< 2 Samweli 14 >

1 Yoabu mwana wa Seruya akatambua kwamba moyo wa mfalme ulitamani kumwona Absalomu.
and to know Joab son: child Zeruiah for heart [the] king upon Absalom
2 Hivyo Yoabu akatuma neno huko Tekoa kumleta kwake mwanamke mwelevu. Akamwambia, “Tafadhari, vaa mavazi ya uombolezaji ujifanye kuwa mwombolezaji. Usijipake mafuta, lakini uwe kama mwanamke ambaye ameomboleza kwa muda mrefu kwa ajili yake aliyekufa.
and to send: depart Joab Tekoa [to] and to take: bring from there woman wise and to say to(wards) her to mourn please and to clothe please garment mourning and not to anoint oil and to be like/as woman this day many to mourn upon to die
3 Kisha ingia kwa mfalme na umwambiye maneno nitakayokueleza.” Hivyo Yoabu akamwambia maneno ambayo angeyasema kwa mfalme.
and to come (in): come to(wards) [the] king and to speak: speak to(wards) him like/as Chronicles [the] this and to set: put Joab [obj] [the] word in/on/with lip her
4 Wakati mwanamke kutoka Tekoa alipoongea na mfalme, aliinamisha uso wake chini na kusema,
and to say [the] woman [the] Tekoa to(wards) [the] king and to fall: fall upon face her land: soil [to] and to bow and to say to save [emph?] [the] king
5 “Mfalme, anisaidie.” Mfalme akamwambia, “Shida yako ni nini?” Akajibu, Ukweli ni kwamba mimi ni mjane, mme wangu alikufa.
and to say to/for her [the] king what? to/for you and to say truly woman: wife widow I and to die man: husband my
6 Mimi, mtumishi wako, nilikuwa na wana wawili, wakagombana shambani, na hakukuwa na wa kuwaachanisha. Mmoja wao akampiga mwenziwe na kumwua.
and to/for maidservant your two son: child and to struggle two their in/on/with land: country and nothing to rescue between them and to smite him [the] one [obj] [the] one and to die [obj] him
7 Na sasa ukoo wote umeinuka juu ya mtumishi wako, wanasema, 'Mtoe aliyempiga nduguye, ili tumwue kulipe uhai wa nduguye aliyeuawa.' Na hivyo watamwangamiza mrithi. Hivyo watalizima kaa liwakalo nililobakiwa, hata kumwondolea mme wangu jina na mzao juu ya uso wa nchi.”
and behold to arise: rise all [the] family upon maidservant your and to say to give: give [obj] to smite brother: male-sibling his and to die him in/on/with soul: life brother: male-sibling his which to kill and to destroy also [obj] [the] to possess: possess and to quench [obj] coal my which to remain to/for lest (to set: put *Q(K)*) to/for man: husband my name and remnant upon face: surface [the] land: planet
8 Hivyo mfalme akamwambia mwanamke, “Nenda nyumbani kwako, nami nitaagiza jambo la kukufanyia.”
and to say [the] king to(wards) [the] woman to go: went to/for house: home your and I to command upon you
9 Mwanamke kutoka Tekoa akamjibu mfalme, “Bwana wangu mfalme, hatia na iwe juu yangu na juu ya familia ya baba yangu. Mfalme na kiti chake cha enzi hawana hatia.”
and to say [the] woman [the] Tekoa to(wards) [the] king upon me lord my [the] king [the] iniquity: guilt and upon house: household father my and [the] king and throne his innocent
10 Mfalme akasema, “Yeyote atakayekwambia neno umlete kwangu, naye hatakugusa tena.”
and to say [the] king [the] to speak: speak to(wards) you and to come (in): bring him to(wards) me and not to add: again still to/for to touch in/on/with you
11 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari mfalme amkumbuke Yahwe Mungu wake, ili kwamba mlipa kisasi cha damu asiaribu zaidi, ili kwamba wasimwangamize mwanangu.” Mfalme akajibu, “Kama Mungu aishivyo, hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utaanguka chini.”
and to say to remember please [the] king [obj] LORD God your (from to multiply *Q(k)*) to redeem: avenge [the] blood to/for to ruin and not to destroy [obj] son: child my and to say alive LORD if: surely no to fall: fall from hair son: child your land: soil [to]
12 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari acha mtumishi wako anene neno moja zaidi kwa bwana wangu mfalme.” Akasema, “Sema.”
