< Matendo 16 >
1 Paulo pia alipokuja Derbe na Lystra; na tazama, pale palikuwepo na mwanafunzi aitwaye Timotheo, ni Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini na baba yake ni Mgiriki.
Bolo da asili, Debe moilaiga doaga: le, yolesili asili, Lisadala moilaiga doaga: i. Amo moilai ganodini Yesu Ea fa: no bobogesu dunu ea dio amo Dimodi esalu. Ea ame da Gode Ea hou lalegagui Yu uda esalu, be ea ada da Galigi dunu.
2 Watu wa Listra na Ikonia walimshudia vizuri.
Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu Lisadala amola Aigouniame moilai amo ganodini esalu, ilia huluane da Dimodi ea hou hahawane ba: i.
3 Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwako huko kwani wote walimjua kuwa baba yake ni Mgiriki.
Bolo da Dimodi sigi masunu dawa: beba: le, ea gadofo damui. Yu dunu huluane amo soge ganodini ilia Dimodi eda da Galigi dunu dawa: i. Amo dawa: beba: le, e da Dimodi ea gadofo damui.
4 Walipokuwa wakienda walipita kwenye miji na kutoa maagizo kwa makanisa ili kuyatii maagizo hayo yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu.
Ilia moilai enoma enoma asili, ilia da Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunuma, Yelusaleme moilai bai bagade fi, asunasi dunu amola sese asigilai dunu ilia fofada: su liligi olelei. Amola amo sema nabawane hamoma: ne sia: i.
5 Hivyo makanisa yakaimarishwa katika imani na walioamini wakaongezeka kwa idadi kila siku.
Amaiba: le, sese fi dunu ilia dafawaneyale dawa: su hou da asigilalu. Eno dunu da ilima gilisiba: le, ilia idi da bagade heda: su.
6 Paulo na mwenzake wakaenda Firigia na Galatia, kwani Roho wa Mungu aliwakataza kuhubiri neno huko kwenye jimbo la Asia.
Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da ilima amo A: isia soge ganodini Gode Sia: olelemu da logo hame gala, olelei. Amaiba: le, ilia Falidia amola Gala: isia, amo soge ganodini lalu.
7 Walipokaribia Misia, walijaribu kwenda Bithinia, lakini Roho wa Yesu akawakataza.
Ilia Misia soge alalo amoga doaga: le, ilia Bidinia soge ganodini masunu dawa: i galu. Be Yesu Gelesu Ea A: silibu Hadigidafa Gala da logo hame gala olelebeba: le, yolesi.
8 Kwa hiyo wakapita Misia wakaja mpaka Mji wa Troa.
Amaiba: le, ilia Misia soge baligili, Daloua: se moilai bai bagadega doaga: i.
9 Maono yalimtokea Paulo usiku, kulikuwa na mtu wa Makedonia amesimama, akimwita na kusema “Njoni mtusaidie huku Makedonia”.
Amo gasiga, Bolo da ea asigi dawa: su ganodini esalawane ba: i. E da Ma: sidounia dunu lelu ema ha: giwane agoane adole ba: lalebe ba: i, “Nini fidimusa: , Ma: sidounia sogega misa!” agoane ba: i.
10 Paulo alipoona maono, mara tukajiandaa kwenda Makedonia, akijua kwamba Mungu alituita kwenda kuwahubiria injili.
Bolo da amo esalu ba: su ba: beba: le, ninia da Ma: sidounia sogega masa: ne momagei. Bai Gode da nini amo dunuma Ea Sia: Ida: iwane olelema: ne ninima wei dagoi, ninia dawa: i.
11 Hivyo tukaondoka kutoka Troa, tukaenda moja kwa moja Samothrake, na siku iliyofuata tukafika mji wa Neapoli.
Daloua: se moilai bai bagade yolesili, ninia foga ahoasu dusagai amo ganodini fila heda: le, moloiwane asili, Sa: moudala: isi oga amoga doaga: le, golale, asili, Nia: boulisi moilai bai bagadega doaga: i.
12 Kutoka hapo tukaenda Filipi ambao ni moja ya mji wa Makedonia, mji muhimu katika wilaya na utawala wa Kirumi na tukakaa siku kadhaa.
