< 1 Wakorintho 9 >
1 Mimi si huru? Mimi si mtume? Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana?
Bhuli, nne nngabha nanngwana? Bhuli, nne nngabha ntume? Bhuli, nne nangaabhona a Yeshu Bhakulungwa bhetu? Bhuli, mmanganya kulundana kwenunji na Bhakulungwa nngabha kwa ligongo lya liengo lyangu?
2 Ikiwa mimi si mtume kwa wengine, angalau ni mtume kwenu ninyi. Kwa maana ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana.
Ibhaga nne nngabha ntume kubhandunji bhana, ikabheje kwenu mmanganya nne ntume. Mmanganya ni ukong'ondelo gwa utume gwangu nkulundana kwenunji na a Kilishitu.
3 Huu ndio utetezi wangu kwa wale wanaonichunguza mimi.
Kwa bhene bhannugulanga bhala shingwiibheleketela ni nnei.
4 Je hatuna haki ya kula na kunywa?
Bhuli, twangali aki ja pegwa shalya na ya papila kwa liengo lyetu?
5 Hatuna haki kuchukua mke aliye amini kama wafanyavyo mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?
Bhuli, twangali aki ja longana naka jwankongwe Nkilishitu, malinga shibhatendanga mitume bhana, ashaalongo ajabhonji Bhakulungwa na nkali a Kepa?
6 Au ni mimi peke yangu na Barnaba ambao tunapaswa kufanya kazi?
Eu bhuli, nne na a Bhanabha ni tupingwa kamula liengo nkwiilolesheya indu yetu?
7 Ni nani afanyaye kazi kama askari kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye mzabibu na asile matunda yake? Au ni nani achungaye kundi asiyekunywa maziwa yake?
Bhuli, linjola gani akwiilipila nnyene nniengo lyakwe? Gani apanda mishabhibhu analye iepo yakwe? Gani ashunga likundi anapapile mabhele ga likundi lyakwe?
8 Je ninasema haya kwa mamlaka ya kibinadamu? Sheria nayo haisemi haya?
Bhuli, ngunabheleketa genega shigundupe? Bhuli, najalakwe shalia jikalugula nneyo peyo?
9 Kwa kuwa imeandikwa katika sheria ya Musa, “usimfunge ng'ombe kinywa apulapo nafaka.” Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe?
Ishijandikwa nshalia ja a Musha, “Nnantabhe kang'wa ng'ombe alikubhata yalya.” Bhuli, penepo a Nnungu gubhabheleketaga ga ng'ombe?
10 Au je hasemi hayo kwa ajili yetu? imeandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu yeye alimaye nafaka inampasa kulima kwa matumaini, naye avunaye inampasa avune kwa matarajio ya kushiriki katika mavuno.
Bhuli, a Nnungu bhakatuganishiyaga uwe pubhabhelekete nneyo? Elo, genega gashinkujandikwa kwa ligongo lyetu, pabha alima, na auna jula, bhowe bhakwetenje aki ja pata upambi gwa mauno.
11 Ikiwa tulipanda vitu vya rohoni miongoni mwenu, Je! Ni neno kubwa kwetu tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu?
Monaga uwe tupandile mmbeju ja muntima munkumbi gwenunji, bhuli, ikabha sha mmbone uwe tupataga indu ya pashilambolyo kopoka kwenu mmanganyanji?
12 Ikiwa wengine walipata haki hii kutoka kwenu, Je! Sisi si zaidi? Hata hivyo, hatukuidai haki hii. Badala yake, tulivumilia mambo yote badala ya kuwa kikwazo cha injili ya Kristo.
Ibhaga ashimitume bhananji bhakwetenje aki ja jangutilwa na mmanganyanji, bhuli, uwe twangali aki kupunda bhanganyabho? Ikabheje uwe tushikujileka jene akijo, ikabhe twashinkwiipililila nkupinga tunajibhishile shigwegwe shoshowe Ngani ja Mmbone ja a Kilishitu.
13 Hamjui ya kuwa wote wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni? Hamjui ya kuwa wote watendao kazi madhabahuni hupata sehemu ya kile kilichotolewa madhabahuni?
Mmanganya mmumanyinji kuti, bhaakamulanga liengo nniekalu bhanapatanga yalya nniekalu, na bhatendanga liengo lya bhishila mbepei pa shitala, bhanapatanga lipungu lya mbepeiyo.
14 Kwa jinsi iyo hiyo, Bwana aliagiza ya kuwa wote wanaoitangaza injili sharti wapate kuishi kutokana na hiyo injili.
Nneyo peyo Bhakulungwa bhashiamulisha kuti, bhaalunguyanga Ngani ja Mmbone bhapatanje ya lamila Nngani ja Mmbonemo.
15 Lakini sijawadai haki zote hizi. Na siandiki haya ili jambo lolote lifanyike kwa ajili yangu. Ni heri mimi nife kuliko mtu yeyote kubatilisha huku kujisifu kwangu.
