< 2 Nyakati 7 >
1 Sasa Selemani alipokuwa amemaliza kuomba, moto ukaja kutoka mbinguni na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.
Kad Salomon dovrši molitvu, spusti se oganj s neba i spali paljenicu i klanice i slava Jahvina ispuni Dom.
2 Makuhani hawakuweza kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, kwa sababu utukufu wake uliijaza nyumba yake.
Svećenici ne mogoše ući, jer slava Jahvina bješe ispunila Dom Jahvin.
3 Watu wote wa Israeli wakaangalia juu moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe ulikuwa juu ya nyumba. Wakalala kwa nyuso zao juu ya sakafu ya mawe, wakaabudu, na kutoa shukrani kwa Yahwe. Wakasema, “Kwa maana yeye ni mwema, kwa maana agano lake la kifame ladumu milele.”
Svi sinovi Izraelovi, videći gdje se oganj sa slavom Jahvinom spustio na Dom, padoše ničice k zemlji do kamenog poda; pokloniv se, počeše slaviti Jahvu “jer je dobar i jer je vječna njegova ljubav”.
4 Kwa hiyo mfalme na watu wote wakamtolea Yahwe sadaka Yahwe.
Potom kralj i čitav narod stadoše žrtvovati žrtve pred Jahvom.
5 Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu.
Kralj Salomon prinese za žrtvu dvadeset i dvije tisuće goveda, sto i dvadeset tisuća ovaca; i tako posvetiše Dom Jahvin i kralj i sav narod.
6 Makuhani wakasimama, kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu; Walawi pia pamoja na vyombo vya muziki vya Yahwe, ambavyo mfalme Daudi alivitengeza kwa ajili ya kumpa shukrani Yahwe katika nyimbo, “Kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Makuhani wote wakapiga matarumbeta mbele yao, na Israeli wote wakasimama.
Dok su svećenici stajali na dužnostima, leviti su na glazbalima za Jahvine pjesme, što ih učini kralj David, slavili Jahvu “jer je vječna njegova ljubav”. Time je David preko njihovih ruku hvalio Jahvu. Pred njima su svećenici trubili u trube, dok su Izraelci stajali.
7 Selemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
Salomon je posvetio i sredinu predvorja koje je pred Jahvinim Domom, jer je ondje prinio paljenice i pretilinu od pričesnica, jer na tučani žrtvenik koji bijaše napravio Salomon nisu mogle stati paljenice ni prinosi ni pretilina.
8 Kwa hiyo Selemani akaitisha sikukuu wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamaoja naye, kusanyiko kubwa, kutoka Lebo Hamathi mpaka kijito cha Misiri.
U to je doba Salomon svetkovao blagdan sedam dana i sav Izrael s njime, vrlo velik zbor, od Ulaza u Hamat pa do Egipatskoga potoka.
9 Siku ya nane wakaitisha kusanyiko la makini, kwa maana kwa siku saba walishika kuwekwa wakfu kwa ile madhabahu.
A osmoga su dana svetkovali svečani zbor, jer su posvetu žrtveniku svetkovali sedam dana i blagdan sedam dana.
10 Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba, Selemani akawatanya watu kwenda kwenye nyumba zao kwa furaha na mioyo ya shangwe kwa sababu ya wema aliokuwa ameuonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani, Israeli, na watu wake.
Dvadeset trećega dana sedmoga mjeseca posla ljude k njihovim šatorima i odoše vesela i zadovoljna srca zbog dobra koje je Jahve učinio Davidu i Salomonu i svem narodu izraelskom.
11 Hivyo Selemani akaimaliza nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe. Kila kitu kilichokuja katika moyo wa Selemani kwa ajili ya kukitengeneza katika nyumba ya mfalme na katika nyumba yake mwenyewe, alikitimiza kwa mafanikio.
Tako je Salomon dovršio Dom Jahvin i kraljevski dvor i izveo sve što god bješe zasnovano da izvrši u Domu Jahvinu i u svojem dvoru.
12 Yahwe akamtokea Selemani usiku na kusema kwake, “Nimesikia maombi yako, na nimeichagua sehemu hii kwa ajili yangu mwenyewe kama nyumba ya dhabihu.
Potom se Jahve ukaza Salomonu noću i reče mu: “Uslišao sam tvoju molitvu i izabrao to mjesto da mi bude Dom žrtve.
13 Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
Ako zatvorim nebo da ne bude dažda, ili zapovjedim skakavcima da popasu zemlju, ili pustim kugu na svoj narod,
14 kisha watu wangu, ambao wameitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, kuomba, kuutafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.
i ponizi se moj narod na koji je prizvano Ime moje i pomoli se i potraži lice moje i okani se zlih putova, ja ću ga tada uslišati s neba i oprostiti mu grijeh i izliječit ću mu zemlju.
15 Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza maombi yanayofanywa katika sehemu hii.
Moje će oči biti otvorene i moje uši pažljive na molitvu s ovoga mjesta.
16 Kwa maana sasa nimeichagua na kauitakasa nyumba hii ili kwamba jina langu lipate kuwa humo milele. Masikio yangu na moyo wangu vitakuwako kila siku.
Sada sam, dakle, izabrao i posvetio ovaj Dom da ovdje bude Ime moje zauvijek i ovdje će sve dane biti moje oči i moje srce.
17 Kwako wewe, kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea, ukitii yote nilyokuamuru na kuzishika sheria zangu na maagizo yangu,
A ti, budeš li išao preda mnom kako ti je išao otac David, vršeći sve što sam ti zapovjedio i držeći se mojih uredaba i zakona,
18 basi nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako, kama nilivyosema katika agano na Daudi baba yako, niliposema, 'Mzaliwa wako hatashindwa kamwe kuwa mtawala katika Israeli.'
uzdržat ću tvoje kraljevsko prijestolje kako sam obećao tvome ocu Davidu govoreći: 'Neće ti ponestati nasljednika koji bi vladao u Izraelu.'
19 Lakin ukigeuka, na kuzisahau sheria zangu na amri amabzo nimeweka mbele yenu, na kama utaenda kuabudu miungu wengine na kuwasujudia,
Ali ako me ostavite i napustite uredbe i zapovijedi koje sam vam dao te otiđete i počnete služiti tuđim bogovima i klanjati im se,
20 basi nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. Nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele zangu, na nitaifanya kuwa methali na utani miongini mwa watu wote.
istjerat ću Izraelce iz svoje zemlje koju sam im dao i odbacit ću od sebe ovaj Dom koji sam posvetio svojem Imenu i učinit ću od njega priču i sramotu među svim narodima.
21 Ingawa hekalu hili hili zuri sana kwa sasa, kila mtu apitaye karibu yake atashangazwa na ataguna. Watauliza, 'Kwa nini Yahwe ameifanyia hivi nchi hii na nyumba hii',
Tko god prođe mimo ovaj Dom koji bijaše preslavan zaprepastit će se od užasa i pitati: 'Zašto je Jahve tako učinio s ovom zemljom i s ovim Domom?'
22 wengine watajibu, 'Kwa sababu walimsahau Yahwe, Mungu wao, ambaye alikuwa amewatoa babu zao nje ya nchi ya Misiri, na wakashikamana na miungu wengine na kuwainamia chini na kuwaabudu. Hii ndiyo maana Yahwe ameleta majanga haya yote juu yao”
I odgovorit će mu se: 'Ostavili su Jahvu, Boga svojih otaca, koji ih je izveo iz Egipta, i okrenuli se tuđinskim bogovima, i klanjali im se, i služili im, i zato je Jahve pustio na njih sve ovo zlo.'”