< Warumi 15 >

1 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.
Afwe otukute lushomo lwangofu tubayuminishenga batyompwa kutatula mikuli yabo. Katutalikondweleshanga tobene.
2 Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.
Uliyense pakati petu akondweleshe mwanse wendi, kayi ne kumwinshila byaina kwambeti ayume mu lushomo lwakendi.
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe, bali kama ilivyoandikwa: “Matukano yao wale wanaokutukana wewe yalinipata mimi.”
Pakwinga Klistu nkalalikondwelesha enka sobwe, nsombi mbuli Mabala ncakute kwambeti, “Matuka a bantu beshikumutukana, alashiki palinjame.”
4 Kwa maana kila kitu kilichoandikwa zamani, kiliandikwa kutufundisha, ili kwamba kwa saburi na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini.
Pakwinga byonse byalalembwa mu Mabala, byalalembweti bitwiyishe kwambeti tube ne kupembelela kupitila mukuba ne moyo nteka, ne kutuyuminisha.
5 Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Kristo Yesu,
Lesa ukute kupa bantu ngofu sha kutatyopwa ne kuyuminisha myoyo yabo, amunyamfweni kwambeti pabe lwikatano pakukonka citondesho ca Klistu Yesu,
6 ili kwa moyo mmoja mpate kumtukuza Mungu aliye Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
kwambeti ne moyo umo mwense mulumbaishe Lesa Baishi Mwami wetu Yesu Klistu.
7 Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Kristo alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.
Kamutambulananga mbuli Klistu ncalamutambula, kwambeti Lesa alemekwe.
8 Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,
Pakwinga ndamwambilinga cakubinga, Klistu walaba musebenshi wa Bayuda, kulesha kwambeti Lesa washomeka, pakukwanilisha bintu Lesa mbyalabashomesha bamashali babo bakaindi kwambeti,
9 pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.”
bantu bamishobo naimbi bakonshe kumulemekesha Lesa pacebo cankumbo shakendi. Mbuli Mabala ncakute kwambeti, “Weco ninkamulumbaishe pakati pa bantu ba mishobo naimbi, ninkembile inyimbo sha kulumbanya lina lyenu.”
10 Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
Kayi Mabala alambilishingeti “Amwe bantu ba mishobo naimbi kamukondwani pamo ne bantu ba Lesa.”
11 Tena, “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”
Kayi alambeti, “Amwe mwense ba mishobo naimbi, kamulumbaishani Mwami, bantu ba mishobo yonse bamulumbaishe.”
12 Tena Isaya anasema, “Shina la Yese litachipuka, yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa. Watu wa Mataifa watamtumaini.”
Nendi mushinshimi Yesaya walambeti, “Umo wa bashikulu ba Jese nakese. Nakese akwendelesha bantu bamishobo naimbi, nomba naboyo nibakalangililenga pali endiye.”
13 Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini, ili mpate kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
Lesa ukute kutupa kupembelela esushe myoyo yenu ne kukondwa ne lumuno pakumunyumfwila, kwambeti kupembelela kwenu kukonempe ne ngofu sha Mushimu Uswepa.
14 Ndugu zangu, mimi mwenyewe ninasadiki kwamba mmejaa wema na ufahamu wote, tena mnaweza kufundishana ninyi kwa ninyi.
Mobanse bame, ame ndashometi njamwe bantu bakute lwinshibo lwapitilila, kayi mukute kupana mano.
15 Nimewaandikia kwa ujasiri vipengele kadha wa kadha katika waraka huu kama kuwakumbusha tena kwa habari ya ile neema Mungu aliyonipa,
Nomba munkalata iyi bintu nabimbi ndamulembele mwakutatina, kwambeti ndimwanushe bintu ibyo. Ndalembe mushoboyo pakwinga Lesa ewalampa colwe,
16 ili kuwa mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa Mataifa nikiwa na huduma ya kikuhani ya kutangaza Injili ya Mungu, ili watu wa Mataifa wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.
pakunsaleti mbe musebenshi wa Klistu Yesu ku bantu ba mishobo naimbi. Walampa ncito yakukambauka Mulumbe Waina wa Lesa mbuli shimilumbo, kwambeti bantu ba mishobo naimbi babeti mulumbo ngwalayandanga wabengwa kuli Lesa kupitila mu Mushimu Uswepa.
17 Kwa hiyo ninajisifu katika Kristo Yesu, kwenye utumishi wangu kwa Mungu.
Neco pakwikatana pamo ne Klistu Yesu, ndatwangilinga pa ncito njondasebenselenga Lesa.
