< 2 Wafalme 13 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na saba.
Judah siangpahrang Ahaziah capa Joash a bawinae kum 23 navah, Jehu capa Jehoahaz teh Isarelnaw koe vah Samaria siangpahrang tawk a kamtawng hoi kum 17 touh a uk.
2 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe na kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli kuasi; na Yehoazi hakurudi kutoka kwao
BAWIPA mithmu vah kahawihoehe hno ouk a sak. Isarel ka payonsakkung Nebat capa Jeroboam yonnae hah ouk a sak teh cettakhai hoeh.
3 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, na akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli.
BAWIPA lungphuennae Isarel koe a kâan teh, Siria siangpahrang Hazael kut hoi Hazael capa Benhadad kut dawk pou a poe.
4 Hivyo Yehoazi akamsihi Yahwe, na Yahwe akamsikiliza kwa sababu aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa.
Jehoahaz ni BAWIPA koe pou a kâhei teh, BAWIPA ni a lawk hah a ngai pouh. Bangkongtetpawiteh, Isarelnaw repcoungroe dawkvah Siria siangpahrang ni repcoungroe e naw hah pou a hmu.
5 Basi Yahwe akawapa Israeli ulinzi, na wakakimbia kutoka kwenye mikono ya Washami, na watu wa Israeli wakaanza kuishi kwenye nyumba zao kama walivyokuwa kabla.
Hahoi teh, BAWIPA ni Isarelnaw hah ka rungngangkung a poe awh. Hahoi Siria kut dawk hoi a tâco awh. Yampa e patetlah Isarelnaw teh, amamouh im vah lungmawngcalah ao awh.
6 Hata hivyo, hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambaye alisabisha Israeli kuasi, na wakaendelea katika hayo; na huyo Ashera akabaki hivyo katika Samaria.
Hatei Isarel kapayonsakkung Jeroboam imthungkhunaw yonnae hah ceitakhai laipalah, pou a sak dawkvah, Samaria kho vah thingmeikaphawk hah pou ao rah.
7 Washami wakamuacha Yehoazi pamoja na waendesha farasi hamsini tu, magari ya farasi kumi, na watembea kwa miguu elfu kumi, kwa ajili ya mfalme wa Shamu alikuwa ameiharibu na kuwafanya kama makapi yaliyopurwa.
Bangkongtetpawiteh, Jehoahaz ni a taminaw thung dawkvah marangransanaw 50 touh hoi leng 10 touh, ransa 10, 000 touh dueng doeh a tawn. Bangkongtetpawiteh, Siria siangpahrang ni, be a raphoe pouh teh, cangkatinnae vaiphu mungpoung e patetlah doeh a kayei awh.
8 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yehoazi, na yote aliyoyafanya na nguvu zake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Jehoahaz tawksaknae hoi hnosakthainae naw teh Isarel siangpahrangnaw, setouknae cauk dawkvah be thut lah ao nahoehmaw.
9 Basi Yehoyazi akalala na mababu zake, na wakamzika katika samaria. Yohoashi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
Jehoahaz teh a na mintoenaw koe a kâhat teh, Samaria vah a pakawp awh. A capa Johash ni a yueng lah a uk.
10 Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, utawala wa Yehoashi mwana wa Yehoazi ulianza juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na sita.
Judah siangpahrang Joash a bawi kum 37 navah Jehoahaz capa Jehoash teh Samaria vah, Isarel siangpahrang lah bawi a kamtawng teh, kum 16 touh a uk awh.
11 Akafanya yaliyo maovu kwenye uso wa Yahwe. Hakuacha nyuma dhambi zozote za Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa kuwa aliwafanya Israeli kuasi, lakini alitembea pamoja nao.
BAWIPA mithmu vah hawihoehnae a sak. Isarel kapayonsakkung Nebat capa Jeroboam yonnae naw cettakhai laipalah pou a sak awh rah.
12 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoashi, na yote aliyoyafanya, na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Joash tawksaknae thung dawk hoi kaawm rae pueng hoi a sak e naw pueng teh Judah siangpahrang Amaziah a tuk nah e hnosakthainae naw pueng teh, Isarel siangpahrangnaw setouknae cauk dawkvah thut lah ao nahoehmaw.
13 Yehoashi akalala na mababu zake, na Yeroboamu akakalia kiti chake cha enzi cha kifalme. Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.
Joash teh a na mintoenaw koe a kâhat teh, Jeroboam teh a bawitungkhung dawk a tahung. Joash teh Samaria kho Isarel siangpahrangnaw koe a pakawp awh.