Dusagai fisili, ninia soge amo golili, Filibai moilaiga doaga: i. Filibai da Ma: sidounia soge amo ganodini bisili moilai dialu. Louma gamane da amo moilai ouligisu. Amo ganodini ninia eso bagahame agoane esalu.
13 Siku ya Sabato, tulikwenda nje ya lango kwa njia ya mto, sehemu ambayo tulidhania kutakuwa na mahali pa kufanyia maombi. Tulikaa chini na kuongea na akinamama waliokuja pamoja.
Sa: bade esoga ninia moilai yolesili gadili asili, Yu dunu ilia hano bega: Godema sia: ne gadomusa: gilisisu amo ninia dawa: beba: le, amo sogebi hogolalu. Uda da gilisibi ba: loba, ninia amola fili, ilima sia: dasu.
14 Mwanamke mmoja aitwaye Lidia, muuzaji wa zambarau, kutoka katika mji wa Tiatira, mwenye kumwabudu Mungu, alitusikiliza. Bwana alimfungua moyo wake na kuweka maanani maneno yaliyosemwa na Paulo.
Amo uda gilisisu da ninia sia: nabi. Uda afae ea dio amo Lidia. E da Daiadaila esalu uda, amola ea hawa: hamosu da abula ogaiyei bidi lasu. E da Godema nodosu hou hanai galu. Amalalu, Bolo da sia: beba: le, Hina Gode da Lidia ea dogo ganodini olelebeba: le, e Bolo ea sia: hanaiwane nababeba: le, lalegagui.
15 Baada ya kubatizwa, yeye na nyumba yake yote, alitusihi akisema “kama mmeniona kuwa mimi ni mwaminifu katika Bwana, basi nawasihi muingie na kukaa kwangu”. Akatusihi sana.
E amola dunu amola uda, huluane ea diasu ganodini esalu, da hanoga fane sanasinanu, e ninima amane sia: i, “Na da Yesu Gelesu Ea hou moloiwane lalegagui dagoi amo dilia dafawaneyale dawa: i galea, na diasuga ouesalumusa: misa.” E da ninima ha: giwane adole ba: beba: le, ninia da ea diasuga ouesalumusa: asi.
16 Ikawa kwamba, tulipokuwa tunaenda mahali pa kuomba, msichana mmoja aliyekuwa na pepo la utambuzi akakutana nasi. Alimletea bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
Eso afaega, ninia sia: ne gadosu sogebi doaga: musa: ahoanoba, muniga bidi lai udigili hawa: hamosu a: fini da ninima doaga: i. Ea dogo ganodini Fio mano aligila sa: iba: le, amo ea gasaga e da ba: la: lusu hou hamosu. E da fa: no misunu hou eno dunuma olelebeba: le, ilia da muni bagade amo a: fini ea ouligisu dunuma iasu.
17 Mwanamke huyu alimfuata Paulo pamoja na sisi, akipiga kelele na kusema “Hawa wanaume ni watumishi wa Mungu aliye Mkuu, wanaowatangazia ninyi habari ya wokovu”.
E da Bolo amola ninima fa: no bobogele, bagadewane amane wele sia: nanu, “Amo dunu da ‘gode’ huluanema baligisu Gode, amo Ea hawa: hamosu dunu. Ilia da dilima gaga: su logo olelemu!”
18 Alifanya hivyo kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa amekasirishwa na tendo hilo, aligeuka nyuma na kumwambia pepo, “Nakuamuru kwa Jina la Yesu umtoke ndani yake.” Naye akatoka na kumwacha mara moja.
Amo hou e da eso bagohame amoga hamobeba: le, Bolo da da: i dioi bagade ba: i. E da sinidigili, wadela: i a: silibu amo a: fini ea dogo ganodini esalu amoma amane sia: i, “Yesu Gelesu Ea Dioba: le, di amo a: fini ea dogoga fadegale fasima!” Amogaluwane, Fio liligi da mugului dagoi.
19 Mabwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limeondoka, waliwakamata Paulo na Sila na kuwaburuza sokoni mbele ya wenye mamlaka.
Be amo a: fini ea ouligisu dunu da ilia muni lamu logo damui dagoi ba: beba: le, ilia Bolo amola Sailase gagulaligili, fofada: su dunu amo fofada: su soge bidi lama: ne diasu soge amo ganodini dialu, amoga hiouginana asi.
