< 1 Petro 2 >

1 Kwa hiyo wekeni pembeni uovu wote, udanganyifu, unafiki, wivu na kashifa.
Amaiba: le, wadela: i hou huluane yolesima! Ogogosu hou, dabua fawane dafawaneyale dawa: su hou, mudasu hou amola gadesu sia: , amo huluane yolesima.
2 Kama watoto wachanga, mtamani maziwa safi ya kiroho, ili kwamba mweze kukua ndani ya wokovu,
Dilia da gaheabolo lalelegei mano dudubu amo defele, a:silibu dodo maga: me hanaiba: le, amo nahabeba: le dilia da asigilale, gaga: sudafa hou ba: mu.
3 kama mmeonja kwamba Bwana ni mwema.
Gode Sia: da agoane dedei, “Dilia dilisu da Gode Ea asigidafa hou hogobeba: le ba: i dagoi.”
4 Njoni kwake aliye jiwe hai linaloishi ambalo limekataliwa na watu, lakini hilo limechaguliwa na Mungu na ni la thamani kwake.
Hina Gode da fedege agoane igi esala. Osobo bagade dunu ilia da amo igi da hamedei liligi dawa: beba: le, higa: i. Be Gode da amo igi noga: i ba: beba: le, Ema ilegei. Ema misa!
5 Ninyi pia ni kama mawe yaliyo hai yanayojengwa juu kuwa nyumba ya kiroho, ili kuwa ukuhani mtakatifu ambao hutoa dhabihu za kiroho zinazokubaliwa kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.
Gode da igi esala amoga fedege agoane a: silibu diasu gagulala. Dilia igi esala agoane, misa! Gode da ea diasu gagumusa: dili lale, dilia da Yesu Gelesuma madelagiba: le, hadigi gobele salasu dunu agoane, a:silibu gobele salasu Godema imunu. Amo Gode da hahawane ba: mu.
6 Andiko husema hivi, “Tazama, nimeweka katika Sayuni jiwe la pembeni, kuu na lililochaguliwa na la thamani. Yeyote aaminiye katika yeye hataona aibu”.
Gode Sia: da agoane dedei diala, “Na da Igi ida: iwane gala ilegei. Amo Na da diasu baidafa agoane Saione moilai bai bagadega bugimu galebe. Nowa dunu da Ea hou lalegagusia, e da hame gogosiamu.”
7 Hivyo heshima ni yenu kwenu ninyi mnaoamini. Lakini, “jiwe lililokataliwa na wajenzi, hili limekuwa jiwe kuu la pembeni”-
Dilia da amo Igi dafawaneyale dawa: beba: le, hahawane bagade ba: mu. Be nowa da dafawaneyale hame dawa: sea, Gode Sia: da agoane dedei diala, “Diasu gagusu dunu da amo Igi da hamedei liligi dawa: beba: le, fadegai dagoi. Be Gode da amo Igi baligili mimogodafa hamoi.”
8 na, “jiwe la kujikwaa na mwamba wa kujikwaa.”Wao hujikwaa, wanaolikataa neno, kwa lile ambalo pia walikuwa wameteuliwa kwalo.
Gode Sia: eno da agoane dedei, “Dunu ilia da amo Igiga emo udagaguli dafamu!” Gode da amo hou hamomusa: dawa: beba: le, ilia Gode Ea sia: dafawaneyale hame dawa: beba: le, udagaguli dafai.
9 Lakini ninyi ni ukoo uliochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa miliki ya Mungu, ili kwamba mweze kutangaza matendo ya ajabu ya yule aliyewaita kutoka gizani kuja kwenye nuru yake ya ajabu.
Be dilia da Gode Ea ilegei fi. Dilia da Hina Bagade Ea gobele salasu dunu. Dilia da Gode Hi fi dunu, hadigi fi hamoi. Gode da dili gasi yolesili, Ea hadigi ida: iwane amo ganodini esaloma: ne, dilima ilegei dagoi. E da Ea hou ida: iwane amo eno dunuma olelema: ne, dili asunasi.
10 Ninyi kwanza hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu. Ninyi hamkupokea rehema, lakini sasa mmepokea rehema.
Musa: dilia da Gode Ea fi dunu hame galu. Be wali dilia da Gode Ea fi dunu. Musa: dilia da Gode Ea gogolema: ne olofosu hame dawa: i galu. Be wali, E da iabeba: le, dilia da Gode Ea gogolema: ne olofosu lalegagui dagoi.
11 Wapendwa, nimewaita kama wageni na wazurujaji kujinyima kutoka kwenye tamaa mbaya za dhambi, ambazo zinapigana vita na roho zenu.
Na fi dunu! Dilia da ga fi dunu agoane osobo bagadega esalebeba: le, na dilima ha: giwane edegesa. Dilia hu ea hanai hou amo da eso huluane dilia a: silibu amoma gegenana. Be dilia hu ea hou hasalima: ne, amo gegesu mae yolesima!
12 Mnapaswa kuwa na tabia njema kati ya mataifa, ili kwamba, kama watawasema kama kwamba mmefanya mambo maovu, wataziangalia kazi zenu njema na kumsifu Mungu katika siku ya kuja kwake.
