< 2 Nyakati 32 >

1 Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
Hezekiah lengpa hin kitahna neitah a Pakai lungdeilam ahollai tah in Assyria lengpa Sennacherib hin Judah gam sung ahin bulutan ahi. Aman kulkikai khum khopiho ahin lonvuhtan chuleh asepaite chu kulpi palhochu vochipma khopi sunga lutdingin thu apen ahi
2 Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
Sennacherib min Jerusalem khopi ahin nokhumtai ti amu phatnin,
3 aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
Amanam a noija lamkai holeh sepai lamkai hotoh akihoutoh in khopi polamma longdoh twi chu sutang ding tin aki loltaove
4 Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
Hitichun mitamtah akikhom doh un twi gamsunga long lutjouse chu asutang gammun hitin aseijuve: “Ipi dinga Assyria lengpa chu hunga twi neng jeng junga amuthei diu ham?” atiove
5 Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
Hitichun aman khopi chim hochu asemphan khopi sunga panmun akisem toh'in akisuh hatnin pal chunga insang hojong atungdoh in chuleh polanga palchom jong asemben, galmanchah holeh ompho hojong neng chetnin asemmin ahi
6 Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
Hiche banna chun aman aman khopi sunga mipi hochu sepai lamkaiho noija akoiyin amahochun khopi kelkot kom mun onglai jachun akhommin hitihin ajah uva chun tilkhou na thu aseijin ahi
7 “Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
”Hatnunglang hangun Assyria lengpa leh ahinkilhon pi mihonpi jehkhun kicha hih un, ajeh chu ama umpiho sangin eiho umpi ho atamjouve” ati
8 walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
Ajeh chu ama umpi hohi tahsaphe muthei sepaiho ahiove amavang eiho ei umpiova chu Pakai Pathen ahin amatah in igallu hi eisat hu pehdiu ahi” ati. Hiti hin Judah lengpa Hezekiah thucheng hohin mipi hochu alung ngamsah in ahan sansah lheh jengtan ahi
9 Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
Hiche jouhin Assyria lengpa Sennacherib chun asoh teho chu Jerusalem langah asollin, Judah lengpa Hezekiah leh Jerusalem ma um Judah te jouse komma chun aseisah in:
10 “Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
Assyria lengpa Sennacherib min hitin aseije ipi kisonpi nanei juva kalonvuh khumsa Jerusalem mahi nahiti um ngamu ham?
11 Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
Nalengpao Hezekiah in Pakai na Pathenun keiho lengpa a konna nahuh diuva asei chu najou lhepmu ahin, gilkel le dangchah a nathisah gamgot nu ahibouve
12 Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
Ama hilouham houdang maicham leh halnam ho susea Judah te Jerusalem mipi te jah a houkhat seh leh maicham khatsehbou neiding tia chu Hezekiah hilouham?
13 Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
Kapu kapateo leh keiman nam dang ho chunga katohnaohi nahet lou uham? Namdnagho pathen hon Assyria lengpa – a konna amite ahuhhing jou mong mong ngam?
14 Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
Itih monga gamdang pathen nin agammi keihoa konna ahuhdoh jou beh am? Ahileh tua chu iti nangai touva na Pathennu chun keihoa konna nahuhdoh joudiuva chu ipin nakinepsah uham?
15 Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
Phatah in kingai touvin Hezekiah chu hitichun ki lheplhah sah hih un, Tahsan hih un koimacha nam pathen nin Assyria lengpa – a kon in amite ahuhdoh jou pon ahi. Tahbeh in nangho Pathen nin jong kei hoa konna nang ho nahuhdoh joubeh dingham?
