< Matendo 13 >
1 Sasa katika kanisa la Antiokia, palikuwa na baadhi ya manabii na walimu. Walikua Barnaba, Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni( ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli.
A: dioge Yesu Ea fa: no bobogesu fi amo ganodini, balofede amola olelesu dunu esalebe ba: i. Ilia dio amo da Banaba: se, Simione (eno dio da Bunumai), Liusiase (Sailini dunu), Ma: naene (Helode ea fofoi mano) amola Solo,
2 Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema, “Niteengeeni pembeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi niliyo waitia.”
Amo dunu ilia Hina Yesu Gelesu Ea hawa: hamonoba amola ha: i mae nawane sia: ne gadoloba, Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da ilima amane sia: i, “Dilia Banaba: se amola Solo Nama ilegema! Bai Na da ela Na hawa: hamomusa: gini, ilegei dagoi!”
3 Baada ya Kanisa kufunga, kuomba, na kuweka mikono yao juu ya watu hawa, wakawaacha waende.
Amalalu, ilia ha: i mae nawane sia: ne gadolalu, elama lobo ligisili, asunasi.
4 Kwa hiyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na walitelemka kuelekea Seleukia; Kutoka huko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha Kipro.
Gode Ea A: silibu da asunasiba: le, Banaba: se amola Solo, da Siliusia moilaiga asi. Amo moilaiga ilia dusagai foga ahoasu liligi amo ganodini fila heda: le, Saibalase sogega asi.
5 Walipokuwa katika mji wa Salami, walilitangaza neno la Mungu katika Masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao.
Sa: lamisi moilaiga doaga: le, ela Yu dunu ilia sinagoge diasu ganodini Gode Ea sia: olelei. Yone Maga da misiba: le, e da ela fidisu.
6 Walipokwenda katika kisiwa chote mpaka Pafo, walikuta mtu fulani mchawi, Myahudi nabii wa uongo, ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu.
Asili, ilia Saibalase oga na: iyadodili bega: doaga: le, Ba: ifose moilaiga doaga: i. Amo moilaiga ilia nabi dunu ea dio amo BaYesu ba: i. E da Yu dunu esalu, amola e da balofede dunu hamoi hisu da sia: i. Be e da ogogoi.
7 Mchawi huyu alishirikiana na Liwali Sergio Paulus, aliyekuwa mtu mwenye akili. Mtu huyu aliwaalika Barnaba na Sauli, kwa sababu alihitaji kusikia neno la Mungu.
E da amo oga ouligisu dunu (e da Gamane dunu ea dio amo Sediase Bolase), bagade dawa: su dunu, ema na: iyado esalu. Sediase Bolase da Gode Ea sia: nabimu hanaiba: le, Banaba: se amola Solo, ema misa: ne sia: i.
8 Lakini Elima “yule mchawi” (hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa) aliwapinga; alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani.
Be nabi dunu ea dio amo Ilima: se (amo da Ba-Yesu ea dio Galigi sia: amo ganodini) e da Sediase Bolase ea dafawaneyale dawa: su hou hedofamusa: dawa: beba: le, Banaba: se amola Solo elama sia: ga gegei.
9 Lakini Sauli aliyeitwa Paulo, alikuwa amejazwa na Roho Mtakatikfu, akamkazia macho
Amalalu Solo (ea dio eno da Bolo) ea dogo da Gode Ea A: silibu amo ea gasaga nabaiwane hamoiba: le, e da moloiwane amo nabi dunuma ba: le,
10 na akasema “Ewe mwana wa Ibilisi, umejazwa na aina zote za udanganyifu na udhaifu. Wewe ni adui wa kila aina ya haki. Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza?
amane sia: i, “Di da Sa: ida: ne ea mano esala. Di da ida: iwane liligi huluane amoma ha lai. Di da eso huluane wadela: i ogogosu hou hamonana. Eso huluane di da Gode Ea dafawane hou sinidigili bu ogogosu hamomusa: dawa: lala.
11 Sasa tazama, mkono wa Bwana upo juu yako, na utakuwa kipofu. Hautaliona Jua kwa muda” mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas; alianza kuzunguka pale akiomba watu wamwongoze kwa kumshika mkono.
Wali, di da Gode Ea gasa hou ba: mu! Dia si da wadela: mu! Di da eso ea hadigi mae ba: le, Gode Hi fawane hobea uhisia bu ba: mu.” Amalalu, hedolowane Ilima: se ea si da dofoi ba: i. E da udigili lalu, dunu eno e lobolema: ne hogola ahoasu.
12 Baada ya liwali kuona kilichotokea, aliamini, kwa sababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
Gamane ouligisu dunu da amo hou ba: beba: le, Gode Ea hou lalegagui dagoi. Bai e da Hina Gode Ea olelesu amoma bagadewane fofogadigi.