Gode Ea hou hame lalegagui dunu amo ilia gilisisu ganodini dilia hou da ida: iwane ba: mu da defea. Ilia da dili da wadela: i hamosu dunu ogogole sia: sa. Be dilia da noga: iwane hamobeba: le, amo ilia dawa: beba: le, Gode Ea bu misunu Esoga, ilia da dilima nodomu fawane.
13 Tii kila mamlaka ya mwanadamu kwa ajili ya Bwana, ikiwa mfalme kama mkuu,
Dilia Hina Gode Ea hou lalegagui amo dawa: beba: le, osobo bagade ouligisu dunu ilia sia: nabawane hamoma. Louma hina bagade da osobo bagade hou amo ganodini hinadafa. Amaiba: le, dilia ea sia: nabima.
14 ikiwa watawala waliotumwa kuwaadhibu watenda mabaya na kuwasifu wale wanaotenda mema.
Amola eha eagene ouligisu dunu ilia wadela: i hamosu dunuma se dabe iasu ima: ne amola hou ida: iwane dunuma nodoma: ne, e da ili ilegei dagoi. Amaiba: le, dilia ilia sia: amolawane nabima.
15 Kwa kuwa ni mapenzi ya Mungu, kwamba kwa kufanya mema mwanyamazisha mazungumzo ya kipuuzi ya watu wapumbavu.
Bai Gode da agoane hanai galebe. Dilia hou ida: iwane hamobeba: le, gagaoui dunu ilia udigili sia: dasu logo da hedofai dagoi ba: mu.
16 Kama watu huru, msiutumie uhuru wenu kama kifuniko kwa maovu, bali muwe kama watumishi wa Mungu.
Dilia udigili halegale lalebe dunu agoane esaloma! Be udigili halegale lalebeba: le, wadela: i hou dedeboma: ne mae hamoma. Be dilia Gode Ea udigili hawa: hamosu dunu defele esaloma!
17 Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mwogopeni Mungu. Mweshimuni mfalme.
Esega! Dunu huluanema asigima! Dilia Yesu Ea fi dunuma asigima! Godema beda: ma amola hina bagade dunu ilima nodoma!
18 Watumwa, watiini bwana zenu kwa heshima yote, siyo tu bwana walio wazuri na wapole, lakini pia walio waovu.
Dilia hawa: hamosu dunu! Dilia ouligisu dunu ilia sia: nabawane hamoma amola ilima nodoma. Asigi ouligisu dunu amo fawane hame, be nimi bagade ouligisu dunu amola amo ea sia: nabawane hamoma.
19 Kwa kuwa ni sifa kama yeyote atavumilia maumivu wakati anapoteseka pasipo haki kwa sababu ya dhamiri yake kwa Mungu.
Dilia da Gode Ea hanai hou dawa: beba: le, hou ida: iwane hamobeba: le mae hihini se nabasea, Gode da dilima hahawane dogolegesu hou olelemu.
20 Ni faida gani iliyopo kama mwadumu kutenda dhambi kisha mwendelee kuadhibiwa? Lakini kama mmefanya mema na ndipo mteseke kwa kuhukumiwa, hii ni sifa njema kwa Mungu.
Be dilia wadela: i hou hamoiba: le se dabe iasu lasea, amo da dilima bidi imunu liligi hame. Be dilia hou ida: iwane hamobeba: le se iasu lasea mae hihini esalea, Gode da dilima hahawane dogolegele imunu.
21 Kwa hili mliitwa, kwa sababu Kristo pia aliteswa kwa ajili yenu, amewaachia mfano kwa ajili yenu kufuata nyayo zake.
Yesu Gelesu da dili fidima: ne se bagade nabi. Dilia da amo hou fa: no bobogema: ne, E da se nabi. Amo Yesu Ea se nabasu defele dili hamoma: ne, Gode da dilima ilegei dagoi.
22 Yeye hakufanya dhambi, wala haukuonekana udanganyifu wowote kinywani mwake.
Yesu Gelesu da wadela: i hou hamedafa hamosu. Dunu afae da Ea lafidili ogogole sia: su hamedafa nabi.
23 Wakati yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano, alipoteseka, hakutisha bali alijitoa mwenyewe kwake Yeye ahukumuye kwa haki.
Dunu eno da Ema gadele sia: noba, E da bu dabe hame gadei. E da se nabaloba, E da dabemu mae sia: ne, be Gode (Moloidafa Fofada: su Dunu) amo da E fidimu E dawa: beba: le, E da dafawaneyale hamoma: beyale dawa: i.
24 Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake kwenye mti, ili kwamba tusiwe na sehemu tena katika dhambi, na kwamba tuishi kwa ajili ya haki. Kwa kupigwa kwake ninyi mmepona.
Yesu Gelesu da ninia wadela: i hou huluane Ea da: iga lalegaguli, ifa bulufalegeiga bogoi. Ninia da wadela: i hou amoma bogole, bu hou moloidafa hamomusa: esaloma: ne, Yesu da bogoi dagoi. Yesu Ea fofa: gi amoga ninia da uhi dagoi.
25 Wote mliokuwa mkitangatanga kama kondoo aliyepotea, lakini sasa mmerudi kwa mchungaji na mlinzi wa roho zenu.
Dilia da sibi fisi agoane ba: su. Be Sibi Ouligisu da dili bu oule misi dagoi. Sibi Ouligisu amo da dilia a: silibu ouligisa. Dilia da Ema fa: no bobogema: ne, E da dili bu oule misi.

< 1 Petro 2 >