< 2 Wakorintho 9 >

1 Kuhusiana na huduma kwa ajili ya waumini, ni bora zaidi kwangu kuwaandikia.
Om den undsättning, som sker helgonen, är icke behof att jag skrifver eder till.
2 Ninajua kuhusu shauku yenu, ambayo nilijivunia kwa watu wa Makedonia. Niliwaambia kwamba Akaya imekuwa tayari tangu mwaka uliopita. Hamu yenu imewatia moyo wengi wao kutenda.
Ty jag vet edar godvilja, af hvilken jag berömmer mig ibland dem i Macedonien, att Achajen var redo för ett år sedan; och edart efterdöme uppväckte många.
3 Sasa, nimewatuma ndugu ili kwamba majivuno yetu kuhusu ninyi yasiwe ya bure, na ili kwamba mngekuwa tayari, kama nilivyosema mngekuwa.
Dock hafver jag sändt dessa bröder, derföre att vår berömmelse om eder icke skall fåfäng vara uti detta ärende; och att I ären redo, såsom jag hafver sagt om eder;
4 Vinginevyo, kama mtu yeyote wa Makedonia akija pamoja nami na kuwakuta hamjawa tayari, tungeona haya — sisemi chochote kuhusu ninyi—kwa kuwa jasiri sana katika ninyi.
På det, om de af Macedonien med mig komma, och finna eder icke redo, att vi (jag vill icke säga I) icke då skolen få en blygd af sådana berömmelse.
5 Hivyo niliona ilikuwa muhimu kuwasihi ndugu kuja kwenu na kufanya mipango mapema kwa ajili ya zawadi mlizoahidi. Hii ni hivyo ili kwamba ziwe tayari kama baraka, na si kama kitu kilichoamriwa.
Syntes mig ock af nöden vara att förmana bröderna, att de först foro till eder, och tillredde den undsättning, som tillförene utlofvad var; att hon ligger redo, såsom en god undsättning och icke som någor karghet.
6 Wazo ni hili: mtu apandaye haba pia atavuna haba, na yeyote apandaye kwa lengo la baraka pia atavuna baraka.
Men det säger jag: Den som sparliga sår, han skall ock sparliga uppskära; och den som sår i välsignelse, han skall ock uppskära i välsignelse.
7 Basi na kila mmoja atoe kama alivyopanga moyoni mwake. Basi naye asitoe kwa huzuni au kwa kulazimishwa. Kwa kuwa Mungu humpenda yule atoaye kwa furaha.
Hvar och en som han sjelf vill; icke med olust, eller af tvång; ty en gladan gifvare älskar Gud.
8 Na Mungu anaweza kuizidishia kila baraka kwa ajili yenu, ili kwamba, kila wakati, katika mambo yote, muweze kupata yote mnayohitaji. Hii itakuwa ili kwamba mueze kuzidisha kila tendo jema.
Gud är mägtig så lagat, att allahanda nåd rikeliga blifver i eder; att I uti all ting alltid nog hafven, nog mägtige till alla goda gerningar;
9 Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn g165)
Såsom skrifvet är: Han hafver utstrött, och gifvit de fattiga; hans rättfärdighet blifver i evig tid. (aiōn g165)
10 Naye atoaye mbegu kwa mpanzi na mkate kwa ajili ya chakula, pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda. Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu.
Men den som räcker sädesmannenom det han sår, han skall ock räcka eder brödet till att äta, och skall föröka edra säd, och låta växa edra rättfärdighets frukt;
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili kwamba muweze kuwa wakarimu. Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi.
Att I rike blifven i all ting, uti all enfaldighet, hvilken i oss verkar, att Gudi sker tack.
12 Kwa kufanya huduma hii sio tu inagusa mahitaji ya waumini. Pia huzidisha katika matendo mengi ya shukrani kwa Mungu.
Ty denna undsättning icke allenast uppfyller den brist, som helgonen hafva; utan jemväl öfverflödar dertill, att månge tacka Gudi, de som denna hjelp väl täckes;
13 Kwa sababu ya kupimwa kwenu na kuthibitishwa kwa huduma hii, pia mtamtukuza Mungu kwa utii kwa ukiri wenu wa injili ya Kristo. Pia mtamtukuza Mungu kwa ukarimu wa karama yenu kwao na kwa kila mmoja.
Och prisa Gud för edor underdåniga bekännelse i Christi Evangelio, och för edra enfaldiga meddelan med dem och allom;
14 Wanawatamani, na wanaomba kwa ajili yenu. Wanafanya hivi kwa sababu ya neema kubwa ya Mungu iliyo juu yenu.
Och desslikes i deras böner för eder; hvilka ock längta efter eder, för den öfversvinnande Guds nåd som är i eder.
15 Shukrani ziwe kwa Mungu kwa karama yake isiyoelezeka!
Men Gudi vare tack för sina osägeliga gåfvo.

< 2 Wakorintho 9 >