< 1 Wakorintho 1 >

1 Paulo, niliyeitwa kwa mapenzi ya Mungu kuwa mtume wa Kristo Yesu, na Sosthene ndugu yetu.
Njame Paulo walakwiwa kuba mutumwa wa Klistu Yesu kwelana ne kuyanda kwa Lesa. Ndili pamo ne mukwetu Sositene.
2 Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, kwa wale waliotakaswa katika Kristo Yesu na walioitwa kuwa watakatifu, pamoja na wale wote ambao kila mahali wanaliitia Jina la Kristo Yesu Bwana wetu, aliye Bwana wao na wetu pia:
Tulalembelenga njamwe mubungano wa bantu bashoma Lesa bali mu Kolinto, Lesa walamusala kuba bakendi muli Yesu Klistu kayi, ne kuba baswepa pamo ne bantu bonse bali mumisena yonse, abo bonse balakunga pa Lina lya Mwami Yesu Klistu Mwami wabo nenjafwe eMwami wetu.
3 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Kwina moyo ne lumuno lwa Lesa Ishetu ne Mwami Yesu Klistu bibe palinjamwe.
4 Ninamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu kwa sababu ya neema yake mliyopewa katika Kristo Yesu.
Cindi conse ndalumbunga Lesa wakame cebo canjamwe pa kwina moyo kwakendi nshalamulesha muli Klistu Yesu.
5 Kwa kuwa katika Kristo mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote,
Pacebo cakuba muli Klistu, Lesa lamuleleke mubintu byonse mbuli mung'ambilo ne lwinshibo.
6 kwa sababu ushuhuda wetu kumhusu Kristo ulithibitishwa ndani yenu.
Makani alambanga sha Klistu alabonekele kuba ancine ncine mulinjamwe.
7 Kwa hiyo hamkupungukiwa na karama yoyote ya kiroho wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Pacebo cilico, paliya cipo naba cimo ncemwabula pacino cindi mpomulapembelelenga kwisa kwa Mwami wetu Yesu Klistu.
8 Atawafanya imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Lesa nakamuyuminishe mpaka kumapwililisho kwambeti pabusuba bwakwisa Mwami wetu Yesu Klistu mukacanike babula kampenda.
9 Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Yesu Kristo, Bwana wetu ni mwaminifu.
Lesa washomeka pakwinga endiye walamukuweti mube pamo mu Mwanendi Yesu Klistu Mwami wetu.
10 Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano katikati yenu na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
Lino ndamusengenga mobanse mu Lina lya Mwami wetu Yesu Klistu kwambeti kamusuminishananga kapatabanga kupansana pakati penu, kamunyumfwananga cakupwililila, muyeyo umo, ne nshila imo yakwinshilamo bintu.
11 Ndugu zangu, nimepata habari kutoka kwa baadhi ya watu wa nyumbani mwa Kloe kwamba kuna magomvi katikati yenu.
Pakwinga nabambi bansebendi Kuloyi balang'ambileti mulalondolonga.
12 Maana yangu ni kwamba: Mmoja wenu husema, “Mimi ni wa Paulo”; mwingine, “Mimi ni wa Apolo”; mwingine, “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine, “Mimi ni wa Kristo.”
Ncendambanga nici, uliyense palinjamwe lambanga shakendi, umbi lambangeti, “Ame ndakonkelenga Paulo.” Naumbi lambangeti, “Ame ndakonkelenga Apolo.” Naumbi lambangeti, “Ame ndakonkelenga Petulo.” “Kayi naumbi lambangeti, ame ndakonkelenga Klistu.”
13 Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye alisulubishwa kwa ajili yenu? Je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
Sena Klistu layabaniki? Sena ni Paulo walapopwa pacebo cenu? Sena mwalabatishiwa mulina lya Paulo?
14 Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.
Ndalumbunga Lesa kwambeti paliya naba umo mulinjamwe ngondalabatisha, ame ndalabatishowa Klispo ne Gayo.
15 Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.
Neco paliya wela kwambeti walabatishiwa mu lina lyakame.
16 (Naam, niliwabatiza pia watu wa nyumbani mwa Stefana. Lakini zaidi ya hao sijui kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
Nabambi mbondanukako mbondalabatisha ni Stefano ne bakashendi ne banabendi, nkandanukunga kwambeti ndalabatishapo nabambi.