and to say [the] woman to speak: speak please maidservant your to(wards) lord my [the] king word and to say to speak: speak
13 Hivyo mwanamke akasema, “Kwa nini basi umetenda kwa hila dhidi ya watu Mungu? Maana kwa kusema hivi, mfalme ni kama mtu mwenye hatia, kwa kuwa mfalme hamjamrudisha tena mwanaye aliyeondoka.
and to say [the] woman and to/for what? to devise: devise like/as this upon people God and from to speak: promise [the] king [the] word: promised [the] this like/as guilty to/for lest to return: return [the] king [obj] to banish him
14 Kwa maana sisi sote tutakufa, kwa kuwa tu kama maji yamwagwayo juu ya ardhi na kwamba hayawezi kukusanywa tena. Lakini Mungu hatachukua uhai; badala yake, utafuta njia kwa walio mbali kurejeshwa.
for to die to die and like/as water [the] to pour land: soil [to] which not to gather and not to lift: bear God soul: life and to devise: design plot to/for lest to banish from him to banish
15 Sasa basi, nimesema jambo hili kwa bwana wangu mfalme, kwa sababu watu wamenitisha. Hivyo mtumishi wako akajinenea nafsini mwake, 'Sasa nitaongea na mfalme. Huenda mfalme akampa mtumishi wake haja yake.
and now which to come (in): come to/for to speak: speak to(wards) [the] king lord my [obj] [the] word: thing [the] this for to fear me [the] people and to say maidservant your to speak: speak please to(wards) [the] king perhaps to make: do [the] king [obj] word: speaking maidservant his
16 Kwa maana mfalme atanisikiliza, ili kwamba kumtoa mtumishi wake katika mikono ya mtu ambaye angeniangamiza mimi na mwanangu pamoja, tutoke katika urithi wa Mungu.
for to hear: hear [the] king to/for to rescue [obj] maidservant his from palm [the] man to/for to destroy [obj] me and [obj] son: child my unitedness from inheritance God
17 Kisha mtumishi wako akaomba, 'Yahwe, tafadhari ruhusu neno la bwana wangu mfalme linipe msaada, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu kwa kutofautisha wema na ubaya.' Yahwe, Mungu na awe pamoja nawe.”
and to say maidservant your to be please word lord my [the] king to/for resting for like/as messenger: angel [the] God so lord my [the] king to/for to hear: hear [the] good and [the] bad: evil and LORD God your to be with you
18 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke, Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo.” Mwanamke akajibu, “Basi bwana wangu mfalme na aseme sasa.
and to answer [the] king and to say to(wards) [the] woman not please to hide from me word: thing which I to ask [obj] you and to say [the] woman to speak: speak please lord my [the] king
19 Mfalme akasema, Je siyo mkono wa Yoabu ulio pamoja nawe katika haya yote? Mwanamke akajibu na kusema, “Kama uishivyo bwana wangu mfalme, hakuna awezae kuelekea mkono wa kulia wala wa kushoto kwa yale bwana wangu mfalme aliyosema. Ni mtumishi wako Yoabu aliyeniambia na kuniagiza kusema kile mtumishi wako alichokisema.
and to say [the] king hand: power Joab with you in/on/with all this and to answer [the] woman and to say alive soul: myself your lord my [the] king if: surely no there is to/for to go right and to/for to go left from all which to speak: speak lord my [the] king for servant/slave your Joab he/she/it to command me and he/she/it to set: put in/on/with lip maidservant your [obj] all [the] word [the] these
20 Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadilisha hali ya kile kinachotendeka. Bwana wangu ni mwenye akili kama hekima ya malaika wa Mungu, ajuaye yote yatendekayo ndani ya nchi.”
to/for in/on/with for the sake of to turn: changed [obj] face of [the] word: thing to make: do servant/slave your Joab [obj] [the] word: thing [the] this and lord my wise like/as wisdom messenger: angel [the] God to/for to know [obj] all which in/on/with land: country/planet
21 Hivyo mfalme akamwambia Yoabu, “Tazama, nitatenda jambo hili. Nenda na umrudishe huyo kijana Absalomu.”
and to say [the] king to(wards) Joab behold please to make: offer [obj] [the] word: thing [the] this and to go: went to return: return [obj] [the] youth [obj] Absalom
22 HivyoYoabu akainamisha uso wake chini juu ya ardhi katika heshima na shukurani kwa mfalme. Yoabu akasema, “Mtumishi wako amejua kwamba amepata neema mbele zako, bwana wangu, mfalme, kwa vile mfalme amempa mtumishi wake haja ya moyo wake.
