< 1 Nyakati 6 >
1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Les enfants de Lévi furent, Guerson, Kéhath, et Mérari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Les enfants de Kéhath furent, Hamram, Jitshar, Hébron, et Huziël.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Et les enfants d'Hamram, Aaron, Moïse, et Marie. Et les enfants d'Aaron, Nadab, Abihu, Eléazar, et Ithamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eléazar engendra Phinées, [et] Phinées engendra Abisuah.
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Et Abisuah engendra Bukki, et Bukki engendra Huzi.
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Et Huzi engendra Zérahja, et Zérahja engendra Mérajoth.
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Et Mérajoth engendra Amaria, et Amaria engendra Ahitub.
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Et Ahitub engendra Tsadoc, et Tsadoc engendra Ahimahats.
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Et Ahimahats engendra Hazaria, et Hazaria engendra Johanan.
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Et Johanan engendra Hazaria, qui exerça la sacrificature au Temple que Salomon bâtit à Jérusalem.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Et Hazaria engendra Amaria, et Amaria engendra Ahitub.
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Et Ahitub engendra Tsadoc, et Tsadoc engendra Sallum.
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Et Sallum engendra Hilkija, et Hilkija engendra Hazaria.
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Et Hazaria engendra Séraja, et Séraja engendra Jéhotsadak;
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Et Jéhotsadak s'en alla, quand l'Eternel transporta Juda et Jérusalem par le moyen de Nébuchadnetsar.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Les enfants de Lévi [donc] furent, Guerson, Kéhath, et Mérari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Et ce sont ici les noms des enfants de Guerson, Ribni, et Simhi.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Les enfants de Kéhath furent, Hamram, Jitshar, Hébron, et Huziël.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Les enfants de Mérari furent, Mahli, et Musi. Ce sont là les familles des Lévites, selon [les maisons] de leurs pères.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
De Guerson, Libni son fils, Jahath son fils, Zimna son fils,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Joah son fils, Hiddo son fils, Zérah son fils, Jéhateraï son fils.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Des enfants de Kéhath, Hamminadab son fils, Coré son fils, Assir son fils,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Elkana son fils, Ebiasaph son fils, Assir son fils,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Tahath son fils, Uriël son fils, Huzija son fils, et Saül son fils.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Les enfants d'Elkana furent, Hamasaï, puis Ahimoth,
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
[Puis] Elkana. Les enfants d'Elkana furent, Tsophaï son fils, Nahats son fils,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Eliab son fils, Jéroham son fils, Elkana son fils.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Quant aux enfants de Samuël [fils d'Elkana], son fils aîné fut Vasni, puis Abija.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Les enfants de Mérari furent, Mahli, Libni son fils, Simhi son fils, Huza son fils,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Simha son fils, Hagguija son fils, Hasaïa son fils.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Or ce sont ici ceux que David établit pour maîtres de la musique de la maison de l'Eternel, depuis que l'Arche fut dans un lieu arrêté;
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
Qui faisaient le service devant le pavillon du Tabernacle d'assignation en chantant; jusqu'à ce que Salomon eût bâti la maison de l'Eternel à Jérusalem; et qui continuèrent dans leur ministère selon l'ordonnance qui en fut faite;
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Ce sont, [dis-je], ici ceux qui firent le service avec leurs fils. D'entre les enfants des Kéhathites, Héman le chantre, fils de Joël, fils de Samuël,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
Fils d'Elkana, fils de Jéroham, fils d'Eliël, fils de Toah,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
Fils de Tsuph, fils d'Elkana, fils de Mahat, fils de Hamasaï,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
Fils d'Elkana, fils de Joël, fils de Hazaria, fils de Sophonie,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
Fils de Tahat, fils d'Assir, fils de Ebiasaph, fils de Coré,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
Fils de Jitshar, fils de Kéhath, fils de Lévi, fils d'Israël.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Et son frère Asaph, qui se tenait à sa droite. Asaph [était] fils de Bérécia, fils de Simha,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
Fils de Micaël, fils de Bahaséja, fils de Malkija,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
Fils d'Etni, fils de Zérah, fils de Hadaja,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
Fils d'Ethan, fils de Zimma, fils de Simhi,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
Fils de Jahath, fils de Guerson, fils de Lévi.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Et les enfants de Mérari leurs frères étaient à la main gauche; [savoir] Ethan, fils de Kisi, fils de Habdi, fils de Malluc,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
Fils de Hasabia, fils d'Amatsia, fils de Hilkija,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
Fils d'Amtsi, fils de Bani, fils de Semer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
Fils de Mahli, fils de Musi, fils de Mérari, fils de Lévi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Et leurs autres frères Lévites furent ordonnés pour tout le service du pavillon de la maison de Dieu.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Mais Aaron et ses fils offraient les parfums sur l'autel de l'holocauste, et sur l'autel des parfums, pour tout ce qu'il fallait faire dans le lieu Très-saint, et pour faire propitiation pour Israël; comme Moïse, serviteur de Dieu, l'avait commandé.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Or ce sont ici les enfants d'Aaron, Eléazar son fils, Phinées son fils, Abisuah son fils,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Bukki son fils, Huzi son fils, Zérahja son fils,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Mérajoth son fils, Amaria son fils, Ahitub son fils,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Tsadoc son fils, Ahimahats son fils.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Et ce sont ici leurs demeures, selon leurs châteaux, dans leurs contrées. Quant aux enfants d'Aaron, qui appartiennent à la famille des Kéhathites, lorsqu'on jeta le sort pour eux;
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
On leur donna Hébron au pays de Juda, et ses faubourgs tout autour.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Mais on donna à Caleb, fils de Jéphunné, le territoire de la ville et ses villages.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
On donna donc aux enfants d'Aaron, Hébron d'entre les villes de refuge, et Libna, avec ses faubourgs, Jattir et Estemoah, avec leurs faubourgs,
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Hilen, avec ses faubourgs, Débir, avec ses faubourgs,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Hasan, avec ses faubourgs, et Beth-sémes, avec ses faubourgs.
