kilalacho chini.
E daYousefefi ilia hou amane olelei, “Hina Gode da Yousefe ea soge amo gibuga hahawane dogolegele fidimu da defea. Amola hano osobo hagudu diala amo ema imunu da defea.
14 Nchi yake na ibarikiwe na vitu vya thamani mavuno ya jua, na vitu vya thamani mazao ya miezi,
E da noga: le fidibiba: le, ea fi da ha: i manu fage noga: iwane oubi huluane amoga ba: mu da defea.
15 kwa vitu vizuri vya milima ya zamani, na kwa vitu vya thamani vya milima ya milele.
Hina Gode da ilia goumi E hemone hamoi, amo ha: i manu fage amoga dedebomu da defea.
16 Nchi yake ibarikiwe na vitu vya thamani vya ardhi na wingi wake, na kwa mapenzi mema ya yule aliyekuwa kichakani. Baraka na ifike juu ya kichwa cha Yusufu, na juu ya kichwa cha yule aliyekuwa mwana wa mfalme kwa kaka zake.
Ilia soge da noga: i liligi amoga nabai ba: mu da defea. Liligi huluane amo Hina Gode musa: ifa fonobahadi laluga nenanu amo ganodini Mousesema sia: i, amo da hahawane dogolegelewane fidibiba: le liligi huluane da noga: i ba: mu. Yousefe da yolalali fi amo ganodini dialuma agoane hamoiba: le, amo hahawane dogolegele fidisu hou da ema doaga: mu da defea.
17 Mzawa wa kwanza wa ng’ombe, katika utukufu wake, na pembe zake ni pembe za ng’ombe mwitu. Kwa hawa atawasukuma watu, wote, hadi mwisho wa ulimwengu. Hawa ni maelfu makumi ya Efraimu; hawa ni maelfu wa Manase.
Yousefe da magobo bulamagau mano gawali defele gasa bagade gala. E da bulamagau sigua bese (hono) gala. Ea hono da fedege agoane fi ilia dunu osea: i gala-Mana: seamolaIfala: imeilia dunu osea: idafa gala. Amo hono amoga e da fifi asi gala huluane sone, osobo bagade bega: bega: fuli fasisa.”
18 Kuhusu Zabuloni, Musa alisema: Furahi, Zabuloni, katika kutoka kwako, na wewe, Isakari, katika mahema yako.
E daSebiulane fi amolaIsagafi ilia hou amane olelei, “Sebiulane da hano wayabo bagadega ahoasea, hahawane ba: mu da defea. Amola Isaga fi dunu da ilia soge ganodini esalea, ilia gagui da hahawane heda: ma: mu.
19 Watawaita watu hadi milimani. Huko watatoa sadaka za utakatifu. Maana watanyonya wingi wa bahari, na mchanga wa ufukweni.
Ilia da ga fi dunu amo ilia goumi sogega misa: ne sia: sa amola amogawi gobele salasu defele hamosa. Ilia labe huluane ilia hano wayabo bagade bega: amola hano bagade ganodini laha.”
20 Kuhusu Gadi, Musa alisema: Abarikiwe yule amkuzaye Gadi. Ataishi pale kama simba jike, naye atanyakua mkono au kichwa.
E daGa: defi ilia hou amane olelei, “Hina Gode da Ga: de ea soge bagade hamoiba: le, Ema nodomu da defea. Ga: de da gasonasu laione wa: me agoane dunu eno ilia lobo o dialuma amo gasona.
21 Alitoa sehemu nzuri kwake mwenyewe, maana kulikuwa na fungu la ardhi la kiongozi lililohifadhiwa. Alikuja na vichwa vya watu. Alitekeleza haki ya Yahwe na maagizo yake pamoja na Israeli.
Ga: de fi da soge baligili noga: i amo ilisu fima: ne ilegei. Na da ouligisu dunu ea sogebi defele ema i dagoi. Isala: ili fi ouligisu dunu da gilisisia, Ga: de fi dunu da Hina Gode Ea sia: amola Ea sema amoma noga: le fa: no bobogei.”
22 Kuhusu Dani, Musa alisema: Dani ni mwana wa simba arukaye kutoka Bashani.
E daDa: nefi ilia hou agoane olelei, “Da: ne da laione wa: me mano agoane. E da Ba: isia: ne sogega soagala: sa.”
23 Kuhusu Naftali, Musa alisema: Naftali, aliyeridhika na fadhila, na kujaa kwa baraka za Yahwe, miliki nchi iliyopo magharibi na kusini.
E daNa: fadalaifi ilia hou amane olelei, “Na: fadalai da Hina Gode Ea hahawane dogolegele fidisu hou bagadewane ba: sa. Ilia soge da Ga: lili Hano Wayabo amoga ga (south) amodili ahoa.”
24 Kuhusu Asheri, Musa alisema: Abarakiwe Asheri Zaidi ya watoto wengine wa kiume; naye akubalike kwa kaka zake, na achovye mguu wake ndani ya mafuta ya zeituni.
E daA: siefi ilia hou amane olelei, “A: sie ilima hahawane dogolegele fidisu hou da eno fi ilima hahawane dogolegele fidisu hou baligisa. Yolalali da ema asigimu da defea amola ea soge amo ganodini olife ifa bagohame ba: mu da defea.
25 Vyuma vya mji wako na viwe chuma na shaba; kama vile siku zako zitakavyokuwa, ndivyo usalama wako utakavyokuwa.
Ea moilai amo da ouli logo ga: suga gaga: mu da defea amola e da amo moilai ganodini olofoiwane hahawane esalumu da defea.”
26 Hakuna aliye kama Mungu, Yeshurumu – aliyekamili, anayeendesha katika mbingu kukusaidia, na katika utukufu wake juu ya mawingu.
Isala: ili dunu! Dilia Gode da eno ‘gode’ liligi bagadewane baligisa. E da hadigiwane, mu amoga fila heda: le, mumobi amoga fila heda: le dili fidima: ne maha.
27 Mungu wa milele ni kimbilio, na chini yake kuna mikono ya milele. Husukuma adui mbele yako, naye alisema, “Angamiza!”
Eso huluane Esalalalumu Gode da dilia Gaga: su. Ea eso huluane esalalalumu lobo da dili gaguiba: le, hame yolesimu. Dilia da gusuba: i ahoasea, Hi da dilima ha lai amo sefasi. E da dili amo dunu huluane gugunufinisima: ne sia: i.
28 Israeli waliishi katika usalama. Wana wa Yakobo walikuwa salama katika nchi ya nafaka na divai mpya; hakika, mbingu na idondoshe umande juu yake.
Amaiba: le, Ya: igobe egaga fi da soge amo gagoma amola waini amoga nabai gala amola gibuga noga: le hahamoi amo ganodini olofoiwane esalumu.
29 Baraka zako ni nyingi, Israeli! Nani kama wewe, watu waliokombolewa na Yahwe, ngao ya msaada wako, na upanga wa utukufu wako? Maadui zako watakuja kwako kwa kutetemeka; utakanyanga sehemu zao zilizoinuka.
Isala: ili fi! Dilia da hahawane bagade. Hina Gode da dili gaga: i dagoiba: le, dunu fi dili defele da hame gala. Hina Gode Hisu da dilia gaga: su liligi amola dilia gegesu gobihei. Hisu da dili gaga: mu amola dilia ha lai dunuma gegebeba: le, dilia da ili hasalimu. Dilima ha lai dunu da dilima, ‘Ninima asigima!’ sia: na misunu amola dilia da ili osa: gili banenesimu.