< 1 Nyakati 8 >
1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Forsothe Beniamyn gendride Bale his firste gendrid sone, Asbaal the secounde, Othora the thridde,
Naua the fourthe, and Rapha the fyuethe.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And the sones of Bale weren Addoar, and Jera, and Abyud, and Abisue,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
and Noemany, and Acte,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
but also Gera, and Sophupham, and Vram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
These ben the sones of Haoth, princes of kynredis dwellynge in Gabaa, that weren translatid in to Manath.
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Forsothe Noaman, and Achia, and Jera, `he translatide hem, and gendride Oza and Abyud;
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
forsothe `Saarym gendride in the cuntrey of Moab, aftir that he lefte Vrym and Bara, hise wyues;
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
sotheli he gendride of Edes, his wijf, Jodab, and Sebia, and Mosa, and Molchon, also Jebus, and Sechia, and Maryna;
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
tho ben the sones of hym, prynces in her meynees.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Forsothe Musyn gendride Achitob, and Elphaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Sotheli the sones of Elphaal weren Heber, and Musaam, and Samaath; he bildide Ono, and Lod, and hise villagis;
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
forsothe Bara and Sama weren princes of kynredis dwellynge in Hailon; these dryueden awei the dwelleris of Geth;
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
and Haio, and Sesath, and Jerymoth,
and Zadabia, and Arod, and Heder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
and Mychael, and Jespha helpiden hem `ayens men of Geth; the sones of Abaria,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
and Zadabia, and Mosollam, and Ezethi,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
and Heber, and Jesamary, and Jezlia, and Jobab helpiden `in this iurney ayens men of Geth. The sones of Elphaal weren Jachym,
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
and Jechri,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
and Zabdi, and Helioenay, and Selettay,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
and Henelech, and Adaia, and Barasa, and Samarath; the sones of Semey weren Jesphan,
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
and Heber, and Esiel, and Abdon,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
and Zechry, and Canaan, and Anany, and Jalam,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
and Anathotia, and Jephdaia, and Phanuel;
the sones of Sesac weren Sampsaray,
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
and Scoria, and Otholia, and Jersia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
and Helia, and Zechri, the sones of Jeream.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These weren patriarkis and princes of kynredis, that dwelliden in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Forsothe in Gabaon dwelliden Abigabaon, and Maacha the name of his wijf;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
and his firste gendrid sone Abdon, and Sur, and Cys, and Baal, and Ner, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
and Geddo, and Haio, and Zacher, and Macelloth.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Forsothe Marcelloth gendride Samaa; and thei dwelliden euene ayens her britheren in Jerusalem with her britheren.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Forsothe Ner gendride Cys, and Cys gendride Saul; forsothe Saul gendride Jonathan, and Melchisue, and Abynadab, and Isbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Sotheli the sone of Jonathan was Myphibaal; and Myphibaal gendride Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
The sones of Micha weren Phiton, and Melech, and Thara, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
And Ahaz gendride Joiada; and Joiada gendride Almoth, and Azimoth, and Zamry.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Forsothe Zamri gendride Moosa, and Moosa gendride Banaa, whos sone was Raphaia, of whom was gendrid Elesa, that gendride Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Sotheli Asel hadde sixe sones bi these names, Esricham, Bochru, Ismael, Saria, Abadia, Aman; alle these weren the sones of Asel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Forsothe the sones of Asa, his brothir, weren Vlam, the firste gendride sone, and Hus, the secounde, and Eliphales, the thridde.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sones of Vlam weren strongeste men, and beendynge a bouwe with greet strength, and hauynge many sones, and sones of sones, til to an hundrid and fifti. Alle these weren the sones of Beniamyn.