18 Kwa maana sitathubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumia mimi katika kuwaongoza watu wa Mataifa wamtii Mungu kwa yale niliyosema na kufanya,
Nteshi ng'ambepo bintu nabimbi sobwe, nsombi byonka ibyo mbyalensa Klistu Yesu pakunsebensesha, kwambeti nyamfwe bantu ba mishobo naimbi kukonkela Lesa. Bintu ibi ndalabinsa ne maswi akame ne ncito shakame,
19 kwa nguvu za ishara na miujiza, kwa uweza wa Roho wa Mungu, hivyo kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kandokando yake mpaka Iliriko, nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu.
kupitila mubishibisho ne bishikukankamanisha byangofu bishikwinshika ne ngofu sha Mushimu Uswepa. Ndalakambauka Mulumbe Waina ulambanga sha Klistu mwakulibenga pabulwendo bwakame bonse kufumina ku Yelusalemu mpaka ku cibela ca Iluliko.
20 Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
Kuyandishisha kwakame cindi conse, nikwakwambeti nkambauke Mulumbe Waina kubusena uko lina lya Klistu nkolitana linyumfwikapo. Nkandayandanga kwibaka palulindi ndwalatatika muname.
21 Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”
Pakwinga Mabala ambeti, “Bantu abo balabula kwambwilwapo sha Lesa, nibakamubone. Abo balabula kunyumfwa sha endiye, nibakanyumfwishishe.”
22 Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja kwenu.
Pacebo ici ndalalilwa kwisa kwenu tunkanda twingi.
23 Lakini sasa kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii, ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi.
Kwa byaka bingi ndayandishishangeti nshike kopeloko. Nomba lino, mpondapwishi ncito mubibela ibi,
24 Nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.
ndayandanga kwisa akumubona ndakayanga ku Sipaniya. Ninkakondwe kubonana nenjamwe kwa masuba angiko, panyuma pakendi ndayandangeti mukanyamfwilisheko kupitilisha bulwendo bwakame.
25 Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.
Nomba lino ndenga ku Yelusalemu akunyamfwilisha bantu ba Lesa.
26 Kwa kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini walioko miongoni mwa watakatifu huko Yerusalemu.
Pakwinga mibungano ya kubibela bya ku Makedonia ne ku Akaya balibenga kunyamfwa bantu bapenga pakati pa bantu ba Lesa bali ku Yelusalemu.
27 Imewapendeza kufanya hivyo, naam, kwani ni wadeni wao. Kwa maana ikiwa watu wa Mataifa wameshiriki baraka za rohoni za Wayahudi, wao ni wadeni wa Wayahudi, ili Wayahudi nao washiriki baraka zao za mambo ya mwilini.
Iyi yalikuba miyeyo yabo kwambeti bense bintu ibi, nsombi kayi celela kwambeti nabo banyamfwe bapenshi. Bayuda balayabana bileleko byabo ne bantu ba mishobo naimbi, weco nabo belela kunyamfwilisha Bayuda bintu ibyo mbyobalatambula.
28 Kwa hiyo baada ya kukamilisha kazi hii na kuhakikisha kuwa wamepokea kila kitu kilichokusanywa, nitapitia kwenu nikiwa njiani kwenda Hispania.
Neco lino ndapwisha ncito yakame iyi, ne kubapa mali onse alabengwa, ninkapitile kuli njamwe pakuya ku Spaniya.
29 Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Kristo.
Ndicinsheti ndakesa uko ninkese ne bileleko bingi bya Klistu.
30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho Mtakatifu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu.
Lino ndamusengenga mobanse, kupitila muli Mwami wetu Yesu Klistu, kayi ne lusuno ulo Mushimu Uswepa ndokute kupa, kwambeti mwikatishane nenjame pakumpailila kuli Lesa ne myoyo yenu yonse.
31 Ombeni ili nipate kuokolewa mikononi mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, na kwamba utumishi wangu upate kukubaliwa na watakatifu wa huko Yerusalemu,
Mumpailileko kwambeti Lesa ankwabilile, kwambeti kantawila mumakasa a bantu batashomo bali Muyudeya. Kayi mupailileko bantu ba Lesa bali ku Yelusalemu kwambeti bakatambule ne makasa abili bintu byabengwa mbyondatumwa kwambeti nkabatwalile.
32 ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.
Neco, Lesa asuminisha, ninkashike kwenu mwakukondwa, kayi pakupumwina ninkabenga wasunguluka nenjamwe.
33 Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.
Lesa uyo ukute kupa lumuno abe nenjamwe mwense. Amen.

< Warumi 15 >