< Yakobo 1 >

1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mbili yaliyotawanyika, salaam.
Na da Ya: mese, Gode amola Hina Gode Yesu Gelesu, Ea hawa: hamosu dunu esala. Na da dilia Gode Ea fi dunu osobo bagade fifi asi gala amo ganodini esala, dilima asigi sia: dedesa.
2 Hesabuni kuwa ni furaha zaidi, ndugu zangu, mnapopita katika matatizo mbali mbali,
Na fi dunu! Adoba: su hou hisu hisu da dilima doaga: sea, mae da: i dione, hahawane ba: ma! Bai Gode da dilima adoba: su hou amo logo hame hedofasea, dilia da mae dafane lelebeba: le, bu gasawane leloma: ne dawa: mu.
3 mkijua kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huwapa uvumilivu.
4 Acheni uvumilivu uikamilishe kazi yake, kwamba muweze kukomaa kikamilifu, bila kupungukiwa katika lolote.
Be Gode da dilia hou afadenene ida: idafa hamomusa: dawa: lalebeba: le, dilia amo hou ida: iwanedafa amoga doaga: ma: ne, mae dafane gebewane hahawane masa.
5 Lakini kama mtu kati yenu anahitaji hekima, aiombe kutoka kwa Mungu, ambaye hutoa kwa ukarimu na pasipo kukemea kwa wote wamwombao, na atawapa hekima.
Be nowa dunu da bagade dawa: su hou hame galea, defea, e da amo lama: ne Godema sia: ne gadomu da defea. Gode da dunu huluane ilima mae hihini hahawane dogolegele imunusa: dawa: beba: le, E da amo hou imunu.
6 Lakini omba kwa imani, bila shaka, kwa kuwa mwenye kutia shaka ni kama mawimbi katika bahari, huchukuliwa na upepo na kutupwa huku na huko.
Be dilia Godema sia: ne gadosea, dilia logo osea: i hame, be afae fawane asili, dafawaneyale dawa: iwane sia: ne gadomu da defea. Be nowa da dafawaneyale hame dawa: sea, e da hano gafului foga sefasisa agoane ba: sa.
7 Kwa hakika mtu huyu asifikirie kwamba atapokelewa ombi lake kutoka kwa Bwana;
8 mtu huyu ana nia mbili, si imara katika njia zake zote.
Agoai dunu, e da la: ididili la: ididili logo aduna masusa: dawa: beba: le, e da Hinadafa da ema ea hanai liligi imunusa: hamedei agoane ba: mu.
9 Ndugu maskini anapaswa kujivuna katika kusimama kwake juu,
Yesu Ea fa: no bobogesu dunu liligi hame gagui dunu, amo Gode da gaguia gadosea, e da hahawane ba: mu da defea.
10 wakati huo huo ndugu tajiri katika unyenyekevu wake, kwa sababu atatoweka kama ua la kondeni katika shamba analopita.
Be Gode da liligi bagade gagui dunu ea hou fonobosea, e amola hahawane ba: mu da defea. Bai bagade gagui dunu ilia da hedolo biomu gisi amo ea sogea defele hedolo mugulumu.
11 Jua huchomoza na joto la kuunguza kukausha mimea, na maua huanguka na uzuri wake hufa. Vivyo hivyo watu matajiri watachakaa katikati ya kazi zao.
Eso ma: sea, gia: i bagadeba: le, amo gisi da hedolo biole, gugunufinisi dagoi ba: sa. Amo defele, bagade gagui dunu da bidi lasu hawa: hamonanea, e da hedolowane gugunufinisi dagoi ba: mu.
12 Amebarikiwa mtu yule anayevumilia majaribu, kwa kuwa baada ya kushinda jaribu hilo, atapokea taji ya uzima, ambayo imeahidiwa kwa wale wampendao Mungu.
Nowa dunu da adoba: su hou amo ganodini ea hou hame yolesisia, e da hahawane gala. Bai e da mae yolesili, amo adoba: su hou baligisia, Gode da Ema asigi dunu ilima imunu ilegele sia: i liligi amo esalusudafa habuga, bidi agoane ema imunu.
13 Mtu yeyote hapaswi kusema anapojaribiwa, “Jaribu hili linatoka kwa Mungu,” kwa sababu Mungu hajaribiwi na uovu, na Mungu mwenyewe hamjaribu yeyote.
Be adoba: su hou da ema dafama: ne olelemusa: doaga: sea, “Gode da nama dafama: ne olelesa!” amo sia: mu da defea hame. Bai wadela: i dafama: ne adoba: su hou da Godema doaga: mu da hamedei. Amola E da dunu afae ema dafama: ne hamedafa adoba: sa.
