< Yohana 1 >

1 Mwanzoni kulikuwako Neno, na Neno alikuwa pamoja na Mungu, na Neno alikuwa Mungu.
Degabodafa, osobo bagade da hame hahamoi galu, amo esoha Gode Sia: dafa da esalu. E (Sia: dafa), amola Gode, da gilisili afadafa fawane esalu. Sia: dafa da Gode defele.
2 Huyu, Neno, Mwanzoni alikuwa pamoja na Mungu.
Degabodafa Sia: dafa amola Gode, Ela da gilisili esalu.
3 Vitu vyote vilifanyika kupitia yeye, na pasipo yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuwa kimefanyika.
Sia: dafa da liligi huluanedafa hahamoi dagoi. E da hame hamoi ganiaba, liligi huluanedafa da hame ba: la: loba.
4 Ndani yake kulikuwa uzima, na huo uzima ulikuwa nuru ya wanadamu wote.
Sia: dafa da esalusu ea bai galu. Amo esalusu da osobo bagade dunu fifi asi gala ilima hadigi olelei.
5 Nuru yang'aa gizani, wala giza halikuizimisha.
Amo hadigi da gasi ganodini diga: i diala. Amo hadigi da gasiga dedebomu hamedesa.
6 Palikuwa na mtu aliyetumwa kutoka kwa Mungu, ambaye jina lake alikuwa Yohana.
Gode da Ea sia: adole iasu dunu ea dio amo Yone, amo asunasi.
7 Alikuja kama shahidi kushuhudia kuhusu ile nuru, ili kwamba wote waweze kuamini kupitia yeye.
Dunu huluane ilia Gode Ea adosu nababeba: le, dafawaneyale dawa: ma: ne, Yone da hadigi ilima olelema: ne misi.
8 Yohana hakuwa ile nuru, bali alikuja ili ashuhudie kuhusu ile nuru
Yone da Hadigidafa hame galu. E da amo Hadigidafa olelela misi.
9 Hiyo ilikuwa nuru ya kweli ambayo ilikuwa inakuja katika dunia nayo humtia nuru kila mmoja
Amo hadigi da Hadigidafa. Hadigidafa da dunu huluane amo da osobo bagadega maha, ilima hadigi iaha.
10 Alikuwa katika dunia, na dunia iliumbwa kupitia yeye, na dunia haikumjua.
Sia: dafa da osobo bagade ganodini esalu. Gode da Sia: dafa amoga osobo bagade hahamoi. Be osobo bagade dunu da Sia: dafa hame dawa: i galu.
11 Alikuja kwa vitu vyake, na watu wake hawakumpokea.
E da Ea fidafa dunu ilima misi, be Ea fidafa da Ea hou lalegagumu higasu.
12 Bali kwa wale wengi waliompokea, ambao waliamini jina lake, kwa hao aliwapa haki ya kuwa wana wa Mungu,
Be mogili ilia da Ea hou hanaiba: le, Ea hou lalegagui. Amalalu, ilia da Gode Ea mano hamoma: ne, E da ilima ilegei dagoi.
13 Ambao walizaliwa, sio kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu mwenyewe.
Osobo bagade hou hamobeba: le hame, ilia bu lalelegele Gode Ea mano hamoi. Osobo bagade dunu ea hamoiba: le, ilia hame lalelegei, be Gode Hi ilegeiba: le ilia da bu lalelegele, Gode Ea mano hamoi dagoi.
14 Naye Neno alifanyika mwili na akaishi miongoni mwetu, tumeuona utukufu wake, utukufu kama wa mtu pekee wa kipekee aliyekuja kutoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.
Sia: dafa da osobo bagade dunu ea hu lale, ninia osobo bagade fi amo ganodini esalu. Ea hou da hahawane dogolegele iasu amola dafawanedafa hou ba: su. Ea hadigi, amo Gode Egefedafa Ea hadigi defele, ninia ba: i dagoi.
15 Yohana alishuhudia kuhusu yeye, na alipaza sauti akisema, “Huyu ndiye ambaye nilisema habari zake nikisema, “Yule ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa sababu amekuwako kabla yangu.”
Yone da Ea hou olelei. E da ha: giwane wele sia: i, “E da na misi amoga fa: no misi, be Ea hou da na hou baligisa! Na hame lalelegei esoga, E da esalu! Amo dunu Ea hou olelemusa: na sia: i!”
