< 1 Nyakati 9 >
1 Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
Therfor al Israel was noumbrid, and the summe of hem was writun in the book of kyngis of Israel and of Juda; and thei weren translatid in to Babiloyne for her synne.
2 Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
Sotheli thei that dwelliden first in her citees, and in the possessiouns of Israel, and the preestis, and the dekenes, and Natyneys, dwelliden in Jerusalem.
3 Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
Of the sones of Juda, and of the sones of Beniamyn, also of the sones of Effraym, and of Manasses;
4 Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
Othi, the sone of Amyud, sone of Semry, sone of Omroy, sone of Bonny, of the sones of Phares, the sone of Juda;
5 Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
and of Sylom, Asia, the firste gendrid, and his sones;
6 Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
sotheli of the sones of Zaray, Heuel, and hise britheren; sixe hundrid fourescore and ten.
7 Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
Forsothe of the sones of Beniamyn; Salo, the sone of Mosollam, the sones of Odoia, the sones of Asana,
8 Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
and Jobanya, the sone of Jerobam, and Ela, the sone of Ozi, the sones of Mochozi, and Mosollam, the sone of Saphacie, sone of Rahuel, sone of Jebanye, and the britheren of hem,
9 Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
bi her meynees; nyne hundrid sixe and fifti. Alle these weren princes of her kynredis by the housis of her fadris.
10 Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
Forsothe of the preestis, Joiada, Jozarib, and Jachym;
11 Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
and Azarie, the sone of Helchie, sone of Mosollam, sone of Sadoch, sone of Maraioth, sone of Achitob, was bischop of the hows of the Lord.
12 Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
Forsothe Adaias, sone of Jeroam, sone of Phasor, sone of Melchia, and Masaia, sone of Adihel, sone of Jezra, sone of Mosollam, sone of Mosselamoth, sone of Emyner,
13 Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
also her britheren, prynces bi her meynees, weren a thousynde seuene hundrid and fourescoore, men strongeste in bodili myyt, to make the werk of seruyce in the hows of the Lord.
14 Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
Forsothe of dekenes, Semeya, the sone of Assub, sone of Ezricam, sone of Asebyn, of the sones of Merary;
15 Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
also Balthasar the carpenter, and Galebeth, and Machama, sone of Mycha, sone of Zechri, sone of Asaph,
16 Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
and Obdias, sone of Semey, sone of Calaal, sone of Idithum, and Barachie, the sone of Asa, sone of Helcana, that dwellide in the porchis of Methophati.
17 Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
Sotheli the porteris weren Sellum, and Achub, and Thelmon, and Achyman, and the britheren of hem; Sellum was the prince;
18 Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
til to that tyme thei kepten bi her whilis in the yate of the kyng at the eest, of the sones of Leuy.
19 Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
Sellum forsothe, the sone of Chore, sone of Abiasaph, sone of Chore, with hise britheren, and with the hows of his fadir; these ben the sones of Chore on the werkis of the seruyce, keperis of the porchis of the tabernacle, and the meynees of hem kepten bi whilis the entryng of the castelis of the Lord.
20 Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
Forsothe Phynees, the sone of Eleazar, was the duyk of hem bifor the Lord.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
Sotheli Zacarie, the sone of Mosollam, was porter of the yate of the tabernacle of witnessyng.
22 Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
Alle these chosun in to porteris bi yatis weren twei hundrid and twelue, and weren discryued in her owne townes, which dekenes Dauid and Samuel, the prophete, ordeyneden in her feith,
23 Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
both hem and the sones of hem in the doris of the hows of the Lord, and in the tabernacle of witnessyng, bi her whiles.
24 Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
Porteris weren bi foure coostis, that is, at the eest, and at the west, and at the north, and at the south.
25 Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
Forsothe her britheren dwelliden in townes, and camen in her sabatis fro tyme til to tyme.
26 Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
Al the noumbre of porteris was bitakun to these foure dekenes, and thei kepten the chaumbris, and the tresours of the hows of the Lord.
27 Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
Also thei dwelliden in her kepyngis bi the cumpas of the temple of the Lord, that whanne tyme were, thei schulden opene the yatis eerli.
28 Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
Men of her kyn weren also on the vessels of seruyce; for the vessels weren borun in at noumbre, and weren borun out of hem.
29 Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
And thei that hadden the vesselis of seyntuarie bitakun to her kepyng, weren souereyns on flour, and wyn, and oile, and encense, and swete smellinge spyceries.
30 Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
Sotheli the sones of preestis maden oynementis of swete smellynge spiceries.
31 Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
And Mathatias dekene, the firste gendrid sone of Sellum of the kynrede of Chore, was the souereyn of alle thingis that weren fried in the friyng panne.
32 Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
Sotheli men of the sones of Caath, the britheren of hem, weren on the looues of settyng forth, that thei schulden make redi euere newe looues bi ech sabat.
33 Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
These ben the princis of chauntouris bi the meynees of Leuytis, that dwelliden in chaumbris, so that thei schulden serue contynueli dai and nyyt in her seruyce.
34 Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
The heedis of Leuitis bi her meynees, the princes, dwelliden in Jerusalem.
35 Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
Forsothe there dwelliden in Gabaon; Jaiel, the fadir of Gabaon, and the name of his wijf Maacha;
36 Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Abdon, his firste gendrid sone, and Sur, and Cys, and Baal,
37 Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
and Ner, and Nadab, and Gedor, and Ahaio, and Zacharie, and Macelloth; forsothe Macelloth gendride Semmaa;
38 Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
these dwelliden euene ayens her britheren in Jerusalem, with her britheren.
39 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Sotheli Ner gendride Cys, and Cys gendride Saul, and Saul gendride Jonathan, and Melchisue, and Abynadab, and Hisbaal.
40 Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
Forsothe the sone of Jonathan was Myribaal, and Myribaal gendride Mycha.
41 Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
Sotheli the sones of Micha weren Phiton, and Malech, and Thara;
42 Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
forsothe Aaz gendride Jara, and Jara gendride Alamath, and Azmoth, and Zamri; and Zamri gendride Moosa,
43 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
sotheli Moosa gendride Baana, whose sone Raphaia gendride Elisa, of whom Esel was gendrid.
44 Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli
Forsothe Esel hadde sixe sones bi these names, Ezricam, Bochru, Hismael, Saria, Obdia, Anan; these weren the sones of Hesel.