< 2 Nyakati 35 >
1 Yosia asherehekea Pasaka kwa ajili ya Yahwe katika Yerusalemu, na wakachinja wanakondoo katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Et Josias célébra à Jérusalem la Pâque à l’Éternel; et on égorgea la pâque, le quatorzième jour du premier mois.
2 Akawaweka makauhuni katika nafasi zao na akawatia moyo katika hudumza za nyumba ya Yahwe.
Et il établit les sacrificateurs dans leurs charges, et les encouragea pour le service de la maison de l’Éternel.
3 Akasema kwa Walawi waliowafundisha Israeli wote na waliokuwa wamewekwa wakifu kwa Yahwe. “Liwekeni sanduka takatifu katika nyumba ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga. Msilibebe kuzunguka nalo tena mabegani mwenu. Sasa mwabuduni Yahwe Mungu wenu, na watumikieni watu wake Israeli.
Et il dit aux lévites qui enseignaient tout Israël, [et] qui étaient saints, [consacrés] à l’Éternel: Mettez l’arche sainte dans la maison que Salomon, fils de David, roi d’Israël, a bâtie: vous n’avez pas à la porter sur l’épaule; servez maintenant l’Éternel, votre Dieu, et son peuple Israël;
4 Jikusanyeni wenyewe kwa majina ya nyumba za babu zenu na zamu zenu, mkifuata maelekezo ya Daudi, mfalme wa Israeli, na yale ya Selemani, mwaye.
et préparez-vous, selon vos maisons de pères, selon vos divisions, suivant l’écrit de David, roi d’Israël, et suivant l’écrit de Salomon, son fils;
5 Simeni katika sehemu takatifu, mkichukua nafasi zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa bdugu zenu, uzao wa watu, na mchukue sehemu zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa Walawi.
et placez-vous dans le lieu saint pour les sections des maisons de pères de vos frères, les fils du peuple, et selon les divisions des maisons de pères des lévites;
6 Chinjeni wanakondoo wa Paska, jitakaseni wenyewe, andaeni wankondoo kwa ajili ya ndugu zenu, kufanya sawa sawa na neno la Yahwe ambalo lilitolewa kwa mkono wa Musa”.
et égorgez la pâque, et sanctifiez-vous, et préparez [la pâque] pour vos frères, afin d’agir conformément à la parole de l’Éternel par Moïse.
7 Yosia akawapa watu wote wanakondoo elfu thelathini na wanambuzi kutoka katika makundi kwa ajili ya sadaka za Pasaka kwa wote walikuwepo. Pia akatoa ng'ombe dume elfu tatu; hawa walikuwa kutoka katika mali ya mfalame.
Et Josias donna aux fils du peuple du menu bétail, des agneaux et des chevreaux, au nombre de 30 000, le tout pour les pâques, pour tous ceux qui se trouvaient là, et 3 000 bœufs; cela fut [pris] sur les biens du roi.
8 Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska.
Et ses chefs donnèrent volontairement pour le peuple, pour les sacrificateurs et pour les lévites. Hilkija, et Zacharie, et Jekhiel, les princes de la maison de Dieu, donnèrent aux sacrificateurs, pour les pâques, 2 600 [têtes de menu bétail] et 300 de gros bétail.
9 Pia Konania, Shemaya na Nethaneli, ndugu zake, na Hashabia, Yeieli, na Yazabadi, mkuu wa Walawi, akawapa Walawi ndama elfu tano kwa ajili ya matoleo ya Pasaka.
Et Conania, et Shemahia et Nethaneël, ses frères, et Hashabia, et Jehiel, et Jozabad, chefs des lévites, donnèrent pour les lévites 5 000 [têtes de menu bétail] pour les pâques, et 500 de gros bétail.
10 Kwa hiyo huduma iliandaliwa, na makuhani wakasimama katika sehemu zao, pamoja na Walawi kwa zamu zao, kwa mjibu wa agizo la mfalme.
Et le service fut réglé, et les sacrificateurs se tinrent à leurs places, et les lévites dans leurs divisions, selon le commandement du roi.
11 Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka, na makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi, na Walawi wakawachuna wanakondoo.
Et ils égorgèrent la pâque; et les sacrificateurs firent aspersion [du sang qu’ils recevaient] de leurs mains, et les lévites écorchaient [les victimes].
12 Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, ili kuzisambaza katika makundi ya nyumba za mababu wa watu, ili wamtolee Yahwe, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Musa. Wakafanya vile vile kwa wale ng'ombe dume.
Et ils mirent à part les holocaustes pour les donner aux sections des maisons de pères des fils du peuple, pour les présenter à l’Éternel, selon qu’il est écrit dans le livre de Moïse; et [ils firent] de même pour le gros bétail.
13 Wakawaoka kwa moto wanakondoo wa Pasaka wakifuata maelekezo, kuhusu sadaka takatifu, walizichemsha kwenye vyungu, masufuria na makaangoni, na haraka wayapeleka kwa watu.
Et ils firent cuire la pâque au feu, selon l’ordonnance; et les choses saintes, ils les firent cuire dans des chaudières, et des chaudrons, et des poêles, et les distribuèrent à la hâte à tous les fils du peuple.
14 Baadaye waliandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, uzao wa Haruni, walikuwa wametingwa katika kazi ya kutoa sadaka za kuteketezwa na za mafuta hadi usiku ulipoingia, kwa hiyo Walawi wakaandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.
Et ensuite, ils préparèrent [ce qui était] pour eux et pour les sacrificateurs; car les sacrificateurs, fils d’Aaron, [furent occupés] jusqu’à la nuit à offrir les holocaustes et les graisses; et les lévites préparèrent [ce qui était] pour eux-mêmes, et pour les sacrificateurs, fils d’Aaron.