16 Kwa kuwa kutoka katika utimilifu wake, sisi sote tumepokea bure kipawa baada ya kipawa.
Ea hahawane dogolegele iasu hou da nabai bagadewane dialebeba: le, E ninima hahawane bagade iasu. Musa: ninia hahawane ba: i, be wali bu baligiliwane hahawane ba: sa.
17 Kwa kuwa sheria ililetwa kupitia Musa. Neema na kweli vilikuja kupitia Yesu Kristo.
Gode da Mousesema olelebeba: le, Ea Sema ninima iasu. Be Yesu Gelesu da hahawane dogolegele iasu, amola moloidafa hou, ninima olelei dagoi.
18 Hakuna mwanadamu aliyemwona Mungu wakati wowote. Mtu pekee ambaye ni Mungu, aliye katika kifua cha Baba, amemfanya yeye ajulikane.
Osobo bagade dunu huluanedafa, da Gode hamedafa ba: su. Be Hina Gode Yesu, Hisu da Godedafa defele. Amola E da Gode dafulili lelebeba: le, Hi fawane da Gode Ea hou olelei dagoi.
19 Na huu ndio ushuhuda wa Yohana wakati makuhani na walawi waliotumwa kwake na Wayahudi kumwuliza, “Wewe ni nani?”
Yu fi ouligisu dunu Yelusaleme moilai bai bagadega esalu, ilia da gobele salasu dunu amola Lifai dunu, amo Yone ea hou abodemusa: asunasi. Ilia da Yonema amane adole ba: i, “Di da nowala: ?”
20 Bila kusitasita na hakukana, bali alijibu, “Mimi sio Kristo.”
Yone da bu adole imunu hame hihi galu. E da moloiwane olelei, “Na da Mesaia hame!”
21 Hivyo wakamuuliza, “kwa hiyo wewe ni nani sasa?” Wewe ni Eliya? Akasema, “Mimi siye.” Wakasema, Wewe ni nabii? Akajibu,” Hapana.”
Ilia bu adole ba: i, “Amaiba: le, di da nowala: ? Di da Elaidiala: ?” Yone bu adole i, “Hame mabu! “Ilia eno adole ba: i, “Di da Balofede dunudafala: ?” “Hame mabu!” e sia: i.
22 Kisha wakamwambia, “Wewe ni nani, ili kwamba tuwape jibu waliotutuma”? Wajishuhudiaje wewe mwenyewe?”
Ilia amane sia: i, “Amaiba: le, di da nowala: , amo ninima adoma. Ninia asunasi dunuma adole iasu gaguli masunu galebe. Dia hou da adi houla: ?”
23 Akasema, “Mimi ni sauti yake aliaye nyikani: 'Inyosheni njia ya Bwana,' kama nabii Isaya alivyosema.”
Be Yone bu adole ianoba, e da Aisaia ea sia: dedei olelei, “Na da hafoga: i soge, dunu hame esalebe soge amo ganodini ahoana, amane wele sia: nana, `Hina Gode da noga: iwane masa: ne, Ea logo moloiwane fodoma!’”
24 Basi kulikuwa na watu wametumwa pale kutoka kwa Mafarisayo. Wakamuuliza na kusema,
Abodemusa: misi dunu (Fa: lisi fi dunu da ili asunasi),
25 “Kwa nini unabatiza basi kama wewe sio Kristo wala Eliya wala nabii?”
ilia da Yonema amane adole ba: i, “Di da Mesaia o Elaidia o Balofede dunu amo hame esalea, di da abuliba: le dunu hanoga fane salala: ?”
26 Yohana aliwajibu akisema, “Ninabatiza kwa maji. Hata hivyo, miongoni mwenu anasimama mtu msiyemtambua.
Yone da bu adole i, “Na da hanoga ba: bodaise hou hamosa. Be dilia gilisisu amo ganodini dunu dilia hame dawa: dunu da lela.
27 Huyu ndiye ajaye baada yangu. Mimi sisitahili kulegeza kamba za viatu vyake.”
E da na misi amoga fa: no maha. Be na da Ea emo salasu efe fadegamu amo defele hame ba: sa.