20 Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema, “Hawa wanaume ni Wayahudi na wanasababisha ghasia kubwa katika mji wetu.
Ilia da Louma fofada: su dunuma doaga: loba, amane sia: i, “Amo dunu da Yu dunu. Ilia sia: ga gegesu ninia moilai ganodini wili gala: sa.
21 Wanafundisha mambo ambayo siyo sheria sisi kuyapokea wala kuyafuata kama Warumi.”
Ilia hou ninia sema wadela: musa: olelesa. Ninia da Louma fi dunu esala. Amaiba: le ninia da ili hou hamomu amo da hamedei!”
22 Umati ukawainukia kinyume Paulo na Sila, mahakimu wakararua nguo zao na kuwavua na kuamuru wachapwe viboko
Dunu huluane gilisi da amo dunu fidimusa: , Bolo amola Sailase, elama sia: ga gegei. Amalalu, Louma fofada: su dunu da Bolo amola Sailase, ela abula gadelale fadegale fasili, dadi gagui dunu da ela fegasuga fama: ne sia: i.
23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, waliwatupa gerezani na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vyema.
Ha: giwane fananu, ilia da ela se dabe iasu diasu ganodini ha: digi. Se dabe iasu diasu ouligisu dunuma logo noga: le ga: sima: ne sia: i.
24 Baada ya kupokea amri hiyo, askari wa gereza aliwatupa katika chumba cha ndani ya gereza na kuwafunga miguu yao kwenye sehemu alipowahifadhi.
Amo sia: nababeba: le, se dabe iasu diasu ouligisu dunu e da Bolo amola Sailase, se dabe iasu diasu ganodinidafa, amo ganodini sali. Ela mae masa: ne, ela emo e da dioi bagade ifa amo ganodini la: gi.
25 Wakati wa usiku wa manane, Paulo na Sila wakawa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwasikiliza,
Gasimogoa, Bolo amola Sailase, Godema sia: ne gadosa amola Gode Ea gesami hea: lalebe ba: i. Eno se dabe iasu diasu ganodini sali dunu huluane da nabalu.
26 Ghafla kukatokea tetemeko kuu na misingi ya gereza ikatikiswa, milango ya gereza ikafunguka, na minyororo ya wafungwa wote ikalegezwa.
Amalaloba, bebeda: nima bagade misi. Gasa bagadeba: le, se dabe iasu diasu amola se dabe iasu diasu lelu soge, da bagadewane ugugui. Hedolowane, se dabe iasu diasu logo huluane doasili, se dabe iasu diasu dunu huluane ili sia: ine la: gi udigili fadegai dagoi ba: i.
27 Mlinzi wa Gereza aliamka kutoka usingizini na akaona milango yote ya gereza imefunguliwa; hivyo akachukua upanga wake maana alitaka kujiua kwa sababu alifikiri wafungwa wote walikwishatoroka,
Se dabe iasu diasu ouligisu dunu e da nedigili, wa: legadole, logo doasi dagoi ba: beba: le, se dabe iasu diasu sali dunu huluane da hobea: i dagoi, e agoane dawa: i galu. Amaiba: le, ea gobihei bagade duga: le gadole, hi da: i hi gobele medomusa: dawa: i galu.
28 Lakini, Paulo akapiga kelele kwa sauti kuu, akisema “usijidhuru kwa sababu wote tuko mahali hapa”.
Be Bolo da ema halagala: le amane sia: i, “Dia da: i mae medoma! Ninia huluane guiguda: esala!”
29 Mlinzi wa gereza aliomba taa ziletwe na akaingia ndani ya gereza kwa haraka, akitetemeka na kuogopa, akawaangukia Paulo na Sila,
Se dabe iasu diasu ouligisu dunu da ea hawa: hamosu dunu amo ema gamali gaguli misa: ne sia: i. E da se dabe iasu diasu ganodini hehenane, beda: iba: le e da Bolo amola Sailase, amo ela emo gadenenewane yaguguli diasa: i.
30 na kuwatoa nje ya gereza na kusema, “Waheshimiwa, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
Amalalu, e da ela lobolele gadili oule asili, elama adole ba: i, “Ada! Na gaga: ma: ne adi hamoma: bela: ?”