13 Sasa Paulo na rafiki zake walisafiri majini kutoka Pafo na wakafika Perge katika Pamfilia. Lakini Yohana aliwaacha na kurudi Yerusalemu.
Bolo amola ea fidisu dunu, da Ba: ifose moilai fisili, asili, Bega moilai bai bagade Ba: mafilia soge ganodini amoga doaga: i. Amo moilaiga, Yone Maga da yolesili, Yelusaleme moilai bai bagade amoga buhagi.
14 Paulo na rafiki yake walisafiri kutoka Perge na wakafika Antiokia ya Pisidia. Huko walikwenda katika sinagogi siku ya Sabato na kukaa chini.
Amalalu, Bega moilai fisili asili, ilia A: dioge moilai bai bagade Bisidia soge amo ganodini, amoga doaga: i. Sa: bade esoga ilia sinagoge diasu ganodini golili sa: ili, fi.
15 Baada ya kusoma sheria na manabii, viongozi wa sinagogi aliwatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mnao ujumbe wa kutia moyo watu hapa, semeni”
Sinagoge ouligisu dunu da Mousese ea Sema amola Balofede dunu ilia dedei amo idilalu, ilima sia: ma: ne dunu asunasi. Ilia amane sia: i, “Na: iyado! Dilia da ninima fidimusa: sia: galea, dilia da ninima sia: mu ninia hanai gala.”
16 Kwa hiyo Paulo alisimama na kuwapungia mkono; alisema, “Wanaume wa Israeli na enyi mnao mtii Mungu, sikilizeni.
Bolo da wa: legadole, ea lobo gaguia gadole, amane sia: i, “Na fi Isala: ili dunu amola eno Dienadaile dunu dilia guiguda: Godema nodosu dunu! Na sia: nabima!
17 Mungu wa hawa watu wa Israeli aliwachagua baba zetu na kuwafanya watu wengi walipokaa katika nchi Misri, na kwa mkono wake kuinuliwa aliwaongoza nje yake.
Isala: ili fi ilia Gode da ninia aowalali ilegele, ili fi bagade hamoi. Ilia ga misi dunu agoane Idibidi soge ganodini esalu. Be Gode da Ea gasa bagade amoga, Isala: ili dunu fi gadili masa: ne, Idibidi soge amoga fadegale fasi.
18 Kwa miaka arobaini aliwavumilia katika jangwa.
Ode 40 amoga, Gode da ilia hihi hou wadela: i hafoga: i soge amo ganodini ba: i. Be E da mae yolesili, fidilalu.
19 Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
E da Ga: ina: ne soge ganodini fi bagade fesuale gala wadela: lesili, amola ilia soge Isala: ili dunu fi ilima i.
20 Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
Amo hou da ode 450 amoga hamoi. Fa: no, E da fofada: su dunu ilima i. Asili, fofada: su dunu da fidilalu, amogainini balofede dunu ea dio amo Sa: miuele da ouligisu.
21 Baada ya haya, watu waliomba mfalme, hivyo Mungu aliwapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila la Benjamini, kuwa mfalme kwa miaka arobaini.
Ilia da Godema hina bagade dunu ilima ima: ne adole ba: beba: le, Gode da Solo (Gisia ea mano e da Bediamini ea fi ganodini esalu) amo ilima i. E da ode 40 amoga ilia hina bagade esalu.
22 Kisha baada ya Mungu kumuondoa katika ufalme, alimwinua Daudi kuwa mfalme wao. Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema, 'Nimempata Daudi mwana wa Yese kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu; ambaye atafanya kila kitu nipendacho.'
Amo dunu Gode da fadegale, bu Da: ibidi Isala: ili hina bagade hamoi. Da: ibidi ea hou olelema: ne, Gode amane sia: i, `Yesi ea mano Da: ibidi amo ea hou Na da hahawane ba: sa. E da Na hanai liligi hamomusa: dawa:’
23 Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu Mungu ameiletea Israeli mkombozi, Yesu, kama alivyoahidi kufanya.
Be Gode da Ea musa: ilegele sia: i defele, Yesu Gelesu, Da: ibidi egaga fi dunu, amo Isala: ili dunuma Gaga: su dunu hamoi dagoi.
24 Hili lilianza kutokea, kabla ya Yesu kuja, Yohana kwanza alitangaza ubatizo wa toba kwa watu wote wa Israeli.
Yesu da Ea hawa: hamosu hame muni hamone, Yone da Isala: ili dunu huluane ilima ilia wadela: i hou yolesili, ba: bodaise hou hamoma: ne, olelei dagoi.
