< 1 Wakorintho 8 >
1 Sasa kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu: tunajua ya kwamba “sisi sote tuna maarifa.” Maarifa huleta majivuno, bali upendo hujenga.
Kwa nneyo, ga yalya ishoshiywe mbepei ku yanamu, tumumanyi kuti uwe tubhowe tushikola lumanyio, ikabheje lumanyio lunatenda bhandu bhaipunanje, ikabhe kupingana kunakwaataganga bhandu ntima.
2 Ikiwa mtu yeyote anadhani kwamba anajua jambo fulani, mtu huyo bado hajui kama impasavyo kujua.
Aganishiya kuti anakushimanya shindu, kwa kweli akakushimanya shoshowe malinga shaapinjikwa kumanya.
3 Lakini ikiwa mmoja wapo akimpenda Mungu, mtu huyo anajulikana naye.
Ikabheje mundu akwaapinga a Nnungu, a Nnungu bhammanyi jwene mundujo.
4 Basi kuhusu kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu: twajua kuwa “sanamu si kitu katika dunia hii,” na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.”
Kwa nneyo ga yalya ishoshiywe mbepei ku yanamu, tumumanyi kuti shanamu nngabha a Nnungu bha kweli, ikabheje a Nnungu bha kweli ni bhamope.
5 Kwa maana kuna wengi waitwao miungu ikiwa ni mbinguni au duniani, kama vile walivyo “miungu na mabwana wengi.”
Nkali monaga ipali ishemwa ashinnungu, pa shilambolyo eu kunnungu, na malinga shibhalinginji ashinnungu na bhakulungwanji bhabhagwinji,
6 “Ijapokuwa kwetu kuna Mungu mmoja tu ambaye ni Baba, vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake, na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na kwa yeye sisi tupo.”
ikabheje kwetu uwe, bhapali a Nnungu bhamope, Atati, bhapengenye indu yowe na kwa mashili ga bhenebho uwe tunalama. Tunakulupalila kuti bhapali Bhakulungwa bhamope a Yeshu Kilishitu pitila bhenebho a nnungu gubhapengenye indu yowe, ni bhakutupa gumi.
7 Hata hivyo, ujuzi huu haupo ndani ya kila mmoja. Badala yake, wengine walishiriki ibada za sanamu hapo zamani, na hata sasa wanakula vyakula hivi kana kwamba ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu. Dhamiri zao zimepotoshwa kwa kuwa ni dhaifu.
Ikabheje nngabha kila mundu anakwimanya yenei. Pabha bhapalinji bhananji bhayobhelelenje yanamu, mpaka nnaino pubhalyanganga yene yalyayo pubhaganishiyanga kuti ishishoywa mbepei ku yanamu. Pabha bhangashimilikanga mmitima jabhonji, pubhakwibhonanga bhanalebhanga.
8 Lakini chakula hakitatuthibitisha sisi kwa Mungu. Sisi sio wabaya sana kama tusipo kula, wala wema sana ikiwa tutakula.
Ikabheje shalya shikakutubhika tome na a Nnungu. Tukalye shakwa shitutubhila, na tulyaga shakwa shitujenjeshewa.
9 Lakini iweni makini ya kwamba uhuru wenu usiwe sababu ya kumkwaza aliye dhaifu katika imani.
Ikabheje mwiteiganje, aki jenunji jinaatendanje bhangashimilikanga nngulupai bhatendanje yambi.
10 Hebu fikiri kwamba mtu amekuona, wewe uliye na ujuzi, unakula chakula katika hekalu la sanamu. Dhamiri yake mtu huyo haitathibitika hata yeye naye ale vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu?
Pabha, mundu akanabhe shimilika nngulupai, ammonaga mmwe nkwete lumanyio nnilya yene yalyayo nniekalu lya yanamu, bhuli, akatagwa ntima gwa lya indu ishoshiywe mbepei ku yanamu?
11 Kwa hiyo kwa sababu ya ufahamu wako wa ukweli juu ya asili ya sanamu, kaka au dada yako aliye dhaifu, ambaye pia Kristo alikufa kwa ajili yake, anaangamizwa.
Kwa nneyo, nnongo nnjenu jwangashimilika nngulupaijo jubhanng'wilile a Kilishitu, shaaobhe kwa ligongo lya lumanyio lwenu.
12 Hivyo, unapofanya dhambi dhidi ya kaka na dada zako na kuzijeruhi dhamiri zao zilizo dhaifu, mnatenda dhambi dhidi ya Kristo.
Mwaalebhelangaga ashaalongo ajenunji nikwaulayanga mmitima jabhonji, penepo nnakwaalebhelanga a Kilishitu.
13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn )
Kwa nneyo, ibhaga shalya shinabha shiumilo sha kuntenda nnongo nnjangu atende shambi, bhai ngalya nnyama kabhili, nkupinga ngunannebhiye nnongo nnjangu. (aiōn )