< Wagalatia 1 >

1 Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
Paulus Apostel, icke af menniskor, icke heller genom mennisko; utan genom Jesum Christum, och Gud Fader, som honom uppväckt hafver ifrå de döda;
2 Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
Och alle bröder, som när mig äro, de församlingar i Galatien.
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
Nåd vare med eder, och frid af Gud Fader, och vårom Herra Jesu Christo;
4 aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
Som sig sjelf för våra synder gifvit hafver, på det han skulle uttaga oss ifrå denna närvarande onda verld, efter Guds och vårs Faders vilja; (aiōn g165)
5 Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
Hvilkom vare pris ifrån evighet till evighet. Amen. (aiōn g165)
6 Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
Mig förundrar, att I så snarliga låten eder afvända ifrå den, som eder kallat hafver uti Christi nåd, till ett annat Evangelium.
7 Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
Ändock intet annat är; utan att någre äro de eder förvilla, och vilja förvända Christi Evangelium.
8 Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
Men om ock vi, eller en Ängel af himmelen, annorlunda predikade Evangelium för eder, än vi eder predikat hafve, han vare förbannad.
9 Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
Såsom vi nu sadom, så säge vi än en tid: Om någor vore den eder predikar Evangelium annorlunda, än I undfått hafven, han vare förbannad.
10 Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
Predikar jag nu menniskom eller Gudi till vilja? Eller söker jag täckas menniskom? Hade jag härtilldags velat täckas menniskom, så vore jag icke Christi tjenare.
11 Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
Men jag gör eder vetterligit, käre bröder, att det Evangelium, som är predikadt af mig, är icke menniskligit.
12 Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
Ty jag hafver det icke fått af mennisko, icke heller lärt; utan genom Jesu Christi uppenbarelse.
13 Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
Ty I hafven väl hört min umgängelse fordom i Judaskapet, att jag öfvermåtton förföljde Guds församling, och förstörde henne;
14 Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
Och växte till mer och mer i Judaskapet, utöfver många mina likar i mitt slägte; och höll mig strängeliga vid fädernas stadgar.
15 Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
Men då Gudi täcktes, som mig af mins moders lif afskiljt hafver, och kallat mig genom sina nåd dertill;
16 kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
Att han ville uppenbara sin Son genom mig, att jag skulle genom Evangelium förkunna honom ibland Hedningarna; straxt föll jag till, och befrågade mig intet derom med kött och blod;
17 na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
Och kom icke heller till Jerusalem igen, till dem som voro Apostlar för mig, utan for bort i Arabien, och kom åter till Damascum.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
Sedan, efter tre år, kom jag igen till Jerusalem, till att se Petrum; och blef när honom i femton dagar.
19 Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
Men af de andra Apostlar såg jag ingen, utan Jacobum, Herrans broder.
20 Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
Men det jag skrifver eder, si, Gud vet, att jag icke ljuger.
21 Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
Derefter kom jag in uti de land Syrien och Cilicien.
22 Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
Men jag var okänd till ansigtet för de Christeliga församlingar i Judeen;
23 lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
Utan de hade allenast hört, att den som fordom förföljde oss, han predikar nu trona, som han fordom förstörde.
24 Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.
Och de prisade Gud för mina skull.

< Wagalatia 1 >