17 Kwa maana Kristo hakunituma ili kubatiza bali kuhubiri Injili; sio kwa maneno ya hekima ya kibinadamu, ili msalaba wa Kristo usije ukakosa nguvu yake.
Pakwinga Klistu uliya kuntumapo kuya kubatisha, nsombi kuya kukambauka Mulumbe Waina. Nteko kukambauka kwakulipa maswi amano sobwe, pakwinga ndenseco, ngofu sha lufu lwa Klistu palusanda ngashiyeyelwa kuba shabulyo.
18 Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Makani alambanga sha lufu lwa Klistu palusanda nabulyo kulyabo balataikinga, nomba kulinjafwe tulimunshila yakupulushiwa ningofu sha Lesa.
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”
Pakwinga Lesa mu Mabala akendi lambangeti, “Ninkononge mano abantu balalibonongeti bacenjela kwambeti buchenjeshi bwa bacenjela nkabutenshika.”
20 Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn g165)
Inga lino bantu ba mano balalibikinga papeyo? Inga bantu baiya bintu bingi balibikinga papeyo? Inga bantu balatangalanga cebo cakuba nemano apacishi ca panshi nabo balikupeyo? Pakwinga Lesa latuleshe kwambeti mano abantu nabulyo! (aiōn g165)
21 Kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kwa hekima yake haukumjua yeye, ilimpendeza Mungu kuwaokoa wale walioamini kwa upuzi wa lile neno lililohubiriwa.
Mu mano a Lesa, bantu bapacishi capanshi calabalila kumwinshiba Lesa kupitila mu mano abo, pakwinga makani ngotulakambaukunga ngobalabononga bantu kuba abulyo, Lesa walakondweti apulushilemo abo bashoma muli endiye.
22 Wayahudi wanadai ishara za miujiza na Wayunani wanatafuta hekima.
Bayuda balayandanga kubona bishikukankamanisha, kakuli balo Bagiliki balayandanga kubona bintu byamano.
23 Lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa: yeye kwa Wayahudi ni kikwazo na kwa Wayunani ni upuzi.
Nomba afwe tulakambaukunga Klistu walapopwa palusanda, makani awa kuli Bayuda nicisesemyo, kubantu bakunsa balo nabulyo.
24 Lakini kwa wale ambao Mungu amewaita, Wayahudi na pia Wayunani, Kristo ndiye nguvu ya Mungu na pia hekima ya Mungu.
Nsombi Bayuda nambi bantu bakunsa abo mbwalakuwa Lesa, bacinshi cena kwambeti Klistu ningofu, kayi emano a Lesa.
25 Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
Pakwinga ico cilabonekengeti buluya bwa Lesa, capita mano abantu. Kayi ico cilaboneshenga kuba cabula ngofu kuli Lesa, cikute ngofu kupita sha bantu.
26 Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi mliokuwa na ushawishi, si wengi mliozaliwa katika jamaa zenye vyeo.
Mobanse bame, kamuyeyani ncemwalikuba mpwalamukuwa Lesa, abo balikuboneka bamano kubantu, kayi bangofu nambi abo balasemwa kubantu balemekwa, nibang'ana pakati penu.
27 Lakini Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye hekima, Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye nguvu.
Neco Lesa walasala bintu ibyo bantu mbyobakute kuyeyeti nibya buluya, kwambeti bipe nsoni bantu ba mano, ne kusala bintu byabula ngofu kwambeti bikape nsoni abo balabonekengeti bakute ngofu.
28 Alivichagua vitu vya chini na vinavyodharauliwa vya dunia hii, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko,
Kayi Lesa walasala bintu byabula kulemekwa nambi byabula mpuwo kwambeti abo bakute kuboneka balemekwa babe babulyo pacebo ca bintu byabo bya bula kumutwi.
29 ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.
Neco paliya muntu wela kulisumpula pamenso a Lesa.
30 Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu, yaani haki, na utakatifu na ukombozi.
Lesa mwine ewalayanda kwambeti amwe mube pamo muli Klistu nendi abe mumano etu, walatutwala pamenso a Lesa mubululami, walatuswepesha ne kutusungulula.
31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
Neco mbuli Mabala a Lesa ncalambangeti, “Uyo layandanga kulisumpula alisumpule kwelana ne ncalensa Mwami.”

< 1 Wakorintho 1 >