25 Naye Yohana alipokuwa akimalizia kazi yake, alisema, 'Mwanifikiri mimi ni nani? mimi si yule. Lakini sikilizeni, ajaye nyuma yangu, sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
Yone da ea hawa: hamosu gadenei dagoi galu, e da dunu huluanema amane sia: i, ‘Na da nowayale dilia dawa: bela: ? Dilia da misunu dunu misa: ne ouesala. Na da amo dunu hame. Be nabima! E da na mabe amo fa: no misunu. Ea hou da ida: iwanedafa. Amaiba: le, na da Ea emo salasu fadegamu defele hame ba: sa!’
26 Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu, ni kwa ajili yetu kwamba ujumbe huu wa ukombozi umetumwa.
Na fi Isala: ili dunu, A:ibalaha: me egaga fi dunu! Amola Dienadaile dunu dilia guiguda: Godema nodone sia: ne gadosu dunu! Gode da amo gaga: su sia: ida: iwane gala ninima iasi dagoi.
27 Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
Bai Yelusalemega esalebe dunu fi amola ilia ouligisu dunu da Yesu da Gaga: sudafa hame dawa: i galu. Ilia da balofede sia: dedei amo Sa: bade eso huluane idisa. Be bai noga: le hame dawa: i. Be ilia Yesuma medoma: ne fofada: i dagoiba: le, balofede ilia olelei da dafawane ba: sa.
28 Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
Ilia Yesuma medoma: ne fofada: su bai hamedafa ba: i. Be ilia udigili Bailadema Yesu medole legemusa: sia: i.
29 Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.
Amalalu, Gode Sia: Dedei olelei defele huluane hamoi dagoiba: le, Ea da: i hodo ilia bulufalegeiga fadegale, gele gelabo amo ganodini sali.
30 Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
Be Gode da Ea bogosu fisimusa: , Ea da: i hodo wa: lesili, uhinisi.
31 Alionekana kwa siku nyingi kwa wale waliokwenda pamoja naye kutoka Galilaya kuelekea Yerusalemu. Watu hawa sasa ni mashahidi wa watu.
Amalalu, E da eso bagohame lalebeba: le, Ea hou lalegagui dunu ilia musa: gilisili Ga: lili fisili Yelusalemega doaga: musa: logoga ahoasu, ilia da Yesu Ea da: i hodo ba: i. Amo dunu ilia da wali Isala: ili dunuma olelemusa: , ba: su dunu esala.
32 Hivyo tunawaletea habari njema kuhusu ahadi walizopewa mababu zetu.
33 Mungu aliweka ahadi hizi kwetu, watoto wao, katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai. Hili pia liliandikwa katika Zaburi ya pili: 'Wewe ni Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako'
Ninia da Sia: Ida: iwane Gala dilima olelemusa: misi dagoi. Gode da musa: ninia aowalali dunu ilima hahawane dogolegele imunusa: sia: i liligi, E da ilia fa: no mabe mano (nini) ninima olelei dagoi. E da Yesu Gelesu wa: lesibiba: le, amo hou ninima i. Gode Sia: Dedei Gesami Hea: su ageyadu amo ganodini dedei diala didili hamoi amane, ‘Di da Na Gofedafa. Na da wali eso dia Ada hamoi.’
34 Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
Gode da eno sia: olelei. Amo da Yesu da uli dogoi amo ganodini mae dasama: ne bogosu fisimusa: , Gode da wa: lesi amo amane olelei, ‘Na da sema hahawane dogolegesu hou Na musa: Da: ibidima imunu ilegele sia: i liligi, amo Dima imunu.’
35 Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
Gode Sia: eno da amane dedei, ‘Dia hawa: hamosu dunu Dima dogolegei dawa: su dunu, amo da udigili uli dogoi amo ganodini dasama: ne, Di da hame yolesimu.’
36 Kwa kuwa baada ya Daudi kutumikia mapenzi ya Mungu katika kizazi chake, alilala, alilazwa pamoja na baba zake, na aliuona uaharibifu,
Bai Da: ibidi da osobo bagadega esalea, e da Gode Ea hawa: hamonanu, amalu bogole, ea aowalali ilia uli dogoi amo ganodini salawane dasai.
37 Lakini aliyefufuliwa na Mungu hakuuona uharibifu.
Be Gode da Yesu bogosu yolesima: ne wa: lesibiba: le, Yesu Ea da: i hodo da amo dasasu hame ba: i.
38 Hivyo na ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi umehubiriwa.
Dilia huluane! Na fi Isala: ili dunu noga: le dawa: ma! Yesu Ea hou hamoiba: le, ninia wali wadela: i hou gogolema: ne olofosu hou dilima olelesa.
39 Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki na mambo yote ambayo sheria ya Musa isingewapatia haki.