28 Mambo haya yalitendeka huko Bethania, ng'ambo ya Yordani, mahali ambapo Yohana alikuwa akibatiza.
Yone da Bedani soge, (Yodane Hano gusu bega: ) amoga hanoga fane salasu hou hamonanoba, amo hou huluane da ba: su.
29 Siku iliyofuata Yohana alimwona Yesu akija kwake akasema, “Tazama mwanakondoo wa Mungu aichukuae dhambi ya ulimwengu!
Golale hahabe, Yone da Yesu ema manebe ba: i. E amane sia: i, “Dilia ba: ma! Gode Ea Sibi Mano manebe goea. E da osobo bagade wadela: i hou huluane fadegale fasisa.
30 huyu ndiye niliyesema habari zake nikisema, “Yeye ajaye nyuma yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa kuwa alikuwa kabla yangu.'
Na musa: sia: i, `E da na misi amoga fa: no misi, be Ea hou da na hou baligisa. Na hame lalelegei esoga, E da esalu.’ Na da amo dunu Ea hou olelemusa: , amane sia: i.
31 Sikumtambua yeye, lakini ilifanyika hivyo ili kwamba afunuliwe katika Israeli, kwamba nilikuja nikibatiza kwa maji.”
Na da amo dunu hame dawa: i galu. Be na da amo misunu dunu Ea hou Isala: ili dunuma olelemusa: , hanoga fane salasu hamomusa: misi.”
32 Yohana alishuhudia, “Niliona Roho akishuka kutoka mbinguni mfano wa hua, na ilibaki juu yake.
Amalalu, Yone da ilima amane sia: i, “Na da Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala, dafe sio agoane muagado misini, Ea da: i hodo amoga aligila sa: i, ba: i dagoi.
33 Mimi sikumtambua lakini yeye aliyenituma ili nibatize kwa maji aliniambia, 'yule ambaye utaona Roho akishuka na kukaa juu yake, Huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.'
Na da amo da Gode Ea ilegei dunu hame dawa: i galu. Be musa: Gode da na hanoga fane salasu hawa: hamoma: ne, asula ahoanoba, E da nama amane olelei, `Di da Gode Ea A: silibu Hadigidafa dunu afadafa amoga aligila dalebe ba: mu. Amo Dunu da Na A: silibu Hadigidafa amoga ba: bodaise hamosa.’
34 Nimeona na nimeshuhudia kwamba huyu ni Mwana wa Mungu.”
Na da amo hou ba: i dagoi. Amola amo dunu da Gode Egefedafa na da dilima sia: sa!”
35 Tena siku iliyofuata Yohana alikuwa amesimama pamoja na wanafunzi wake wawili,
Eso afae aligili, Yone amola ea ado ba: su dunu aduna da gilisili lelu.
36 walimwona Yesu akitembea na Yohana akasema, “Tazama, Mwana kondoo wa Mungu!”
Lelebeba: le, Yesu da baligili ahoanebe ba: i. Yone e amane sia: i, “Gode Ea Sibi Mano ahoanebe goea.”
37 Wanafunzi wawili walimsikia Yohana akisema haya wakamfuata Yesu.
Amo sia: nababeba: le, ea ado ba: su dunu aduna da Yesuma fa: no bobogei.
38 Tena Yesu aligeuka na kuwaona wanafunzi wale wakimfuata, na akawambia, “Mnataka nini?” Wakajibu, “Rabbi, (maana yake 'mwalimu,' unaishi wapi?”
Yesu da delegili, ela da ema fa: no bobogelalebe ba: loba, elama amane adole ba: i, “Ali da adi hogosala: ?” Ela bu adole ba: i, “La: bai (olelesu)! Dia golasu da habila: ?”
39 Akawambia, “Njooni na mwone.”Kisha walikwenda na kuona mahali alipokuwa akiishi; walikaa pamoja naye siku hiyo, kwa kuwa ilikuwa yapata kama saa kumi hivi.
E bu adole i, “Ba: la misa!” (Amoha da eso baloga agoane). Amalalu, ela da Yesu E sigi asili, Ea golasu ba: i. Ilia gilisili amo eso ganodini sia: dalu, gasi gadenenewane yolesi.
40 Mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana akiongea na kisha kumfuata Yesu alikuwa ni Andrea, ndugu yake Simoni Petro.
