< 2 Wafalme 12 >

1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
Jehu a bawinae kum 7 navah, Jehoash teh siangpahrang lah ao. Jerusalem vah kum 40 touh a uk, a manu min teh Zibiah Beersheba kho e tami doeh.
2 Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
Vaihma, Jehoiada ni Jehoash a pâtu nathung pueng teh BAWIPA mithmu vah, hawinae hah ouk a sak.
3 Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
Hatei hmuenrasang lah puen kalawn hoeh. Hmuenrasang dawk tami moikapap ni Cathut thuengnae hmuitui a sawi awh.
4 Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
Jehoash ni vaihmanaw koe BAWIPA im vah kâenkhai e hno kathoung ratangnae, hnopainaw pueng, milu touk tangcoungnaw koe kacetnaw pueng hanelah, khoe lah kaawm e kâratangnae hnonaw hoi bangpatet e tami ni BAWIPA im vah a ceikhai teh a pasoung awh e naw hah,
5 makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
vaihmanaw ni, amamae a uk awh e thungup lat van naseh. Bawkim a rawknae hmuen tangkuem koe rem awh naseh atipouh.
6 Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
Hatei siangpahrang Jehoash teh kum 23 touh a bawi nakunghai vaihmanaw ni bawkim ka rawk e naw heh pathoup kalawn awh hoeh.
7 Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
Hottelah siangpahrang Jehoash ni vaihma Jehoiada hoi vaihma alouknaw hah a kaw teh, ahnimouh koe, bangkongmaw bawkim ka rawk e hmuennaw hah na pathoup awh hoeh. Atu hoi teh, na uknae thung e tami koe e tangka lat awh hanh lawih. Bawkim ka rawk e pathoup nahanlah poe awh lawih telah a ti.
8 Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
Vaihmanaw ni hai ayânaw koe tangka toung laipalah, bawkim ka rawk e hai pathoup hoeh hanelah a hnâbo awh.
9 Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
Hot patetlah, vaihma Jehoiada ni thingkongca a la teh, a khuem hah a paawng. BAWIPA im kâennaw aranglah thuengnae khoungroe teng vah a tâ teh a sin awh e tangkanaw pueng hah, takhang ka ring e vaihma ni paloupalou a ta pouh.
10 Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
Hahoi teh hettelah doeh. Thingkong dawk tangka apap toe tie a panue awh toteh, siangpahrang e cakathutkung hoi vaihma kacue ni, a ceikhai teh BAWIPA im vah tangka kaawm e pueng a touk awh.
11 Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
A touk awh e tangka teh thaw katawknaw, BAWIPA im kasakkungnaw, imsakkathoumnaw e kut phu, talung kadeinaw hoiyah talung katâcawtsaknaw e kut phu hoi,
12 na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
Bawipa e Bawkim ka rawk e naw pathoup nahanlah thing hoi talung kuennae hoi im a rawknae koe, a pankinae hmuen pueng koe a hno awh.
13 Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
Hatei BAWIPA imthungkhu tangka a sin awh hoi BAWIPA im hanlah, ngun, rahum, hoi hmai paduenae hoi Ailo ka dung hoi mongka hoi suihlaamnaw, ngunhlaamnaw hah hote tangka hoi sak hoeh.
14 Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
Hatei, thaw katawkkungnaw ouk a poe awh teh BAWIPA e im pathoup nahanlah a hno awh.
15 Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
Thaw katawkkungnaw, poe hanlah tangka a kuem sak awh e naw hoi kuekluek parei pouh hoeh toe. Bangkongtetpawiteh, yuemkamculah a tawk awh.
16 Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
Kâtapoe thuengnae tangka hoi yon thuengnae tangka teh BAWIPA im dawk kâen sak a hoeh. Hot teh vaihmanaw e ham doeh.
17 Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
Siria siangpahrang Hazael ni, Gath a tuk. Be a la hnukkhu Hazael teh Jerusalem ban hanlah a noe.
18 Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
Judah siangpahrang Jehoash ni a na pa hoi Jehoshaphat hoi Jehoram hoi Ahaziah tinaw ni ouk a poe awh e kathounge hnonaw pueng, amamouh ni thoung sak awh e hnonaw hoi BAWIPA im kaawmnaw pueng hoi siangpahrang im vah kaawm, suinaw pueng a la awh teh, Siria siangpahrang Hazael a patawn awh. Hahoi teh Jerusalem a kamlang takhai awh.
19 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hot patetlah, Joash a tawksaknae naw thung dawk e kaawm rae naw, a sakyoe e naw pueng teh Judah siangpahrang setouknae cauk dawkvah koung thut lah ao nahoehmaw.
20 Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
Hahoi a taminaw a thaw awh teh a kâcoun awh. Joash teh Silla lah ceinae lam, Millo im vah, a hem awh teh a thei awh.
21 Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.
A san Shimeath capa Jozakhar koevah, Devit khopui dawk a pakawp awh teh a capa Amaziah teh a yueng lah a bawi.

< 2 Wafalme 12 >