31 Nao wakamwambia, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.”
Ela bu adole i, “Di da Hina Gode Yesu Gelesu dafawaneyale dawa: sea, lalegagusia, di amola dia sosogo fi da gaga: su ba: mu.”
32 Walinena neno la Bwana kwake, pamoja na watu wote wa nyumbani kwake,
Amalalu ela Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala ema amola dunu huluane amo diasu ganodini esalu, ilima olelei.
33 Mlinzi wa gereza aliwachukua usiku ule na kuwaosha sehemu walizoumia, yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa mara.
Amalalu, se dabe iasu diasu ouligisu dunu da ela la: ididili oule asili, ela fa: gi amola fofai dodofei. E amola ea sosogo fi, huluane gilisili hanoga fane sanasi.
34 Akawaleta Paulo na Sila nyumbani kwake na kuwatengea chakula. Naye akawa na furaha kuu pamoja na watu wa nyumbani mwake kwa sababu walimwamini Mungu.
Amalalu, e da Bolo amola Sailase, bu ea diasuga oule heda: le, elama ha: i manu i. E amola ea sosogo fi, da Gode Ea hou waha dafawaneyale dawa: beba: le, hahawane bagade ba: i.
35 Ilipokuwa mchana, mahakimu walituma ujumbe kwa yule mlinzi wa gereza wakisema, “Waruhusu wale watu waende”,
Golale hahabe, Louma Gamane fofada: su dunu da dadi gagui dunu se dabe iasu diasu ouligisu dunuma, Bolo amola Sailase, gadili masa: ne se dabe iasu diasu logo doasima: ne sia: musa: asunasi.
36 Mlinzi wa gereza akamjulisha Paulo juu ya maneno hayo ya kuwa, “Mahakimu walituma ujumbe niruhusu mwondoke: hivyo tokeni nje na mwende kwa amani.”
Amaiba: le, se dabe iasu diasu ouligisu dunu da Boloma amane sia: i, “Fofada: su dunu da di amola Sailase masa: ne, se dabe iasu diasu logo doasima, amo adomusa: , dunu asunasi dagoi. Amaiba: le, alia wali olofoiwane masunu da defea.”
37 Lakini Paulo akawaambia, “Walitupiga hadharani, watu ambao ni Warumi bila kutuhukumu na waliamua kututupa gerezani; halafu sasa wanataka kututoa kwa siri? Hapana, haitawezekana, wao wenyewe waje kututoa mahali hapa”.
Be Bolo da dadi gagui dunuma amane adole i, “Ilia da ania da wadela: i hou hamoi hamedafa ba: i. Be ilia dunu huluane ba: ma: ne, ani bagade fasu. Ania amola da Louma fi dunu esala. Amalalu, ilia ani se dabe iasu diasu ganodini ha: digi. Be wali ilia ani wamowane gadili asunasimusa: dawa: sa. Hame mabu! Louma fofada: su dunu ilisu misini, asigiwane ani se dabe iasu diasu logo ilisu doasimu da defea!”
38 Walinzi wakawajulisha mahakimu juu ya maneno hayo, mahakimu wakaogopa sana pale walipojua kuwa Paulo na Sila ni Warumi.
Dadi gagui dunu da buhagili, Louma fofada: su dunuma amo sia: olelei. Bolo amola Sailase da Louma fi dunu, amo sia: nababeba: le, ilia bagadewane beda: i galu.
39 Mahakimu wakaja na kuwasihi watoke, na walipowatoa nje ya gereza, waliwaomba Paulo na Sila watoke nje ya mji wao.
Amaiba: le, ilia elama asili, elama asigi sia: sia: i. Amalalu, ela ilia lobolele, se dabe iasu diasu fisili, asigiwane eno diasuga masa: ne sia: i.
40 Kwa hiyo Paulo na Sila wakatoka nje ya gereza wakaja nyumbani kwa Lidia. Paulo na Sila walipowaona ndugu, waliwatia moyo na kisha kuondoka katika mji huo.
Be Bolo amola Sailase, da se dabe iasu diasu fisili, Lidia ea diasuga asi. Amoga ela Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu yosia: le, ilima fidisu asigi sia: sia: nanu, fisili asi.