14 Kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mbaya zinazomshawishi na kumvuta mbali.
Be adoba: su hou da dunu hiougisia, e da fedege agoane hisu wadela: i hanai asigi dawa: suga saniga: i dagoi ba: sa.
15 Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti.
Amasea, ea wadela: i hanai hou da ea dogo ganodini wadela: i hou mano agoane hamone, amo da lalelegesea wadela: i houdafa ba: sa. Amasea, wadela: i hou da asigilasea, amo da mano eno hamosa, amo da bogosu.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
Na dogolegei fi dunu! Na da Sa: ida: ne ea dilima ogogomu higa: i gala mabu.
17 Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika hutoka juu, hushuka chini kutoka kwa Baba wa nuru. Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo.
Ida: iwane iasu liligi huluanedafa da Hebene sogega maha. Gode, amo da muagado gamali huluane hahamoi dunu, E da afadenemu mae dawa: le, gasi hamomusa: sinidigimu hame dawa: E da iasu liligi ida: iwane gala huluane iaha.
18 Mungu alichagua kutupa sisi uzima kwa Neno la kweli, ili kwamba tuweze kuwa kama uzao wa kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
Gode da hanaiba: le, Ea Sia: dafawane amoga nini hahamoi dagoi. Ea da nini Ea hahamoi liligi amoma bisilua esaloma: ne, nini hahamoi dagoi.
19 Mnajua hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mmoja anapaswa kuwa mwepesi wa kusikia, siyo mwepesi wa kuongea wala kukasirika,
Na dogolegei fi dunu! Dawa: ma! Dunu huluane ilia ha: giwane nabimu da defea. Be hedolowane bu mae adole ima amola hedolo mae ougima.
20 kwa kuwa hasira ya mwanadamu haiwezi kutenda haki ya Mungu.
Osobo bagade dunu ilia ougi hou da Gode Ea ida: iwane hawa: hamosu hame fidisa.
21 Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote ulio mahali popote, na kwa unyenyekevu lipokeeni neno lililopandwa ndani yenu, ambalo lina uwezo wa kuokoa roho zenu.
Amaiba: le, wadela: i hou amola nigima: hou huluane yolesima. Godema nabasu hou hamoma. Gode Ea sia: amo da dilima gaga: su liligi, E da dilia dogo ganodini hawa: agoane bugimusa: dawa: Dilia amo sia: lalegaguma.
22 Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
Dilia ogogole Gode Ea sia: gega fawane mae nabima. Be Gode Ea sia: nabawane hamoma.
23 Kwa kuwa kama yeyote alisikiaye neno bila kulitendea kazi ni sawa na mtu ajiangaliaye uso wake halisi katika kioo.
Nowa dunu da Gode Ea sia: gega nabalu be nabawane hame hamosea, amo da dunu e da ea odagi ba: ma: ne daya ba: su ganodini ba: sa agoane.
24 Hujitathimini uso wake, na huenda zake na baada ya muda mfupi husahau anavyofanana.
Amo dunu da ea odagi ea ba: su ba: lalu, asili, e da hedolowane ea odagi ba: su hou bu gogolesa.
25 Bali mtu yule anayeiangalia kwa uangalifu sheria kamili, sheria ya uhuru, na kuendelea kuitii, si kwa sababu yeye ni msikilizaji anayesahau, huyu mtu atabarikiwa anapoitenda.
Be nowa da sema ida: iwanedafa (amo da osobo bagade dunu halegalewane masa: ne hamosa), amo e da ha: giwane mae yolesili ba: sea amola nabawane mae gogolele hamonanea, amo dunu da osobo bagadega esalea, Gode Ea hahawane dogolegele iasu ba: mu.
26 Ikiwa mtu yeyote atafikiri mwenyewe kuwa ni mtu wa dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, huudanganya moyo wake na dini yake ni bure.
Nowa dunu da Gode Ea hou lalegagui dagoi hi dawa: sea, defea, e da ea gona: su amoma ouligisuwane esalumu da defea. Nowa dunu da ea gona: su amoma ouligisawane hame esalea, e da Gode hame dawa: amola hi da hima ogogosa.
27 Dini iliyo safi na isiyoharibiwa mbele za Mungu wetu na Baba ni hii: kuwasaidia yatima na wajane katika mateso yao, na kujilinda wenyewe na ufisadi wa dunia.
Ada Gode da Ema fa: no bobogesu houdafa amo fawane hahawane dogolegele ba: sa. Gode da Ema fa: no bobogesu houdafa agoane ba: sa: - Amo da guluba: mano ouligisu hou, didalo se nababeba: le ouligisu hou, amola wadela: i osobo bagade hou amoga afafasu hou.

< Yakobo 1 >