Ikabheje, nne nangalonga yene akiyo wala jimo. Na wala ngajandika gegano nkupinga mbate yene akiyo, pabha kwangu nne, mbaya niiwile ikabheje nngabha mundu amone kuti ngunakwiiniya payoyo.
16 Maana ikiwa naihubiri injili, sina sababu ya kujisifu, kwa sababu ni lazima nifanye hivi. Na ole wangu nisipoihubiri injili!
Ibhaga ngulunguya Ngani ja Mmbone, lyenelyo nngabha lya kwiipunila, pabha njipegwa amuli. Numbe ole gwangu, monaga ngalunguye Ngani ja Mmbone!
17 Kwa maana nikifanya hivi kwa hiari yangu, nina thawabu. Lakini ikiwa si kwa hiari, bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili.
Ibhaga ngakamwile lyene liengoli kwa engwa kwangu, bhai ngalolele kulipwa, ikabheje ngaakamula kwa engwa kwangu, ikabhe ngunapinjikwa kukamula lyene liengoli.
18 Basi thawabu yangu ni nini? Ya kuwa nihubiripo, nitaitoa injili pasipo gharama na bila kutumia kwa utimilifu wa haki yangu niliyonayo katika Injili.
Bhai nshaala gwangu nndi? Nshaala gwangu ni nema ja lunguya Ngani ja Mmbone, gwangali kulonga aki yangu ya nkulunguya.
19 Maana japo nimekuwa huru kwa wote, nilifanyika mtumwa wa wote, ili kwamba niweze kuwapata wengi zaidi.
Kwa nneyo, nkali nne nili nngabha nantumwa juka mundu jojowe, njikwiitenda nantumwa juka kila mundu, nkupinga naapatanje bhandu bhabhagwinji.
20 Kwa Wayahudi nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama mmoja wao aliye chini ya sheria ili niwapate wale walio chini ya sheria. Nilifanya hivyo ingawa mimi binafsi sikuwa chini ya sheria.
Ku Bhayaudi nashinkutama mbuti Nanyaudi, nkupinga naapatanje Bhayaudi. Nguti, ku bhandu bha shalia, nashinkwiitenda mbuti mundu jwa shalia, nkali nili nngabha mundu jwa shalia, nkupinga naapatanje bhandu bha shalia.
21 Kwa wale walio nje ya sheria, nilikuwa kama mmoja wao nje ya sheria, ingawa mimi binafsi sikuwa nje ya sheria ya Mungu, bali chini ya sheria ya Kristo. Nilifanya hivyo ili niwapate wale walio nje ya sheria.
Kubhalinginji na shalia, nashinkutama mbuti nangali shalia, nkupinga naapatanje bhangalinginji na shalia. Nngabha kuti nangali shalia ja a Nnungu, ikabhe ngwete shalia ja a Kilishitu.
22 Kwa walio wanyonge nilikuwa mnyonge, ili niwapate walio wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa baadhi.
Ku bhangalinginji mashili nngulupai, nashinkwiitenda mbuti nangali mashili, nkupinga naapatanje bhangalinginji mashilibho. Nashinkwiitenda kila shindu kubhowe, nkupinga kila mushiibhele, naatapulanje bhananji, munkumbi gwabhonji.
23 Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya injili, ili nipate kushiriki katika baraka.
Ngunatenda yowei ga ligongo lya Ngani ja Mmbone, nkupinga mbate mboka yakwe.
24 Hamjui ya kuwa katika mbio wote washindanao hupiga mbio, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Hivyo pigeni mbio ili mpate tuzo.
Bhuli, nkakumumanyanga kuti pa lubhanja lwa ing'ando, bhowe bhanabhutukanga lubhilo, ikabheje apata upo jumope? Mmutukanje nneyo nkupinga mpatanje upo.
25 Mwana michezo hujizuia katika yote awapo katika mafunzo. Hao hufanya hivyo ili wapokee taji iharibikayo, lakini sisi tunakimbia ili tupate taji isiyoharibika.
Na kila abhutuka lubhilo, anakwiobhelesheya nileka yowe, bhanatendanga nneyo nkupinga bhapatanje shilemba shiangabhanika, ikabhe uwe tupate shilemba shangaangabhanika.
26 Kwa hiyo mimi sikimbii bila sababu au napigana ngumi kama kupiga hewa.
Nneyo peyo numbe nne ngunabhutuka lubhilo, nkupinga ngombole, ngunakoma ubha nngabha mbuti akoma ubha pangali shindu.
27 Lakini nautesa mwili wangu na kuufanya kama mtumwa, ili kwamba nijapokwisha kuwahubiri wengine, mimi mwenyewe nisiwe wa kukataliwa.
Ikabhe ngunakushiobhelesheya shiilu shangu ya ukomu, inabhe naalungushiyangaga bhananji, namwene nikanwa.