Nowa dunu da Yesu Ea hou dafawaneyale dawa: sea, ea wadela: i hou da musa: se dabe iasu diasu agoane dialebe be wali se dabe iasu diasu da doasibi ba: sa. Mousese ea Sema huluane nabawane hamomu da hamedeiba: le, amo se dabe iasu diasu doasimu da hamedei ba: i. Be wali Yesuma dafawaneyale dawa: beba: le, dunu da halegale hahawane masunu dawa:
40 Hivyo basi kuweni waangalifu kwamba kitu walichokiongelea manabii kisitokee kwenu:
Dawa: ma: i! Balofede ilia musa: olelei dilima doaga: sa: besa: le dawa: ma: i!
41 'Tazama, enyi mnaodharau, na mkashangae na mkaangamie; kwa vile nafanya kazi katika siku zenu, Kazi ambayo hamwezi kuiamini, hata kama mtu atawaeleza.”
Ilia amane sia: i, ‘Hidale gasa fi dunu, nabima! Bogomuwane fofogadigima! Na waha hamomu liligi dilia da hamedafa dafawaneyale dawa: mu. Dunu da amo dilima moloiwane olelemu. Be dilia dafawaneyale dawa: musa: hamedeiwane ba: mu!’”
42 Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka, watu wakawaomba waongee maneno haya siku ya Sabato ijayo.
Bolo amola Banaba: se, da sinagoge diasu fisili ahoanoba, dunu huluane ela amo liligi bu noga: le olelema: ne, Sa: bade eso enoga bu misa: ne sia: i.
43 Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha, Wayahudi wengi na waongofu thabiti waliwafuata Paulo na Barnaba, ambao waliongea nao na waliwahimiza waendelee katika neema ya Mungu.
Dunu huluane da gilisisu yolesi dagoloba, Yu dunu bagohame amola Dienadaile dunu (ilia da sinidigili, Yu fi ilia hou lalegagui dunu), amo bagohame Bolo amola Banaba: se, elama fa: no bobogei. Bolo amola Banaba: se, ilima asigi sia: sia: i. Ela da ilima Gode Ea hahawane dogolegele fidisu hou mae yolesili, amo ganodini esaloma: ne sia: i.
44 Sabato iliyofuata, karibu mji mzima ulikusanyika kusikia neno la Mungu.
Sa: bade eso enoga, amo moilai dunu mogili, gadenene huluanedafa da Yesu Ea sia: naba misi.
45 Wayahudi walipoona makutano, walijawa na wivu na kuongea maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo na walimtukana.
Be Yu dunu da dunu bagohame gilisibi ba: beba: le, mudasu bagade ba: i. Ilia Boloma gadele sia: ga gegei.
46 Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios )
Be Bolo amola Banaba: se, ela mae beda: ne gasa bagadewane sia: i, “Dilia Yu dunu da hidadea Gode Ea sia: nabi dagoi. Bai Gode da amo ilegei dagoi. Be dilia amo sia: hihiba: le, dilia eso huluane Fifi Ahoanusu lamu dilia defele hame dawa: beba: le, defea, ninia dili fisili asili, Dienadaile dunuma olelemu. (aiōnios )
47 Kama ambavyo Bwana ametuamuru, akisema, 'Nimewaweka ninyi kama nuru kwa watu wa mataifa, kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia.”
Hina Gode da amo hamoma: ne sia: i ninima olelei amane, ‘Dilia da Dienadaile dunuma hadigi olelema: ne amola osobo bagade dunu ilia mae bogole Fifi Ahoanusu lama: ne, Na da dili Na gamali agoane hamoi dagoi!’”
48 Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios )
Amo sia: nababeba: le, Dienadaile dunu da hahawane bagade ba: beba: le, Gode Ea Sia: amoma nodoi. Amola nowa dunu da eso huluane Fifi Ahoanusu lama: ne Gode da ilegei dagoi, amo dunu da Yesu Ea hou lalegagui. (aiōnios )
49 Neno la Bwana lilienea nchi yote.
Amo soge ganodini, dunu huluane ilia Hina Gode Ea Sia: nabi dagoi.
50 Lakini wayahudi waliwasihi waliojitoa na wanawake muhimu, pia na viongozi wa mji. Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
Be Yu dunu da ougili sia: beba: le, amo moilai bai bagade asigilai dunu amola Dienadaile Godema nodone sia: ne gadosu uda da Bolo amola Banaba: se elama se bagade iasu. Ilia da ela fisili masa: ne sefasi.
51 Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda kwenye mji wa Ikonia.
Amaiba: le, ili fisimusa: olelema: ne, Bolo amola Banaba: se, da osobo ilia emo gafega diala amo doga: sili, yolesili asili, Aigouniame moilai bai bagadega asi.
52 Na wanafunzi walijawa na furaha pamoja na Roho mtakatifu.
Be Yesu Ea hou lalegagui dunu A: dioge moilai ganodini esala da hahawane bagade ba: i. Ilia dogo da Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amoga nabaiwane ba: i.