and to fall: fall Joab to(wards) face his land: soil [to] and to bow and to bless [obj] [the] king and to say Joab [the] day to know servant/slave your for to find favor in/on/with eye: seeing your lord my [the] king which to make: offer [the] king [obj] word (servant/slave your *Q(K)*)
23 Hivyo Yoabu akainuka na kwenda Geshuri, akamrejesha Absalomu Yerusalemu tena.
and to arise: rise Joab and to go: went Geshur [to] and to come (in): bring [obj] Absalom Jerusalem
24 Mfalme akasema, “Na arudi nyumbani kwake, lakini hasinione uso wangu.” Hivyo Absalomu akarudi katika nyumba yake mwenyewe, na hakuweza kuuona uso wa mfalme.
and to say [the] king to turn: turn to(wards) house: home his and face: before my not to see: see and to turn: turn Absalom to(wards) house: home his and face: before [the] king not to see: see
25 Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu. Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote.
and like/as Absalom not to be man beautiful in/on/with all Israel to/for to boast: praise much from palm: sole foot his and till crown his not to be in/on/with him blemish
26 Alipokata nywele za kichwa chake mwishoni mwa kila mwaka, kwa sababu zilikuwa nzito juu yake, alipima nywele zake zaidi ya shekeli mia mbili, kwa kiwango cha kipimo cha mfalme.
and in/on/with to shave he [obj] head his and to be from end day: year to/for day: year which to shave for heavy upon him and to shave him and to weigh [obj] hair head his hundred shekel in/on/with stone: weight [the] king
27 Kwake Absalomu walizaliwa wana watatu na binti mmoja, jina lake Tamari. Alikuwa mwanamke mzuri.
and to beget to/for Absalom three son: child and daughter one and name her Tamar he/she/it to be woman beautiful appearance
28 Absalomu akaishi Yerusalem miaka miwili pasipo kuona uso wa mfalme.
and to dwell Absalom in/on/with Jerusalem year day and face: before [the] king not to see: see
29 Kisha Absalome akatuma neno kwa Yoabu ili ampeleke kwa mfalme, lakini Yoabu hakwenda kwake. Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili, lakini Yoabu hakuja bado.
and to send: depart Absalom to(wards) Joab to/for to send: depart [obj] him to(wards) [the] king and not be willing to/for to come (in): come to(wards) him and to send: depart still second and not be willing to/for to come (in): come
30 Hivyo Absalomu akawambia watumishi wake, “Tazameni, shamba la Yoabu lipo karibu na langu, naye ana shayiri kule. Nendeni mkalichome moto” Hivyo watumishi wa Absalome wakalichoma moto lile shamba.
and to say to(wards) servant/slave his to see: behold! portion Joab to(wards) hand: themselves my and to/for him there barley to go: went (and to kindle her *Q(K)*) in/on/with fire and to kindle servant/slave Absalom [obj] [the] portion in/on/with fire
31 Kisha Yoabu akainuka na kwenda nyumbani kwa Absalomu akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wamelichoma moto shamba langu?
and to arise: rise Joab and to come (in): come to(wards) Absalom [the] house: home [to] and to say to(wards) him to/for what? to kindle servant/slave your [obj] [the] portion which to/for me in/on/with fire
32 Absalomu akamjibu Yoabu, “Tazama nilituma neno kwako kusema, 'Njoo ili nikutume kwa mfalme kusema, “Kwa nini nilikuja kutoka Geshuri? Ingekuwa heri kwangu kama ningesalia huko. Kwa hiyo sasa niache niuone uso wa mfalme na kama nina hatia basi na aniue.”
and to say Absalom to(wards) Joab behold to send: depart to(wards) you to/for to say to come (in): come here/thus and to send: depart [obj] you to(wards) [the] king to/for to say to/for what? to come (in): come from Geshur pleasant to/for me still I there and now to see: see face: before [the] king and if there in/on/with me iniquity: guilt and to die me
33 Hivyo Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia. Mfalme alipomwita, Absalomu alikuja kwa mfalme na akainama hadi juu ya uso nchi mbele ya mfalme na mfalme akambusu Absalomu.
and to come (in): come Joab to(wards) [the] king and to tell to/for him and to call: call to to(wards) Absalom and to come (in): come to(wards) [the] king and to bow to/for him upon face his land: soil [to] to/for face: before [the] king and to kiss [the] king to/for Absalom

< 2 Samweli 14 >