16 Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
Assyria lamkai hochun Pakai Pathen leh Pathen sohpa Hezekiah demna chu thilthang hoi tah tahjong aseijun ahi
17 Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
Assyria lengpan athot lekha chun Israel Pakai Pathen chu aha dem lheh jengin ahi. Hichun aseije: “Namdnag ho pathenin katha nein a – a kon in amiteo ahuhdoh jou pouvin ahi, Hezekiah Pathennin jong keija kon in amite huhdoh joupon te” atin ahi
18 Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
Amahon mipi hetding chun Hebrew paovin Jerusalem mipiho leh palchunga umho jahdinga ahet thei dingu chuleh lungneosah ding hitia chu bailamtah a jothei nading atio ahi
19 Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
Judate Pathen chu nam dang dangho semthu pathen toh kibanga aseikhum jengu ahi
20 Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
Tun Hezekiah lengpa leh Isaiah Amoz chapa chu Pathen hengah kaple pengin ataolhon tan ahi
21 Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
Hijouchun avantil khat ahin sollin hiche vantil chun mihang mihat, lamkai Assyria lengpa sepai hojouse chu athat gamhel tan ahi. Hichun ama jahchatah leh jumtah in agamma akile tan ahi. Hichun aman asemthu Pathen houinna aum sungin achate alut un chemjam min asat lih taovin ahi
22 Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
Hitichun Pakaiyin Hezekiah lengpa leh Jerusalem mipi techu Assyria lengpa leh galmi danghoa kon in ahuhdoh tan ahi. Hitichun Pathenin amite chu avelluva cheng gamsung mihoa kon in jong chamna alensah taan ahi
23 Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
Mitamtah in Jerusalem Pakai jadingin kiphaldohna thilpeh ahin choijun chuleh Judah lengpa Hezekiah dingin kipa thilpeh ahung peovin hichea konhin Hezekiah chu namtin lah a choisangin a um taan ahi
24 Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
Hichephat laisung hin Hezekiah chu ahung dammotan athi kon ahitaan, Pathen komma ataovin ahileh Pathenin nadamdoh ding ahinai atin melchih nakhat apen ahi
25 Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
Ahinlah Hezekiah chu Pakaiyin Judah leh Jerusalem chuleh amachunga thilpha abolpeh ho chunga kipathu seithei loukhop min ahung kiletsah taan hijechun amachung leh Judah le Jerusalem chunga chun Pathen lunghan na ahung chu tan ahi.
26 Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
Hiphat chun amaleh Judah te leh Jerusalem miteho nasatah in akisunem mun ahileh Hezekiah hinlai sungin achung'uva hunglhung ding hochu asoh tapon ahi
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
Hezekiah chun neilegou ahaolheh jengtaan jana lentah jong achangin ahi. Aman sana le dangka chuleh song mantam, namtwi ho, ompho holeh thilman tamtah ho koinading dankhat jong asaovin ahi
28 Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
Hiche chung chonnin jong chang le mim, lengpitwi chuleh Olive thao le ganchaho koitup na ding chuleh kelngoi chalho inding akikolkhum agetpeh in ahi
29 Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
Hicheho banna hin Pathennin kelngoi gancha jatchom chom tamtah leh neile gou tamtah anapen khopi tamtah jong anatun dohsah in ahi
30 Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
Hichu Hezekiah hin Gihon vadung twilondoh na achungnungjo jongchu ana ting tangin David khopi nilhum lang ngin asuh lonsah in ahi. Hiche Hezekiah hi atoh na lam lammah akhangtou lheh jengin ahi
31 Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
Babylon khopi lhalheng hon hiche gamsunga thil kidang tah tah sohdoh ho kholtoh dinga ahung u chun Pathennin apatepmin achanglha tan ahi
32 Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Hezekiah lengpan athil bol jouse leh Pakaija akipeh na ho jouse chu Amos chapa Isaiah gaothilmu hotoh Judah leh Israel lengte thusim kijih na lekhabu a akijih lutsoh keijin ahi
33 Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.
Hezekiah athiphatnin lengte kivuina na lhaan achungnung pa achun avuijun ahi. Judah holeh Jerusalem mipiten athichun jana nasatah anapeovin ahi, Hitichun achapa Manasseh in lengmun alo taan ahi

< 2 Nyakati 32 >