15 Waimbaji, wana wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagiwa na Daudi, Asafu, Hemani, na Yeduthuni, mwonaji wa mfalme, na walinzi walikuwa katika kila lango. Hawakutakiwa kuviacha vituo vyao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya maandalizi kwa ajili yao.
Et les chantres, fils d’Asaph, étaient à leur place, selon le commandement de David, et d’Asaph, et d’Héman, et de Jeduthun, le voyant du roi; et les portiers étaient à chaque porte: ils n’eurent pas à se retirer de leur service, car leurs frères, les lévites, préparaient [ce qui était] pour eux.
16 Kwa hiyo, wakati huo huduma yote ya Yahwe ilifanyika kwa ajili ya kusherekea Pasaka na kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Yahwe, Kama alivyoamuru mfalme Yosia.
Et tout le service de l’Éternel fut réglé, en ce jour-là, pour faire la Pâque, et pour offrir des holocaustes sur l’autel de l’Éternel, selon le commandement du roi Josias.
17 Watu wa Israeli ambao walikuwepo wakaishika Sabato wakati huo, na kisha Sikukuu ya Mikate isiyochachwa kwa siku saba.
Et les fils d’Israël présents, firent la Pâque en ce temps-là, et la fête des pains sans levain pendant sept jours.
18 Pasika kama hiyo haijafanyika tena katika Israeli tangu siku za nabii Samweli, wala hakuna mfalme yeyote miongoni mwa wafalme wa Israeli ambaye amewahi kusherekea Pasaka kama Yosia alivyofanya, pamoja na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wote wa Yerusalemu.
Et on n’avait point célébré en Israël de Pâque semblable depuis les jours de Samuel, le prophète; et aucun des rois d’Israël n’avait célébré une Pâque comme celle que firent Josias, et les sacrificateurs et les lévites, et tout Juda et Israël, qui s’y trouvèrent, et les habitants de Jérusalem.
19 Pasaka hii ilitunzwa ndani ya miaka kumi na nane ya utawala wa Yosia.
Cette Pâque fut célébrée la dix-huitième année du règne de Josias.
20 Baada ya haya yote, baada ya Yosia kuliweka hekalu katika utaratibu, Neko, mfalme wa Misiri, akaenda juu kupigana dhidi ya Karkemist karibu na mto Frati, na Yosia akaenda kupigana juu yake.
Après tout cela, quand Josias eut mis en état la maison, Neco, roi d’Égypte, monta pour faire la guerre à Carkemish sur l’Euphrate; et Josias sortit à sa rencontre.
21 Lakini Niko akatuma wajumbe kwake, akisema, “Nikufanye nini, mfalme wa Yuda? Leo siji kinyume nawe, lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo. Mungu ameniamuru kuwahi, hivyo acha kumwingilia Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”
Et [Neco] lui envoya des messagers, disant: Qu’y a-t-il entre moi et toi, roi de Juda? Ce n’est pas contre toi que je viens aujourd’hui, mais contre la maison avec laquelle je suis en guerre, et Dieu m’a dit de me hâter. Désiste-toi de [t’opposer à] Dieu, qui est avec moi, afin qu’il ne te détruise pas.
22 Hata hivyo, Yosia alipuuzia kurudi nyuma. Akajibadili ili apigane naye. Hakusikiliza maneno ya Neko ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu; hivyo akaenda kupigana kataika bonde la Megido.
Et Josias ne se détourna pas de lui, mais il se déguisa pour combattre contre lui; et il n’écouta pas les paroles de Neco, [qui venaient] de la bouche de Dieu. Et il vint pour combattre dans la vallée de Meguiddo.
23 Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, na mfalme akawaambia watumishi wake, “Niondoeni hapa, kwa maana nimejeruhiwa vibaya.”
Et les archers tirèrent sur le roi Josias; et le roi dit à ses serviteurs: Ôtez-moi d’ici, car je suis grièvement blessé.
24 Kwa hiyo watumishi wake wakamtoa nje ya gari, na kumuweka katika gari lake la tahadhari. Wakampeleka Yerusalemu, ambako alikufa. Alzikwa katika makaburi ya babu zake. Yuda wote na Yerusalemu wakamwomboleza.
Et ses serviteurs l’ôtèrent du char, et le mirent sur un second char qu’il avait, et le conduisirent à Jérusalem. Et il mourut; et on l’enterra dans les sépulcres de ses pères; et tout Juda et Jérusalem menèrent deuil sur Josias.
25 Yeremia akamwomboleza Yosia; waimbaji wote wa kiume na wa kike wakaomboleza kuhusu Yosia hata leo. Nyimbo hizi zikawa desturi katika Israeli; tazama, zimeandikwa katika nyimbo za maombolezo.
Et Jérémie fit des lamentations sur Josias; et tous les chanteurs et toutes les chanteuses ont parlé de Josias dans leurs lamentations jusqu’à aujourd’hui; et on l’a établi comme ordonnance pour Israël. Et, voici, cela est écrit dans les Lamentations.
26 Kwa mambao mengine kuhusu Yosia, na matendo yake mema aliyoyafanya katika utii kwa kile kilichoandikwa katika sheria ya Yahwe—
Et le reste des actes de Josias, et ses actions pieuses, conformément à ce qui est écrit dans la loi de l’Éternel,
27 na matendo yake, kutoka mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
et ses actes, les premiers et les derniers, voici, ils sont écrits dans le livre des rois d’Israël et de Juda.