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Et de la Tribu de Benjamin, Guébah, avec ses faubourgs, Halemeth, avec ses faubourgs, et Hanathoth, avec ses faubourgs. Toutes leurs villes, selon leurs familles, étaient treize en nombre.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
On donna au reste des enfants de Kéhath, par sort, dix villes des familles de la demi-Tribu, [c'est-à-dire], de la demi-Tribu de Manassé.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Et aux enfants de Guerson, selon leurs familles, de la Tribu d'Issacar, de la Tribu d'Aser, de la Tribu de Nephthali, et de la Tribu de Manassé en Basan, treize villes.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Et aux enfants de Mérari, selon leurs familles, par sort, douze villes, de la Tribu de Ruben, de la Tribu de Gad, et de la Tribu de Zabulon.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Ainsi les enfants d'Israël donnèrent aux Lévites ces villes-là, avec leurs faubourgs.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
Et ils donnèrent, par sort de la Tribu des enfants de Juda, de la Tribu des enfants de Siméon, et de la Tribu des enfants de Benjamin, ces villes-là qui devaient être nommées par leurs noms.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Et pour ceux qui étaient des [autres] familles des enfants de Kéhath, il [y] eut pour leur contrée des villes de la Tribu d'Ephraïm.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Car on leur donna entre les villes de refuge, Sichem, avec ses faubourgs, en la montagne d'Ephraïm, Guézer, avec ses faubourgs,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Jokméham, avec ses faubourgs; Beth-horon, avec ses faubourgs,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Ajalon, avec ses faubourgs, et Gath-rimmon, avec ses faubourgs.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
Et de la demi-Tribu de Manassé, Haner, avec ses faubourgs, et Bilham, avec ses faubourgs, [on donna], dis-je, [ces villes-là] aux familles qui restaient des enfants de Kéhath.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Aux enfants de Guerson, [on donna], des familles de la demi-Tribu de Manassé, Golan en Basan, avec ses faubourgs, et Hastaroth, avec ses faubourgs.
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
De la Tribu d'Issacar, Kédes avec ses faubourgs, Dobrath, avec ses faubourgs,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Ramoth, avec ses faubourgs, et Hanem, avec ses faubourgs.
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
Et de la Tribu d'Aser, Masal, avec ses faubourgs, Habdon, avec ses faubourgs,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Hukkok, avec ses faubourgs, et Rehod, avec ses faubourgs.
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
Et de la Tribu de Nephthali, Kédes en Galilée, avec ses faubourgs, Hammon, avec ses faubourgs, et Kirjathajim, avec ses faubourgs.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
Aux enfants de Mérari, qui étaient de reste [d'entre les Lévites, on donna], de la Tribu de Zabulon, Rimmono, avec ses faubourgs, et Tabor, avec ses faubourgs.
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
Et au delà du Jourdain, vis-à-vis de Jérico, vers l'Orient du Jourdain, de la Tribu de Ruben, Betser au désert, avec ses faubourgs, Jathsa, avec ses faubourgs.
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Kédémoth, avec ses faubourgs, et Méphahath, avec ses faubourgs.
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
Et de la Tribu de Gad, Ramoth en Galaad, avec ses faubourgs, Mahanajim, avec ses faubourgs.
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Hesbon, avec ses faubourgs, et Jahzer, avec ses faubourgs.