14 Basi Elisha akaugua ugonjwa ambao baadae ulimuua, hivyo Yehoashi yule mfalme wa Israeli akashuka chini kwake na kumlilia juu yake. Akasema, “Baba yangu, baba yangu, haya magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua!”
Elisha teh a duekhai hane patawnae hoi a pataw toe. Hahoi Isarel siangpahrang Joash teh ahni koe a cei teh a ka khai Apa Apa Isarel rangleng hoi marangransanaw lah na o atipouh.
15 Elisha akamwambia, “Chukua upinde na mishale,” basi Yoashi akachukua upinde na mishale.
Elisha ni na lilava lat haw atipouh. A lilava hah a la.
16 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Weka mkono wako kwenye upinde,” basi akaweka mkono wake kwenye huo. Kisha Elisha akalaza mikono yake kwenye mikono ya mfalme.
Isarel siangpahrang koe na licung hah kuen haw atipouh teh a licung hah a kuet. Elisha ni siangpahrang kut dawkvah a kut hah a toung.
17 Elisha akasema, “Fungua dirisha upande wa mashariki,” basi akalifungua. Kisha Elisha akasema, “Funga”, na akafunga. Elisha akasema, “Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu, kwa kuwa utawapiga Washami katika Afeki hadi utakapowaangamiza.”
Kanîtholae hlalangaw paawng haw atipouh teh a paawng pouh. Elisha ni, ka haw, atipouh teh a ka. Ahni ni BAWIPA tânae senehmaica, sirianaw tânae senehmaica doeh ka tho. Bangkongtetpawiteh, Aphek kho vah Sirianaw, be a rawk hoehroukrak na tâ han atipouh.
18 Kisha Elisha aksema, “Chukua mishale,” basi Yoashi akaichukua. Akamwambia mfalme wa Israeli, “Piga chini pamoja nao,” na akapiga chini mara tatu, kisha akaacha.
Hahoi teh, na samtang hah lat haw bout atipouh teh a la. Isarel siangpahrang koevah talai hem haw atipouh navah, vai thum touh a hem.
19 Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye na akasema, “Ungelipiga chini mara tano au mara sita. Ndipo ungeipiga Shamu hadi kuiangamiza, lakini sasa utaipiga Shamu mara tatu tu.”
Cathut e tami teh ahni koe a lungphuen. Vai panga vai taruk tabang na hem vai lah, Sirianaw teh be a mit totouh na tâ awh han ei. Hatei Sirianaw hah vai thum touh dueng doeh na tâ awh han tinae doeh toe atipouh.
20 Kisha Elisha akafa, na wakamzika. Sasa vikundi vya Wamoabi wakaingia kwenye nchi mwanzoni mwa mwaka.
Elisha teh a due hoi a pakawp awh. Kawmpoi tue a pha toteh Moabnaw ni Isarelnaw teh a tuk awh.
21 Ikawa walipokuwa wakimzika huyo mtu, wakaona kundi la Wamoabi, hivyo wakautupia ule mwili kwenye kaburi la Elisha. Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka na kusimama kwa miguu yake.
Tami buet touh pakawp han ati awh navah, Khenhaw! ransahu lawt a hmu awh. Hatdawkvah, hote ro hah Elisha e tangkom dawk pum a pabo awh. Hote ro ni Elisha hru a kâbet tahma a hring teh amae khok dawk a kangdue.
22 Hazaeli mfalme wa Shamu akawatesa Israeli siku zote za Yehoazi.
Siria siangpahrang Hazael ni, Jehoahaz se navah Isarel hah, pou a hnep awh.
23 Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao, kwa sababu ya agano lake na Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Hivyo Yahwe hakuwaangamiza, na bado hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake.
Hatei, BAWIPA ni, Abraham hoi Isak, Jakop koe lawk a kam dawkvah ahnimouh teh, a pahren, a lungma awh teh a ngaikhai awh. Ahnimouh teh raphoe ngai hoeh ni teh ama koehoi tâkhawng ngai hoeh.
24 Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, na Ben Hadadi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Siria siangpahrang Hazael teh a due toe. A capa Benhadad ni a yueng lah a uk.
25 Yehoashi mwana wa Yehoazi akairudisha kutoka kwa Ben Hadadi mwana wa Hazaeli miji ambayo aliichukua kutoka Yehoazi baba yake kwa vita. Yehoashi akamshambulia mara tatu, na akaipata miji ya Israeli.
Jehoahaz capa Jehoash ni, Hazael capa Benhadad ni, a na pa Jehoahaz hah a tâ teh kho a la pouh e naw hah Joash ni vai thum touh a tâ teh Isarel khopui hah bout a la.

< 2 Wafalme 13 >