< 2 Wathesalonike 2 >
1 Sasa kuhusu kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa pamoja ili tuwe naye: tunawaomba ninyi ndugu zetu,
Ahora, en cuanto a la venida del Señor Jesucristo, y nuestro encuentro con él, es nuestro deseo, hermanos míos,
2 kwamba msisumbuliwe wala kutabishwa kwa urahisi, kwa roho, au kwa ujumbe au kwa barua inayoonkana kuwa imetoka kwetu, ikisema ya kuwa siku ya Bwana tayari imekuja.
Que no cambien fácilmente de opinión ni se turben con un espíritu, ni con una palabra, ni con una carta como de nosotros, con la sugerencia de que el día del Señor ya ha llegado;
3 Mtu na asiwadanganye kwa namna yoyote. Kwa kuwa haitakuja mpaka lile anguko litokee kwanza na mtu wa uasi afunuliwe, yule mwana wa uharibifu.
No se dejen engañar: porque primero se apartaran de la fe, y la revelación del hombre de pecado, el hijo de la destrucción,
4 Huyu ndiye apingaye naye hujiinua mwenyewe akimpinga Mungu na chochote kinachoabudiwa. Na matokeo yake, hukaa kwenye hekalu la Mungu na kujionyesha yeye kuwa kama Mungu.
El cual se pone contra toda autoridad, levantándose a sí mismo sobre todo lo que es nombrado Dios o se le da culto; para que tome asiento en el Templo de Dios, presentándose como Dios.
5 Je, hamkumbuki kuwa nilipokuwa nanyi niliwaambia juu ya mambo haya?
¿No recuerdan lo que dije cuando estaba con ustedes y les comuniqué estas cosas?
6 Sasa mnajua kile kinachomzuia, ili kwamba aweze kufunuliwa kwa wakati sahihi utakapowadia.
Y ahora está claro para ustedes lo que está retrasando su revelación hasta que llegue el momento de ser visto.
7 Kwa kuwa siri ya yule mtu mwenye kuasi inafanya kazi mpaka sasa, ila tu kuna anaye mzuia sasa mpaka atakapotolewa njiani.
Porque el secreto del mal está ahora mismo obrando: pero hay uno que está ocultando el mal hasta que lo quiten del camino.
8 Ndipo yule mwenye kuasi atakapofunuliwa, amabaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake. Bwana atamfanya kuwa si chochote kwa ufunuo wa ujio wake.
Y entonces vendrá la revelación de aquel malvado, a quien el Señor Jesús matará con el aliento de su boca, y dará a luz por la revelación de su venida;
9 Ujio wa yule mwenye kuasi utakuwa kwa sababu ya kazi ya shetani kwa nguvu zote, ishara na maajabu ya uongo,
Inicuo cuya venida está marcada por la obra de Satanás, con todo poder, señales y falsas maravillas,
10 na uongo wote wenye udhalimu. Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea, kwa sababu hawakuupokea upendo wa kweli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
Y con todo engaño de maldad entre aquellos cuyo destino es la destrucción; porque no quisieron aceptar y amar la verdad por el cual podrían tener la salvación.
11 Kwa sababu hiyo Mungu anawatumia kazi yenye uovu ili waamini uongo.
Y por esta causa, Dios los entregará al poder del engaño y pondrán su fe en lo que es falso:
12 Matokeo yake ni kwamba wote watahukumiwa, wale ambao hawakuamini ukweli bali wao hujifurahisha katika udhalimu.
Para que todos sean juzgados, los que no tuvieron fe en lo que es verdad, sino que se complacieron en el mal.
13 Lakini inatupasa tumshukuru Mungu kila mara kwa ajili yenu ndugu mpendwao na Bwana. Kwa sababu Bwana aliwachagua ninyi kama malimbuko ya wokovu kwa utakaso wa Roho na imani katika ile kweli.
Pero es correcto que alabemos a Dios en todo momento por ustedes, hermanos, amados por el Señor, porque fue el propósito de Dios desde el principio que pudieran tener la salvación, ser hechos santos por el Espíritu y por la fe. en lo que es verdad:
14 Hiki ndicho alichowaitieni ninyi, kwamba kupitia injili muweza kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Y con este propósito les dio parte a través de las buenas nuevas de las cuales nosotros fuimos los predicadores, incluso para que pudieran tener parte en la gloria de nuestro Señor Jesucristo.
15 Kwa hiyo, ndugu, simameni imara. Ueleweni ule utamaduni mliofundishwa, kwa neno au kwa barua yetu.
Entonces, hermanos, esfuércense en su propósito, y guarda la enseñanza que les ha sido dada por palabra o por carta de nosotros.
16 Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios )
Ahora nuestro Señor Jesucristo mismo, y Dios nuestro Padre que nos amó y nos dio consuelo eterno y buena esperanza por medio de la gracia, (aiōnios )
17 awafariji na kuifanya imara mioyo yenu katika kila neno na kazi njema.
Les de consuelo en sus corazones y confirme en toda buena obra y palabra.