Dunu afadafa ea dio amo A: dalu, e da Saimone Bida eya esalu. E da Yone ea sia: nabalu, Yesuma fa: no bobogei.
41 Akamwona ndugu yake Simoni na akamwambia, “Tumempata Masihi” (ambayo inatafsiriwa Kristo).
E da ea ola Saimone hogolala ba: beba: le, ema amane sia: i, “Ani da Mesaia (eno sia: Gelesu) ba: i dagoi.”
42 Akamleta kwa Yesu. Yesu akamtazama na akasema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana” utaitwa Kefa,” (maana yake 'Petro').
Amalalu, e da Saimone Yesuma oule misi. Yesu da Saimone ba: beba: le, amane sia: i, “Dia dio da Saimone! Di da Yone egefe! Wali Na da dima Sifa: se dio asula.” (Sifa: se dio da Bida dio defele. Amo dawa: loma: ne sia: da `igi’.)
43 Siku iliyofuata wakati Yesu alipotaka kuondoka kwenda Galilaya, alimpata Filipo na akamwambia, “Nifuate mimi.”
Golale hahabe, Yesu da Ga: lili sogega masunu dawa: i galu. E da Filibe ba: beba: le, amane sia: i, “Na baligiga aligila misa.”
44 Filipo alikuwa ni mwenyeji wa Bethsaida, mji wa Andrea na Petro.
(Filibe ea moilai dio amo Bedesa: ida. Amo moilaiga A: dalu amola Bida esalebe ba: i.)
45 Filipo alimpata Nathanaeli na kumwambia, Tumempata yule ambaye Musa aliandika habari zake katika sheria na Manabii. Yesu mwana wa Yusufu, kutoka Nazareti.
Filibe da hogolala, Nada: na: iele ba: i. E da ema amane sia: i, “Ninia da Dunu amo Ea hou Mousese da Sema buga ganodini dedei, amola balofede dunu, Ea hou dedei, amo dunu ninia ba: i dagoi. E da Yesu, Yousefe egefe. Ea moilai da Na: salede.”
46 Nathanaeli akamwambia, “Je kitu chema chaweza kutokea Nazareti?” Filipo akamwambia, Njoo na uone.”
Nada: na: iele da amane sia: i, “Liligi ida: iwane gala da Na: salede moilaiga mahabela: ? Hame mabu!” Be Filibe da bu adole i, “Ba: la misa!”
47 Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake na akasema, “Tazama, Mwisraeli kweli kweli asiye na udanganyifu ndani yake!”
Yesu da Nada: na: iele Ema manebe ba: beba: le, ea hou olelemusa: amane sia: i, “Isala: ili dunudafa da manebe goea. Amo dunu da ogogosu hame dawa:”
48 Nathanaeli akamwambia, “Umenifahamuje mimi?” Yesu akajibu na akamwambia, “Kabla Filipo hajakuita ulipokuwa chini ya mtini, nalikuona.”
Nada: na: iele da Ema amane adole ba: i, “Na hou Dia habodane dawa: bela: ?” Yesu E bu adole i, “Filibe da dima hame misa: ne weloba, Na da di figi ifa ea ougiha esalebe ba: i.”
49 Nathanaeli akajibu, “Rabi wewe u Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Israeli”!
Nada: na: iele fofogadigili sia: i, “Olelesu! Di da Gode Egefedafa. Di da Isala: ili fi ilima Hina Bagadedafa esala.”
50 Yesu akajibu akamwambia, Kwa sababu nilikuambia 'nilikuona chini ya mtini' je waamini? utaona matendo makubwa kuliko haya.”
Yesu E amane sia: i, “Di da figi ifa ea ougiha esalebe Na ba: i, amo fawane Na sia: beba: le di da Na hou dafawaneyale dawa: bela: ? Amo hou bagadewane baligisu hou di da ba: mu.”
51 Yesu akasema, “Amini amini nawambieni mtaziona mbingu zikifunguka, na kuwaona malaika wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.”
E da ilima amane sia: i, “Na da dafawane dilima sia: sa! Dilia da Hebene logo doasibi ba: mu, amola Gode Ea a: igele dunu Gode Egefe amo da: iya, ilia gudu dalebe gado heda: lebe ba: mu.”

< Yohana 1 >