< Ufunuo 9 >
1 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos )
Kisha malaika ghwa bhuhanu akakobha tarumbeta jha muene. Nabhwene matondo kuhoma kumbinguni bho jhibinili pa dunia. Litondo lya pelibhu lufungulilu bhwa lilende lyalilasya mu lilende lya libelili kujha ni mwishu. (Abyssos )
2 Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos )
Andenduili lilende lya libelili kujha ni kikomo, ni lyosi likakuela kunani kwa safu kuhoma mu lilende kama lyosi kuhoma mu litanuru libhaha. Lijobha ni anga fyabadiliki fyajhele ngisi kwandabha jha lyosi lyalihomili mu lilende. (Abyssos )
3 Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani.
Mugati mu lilende nzinge bhapitili kuhida panani pa dunia, na bhene bhapelibhu nghofu kama jhela jha kip'el'el'e panani pa dunia.
4 Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.
Bhajobhibhu kutokudhuru matondo mu nchi au mmea bhobhuoha bhwa kijani au libehe, isipokujha tu bhanu ambabho bhajhelepi ni muhuri bhwa K'yara pamihu pa bhene.
5 Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge.
Pajhelepi ni ruhusa jha kubhakoma bhanu abhu, bali kubhatesya tu kwa miesi mihanu. uchungu bhwa bhene bhwajhele kama bhola bhwa kulumibhwa ni kip'el'el'e pailumibhwa munu.
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Mu magono aghu bhanu bhibeta kulonda kifo, lakini bhibeta lepi kukikabha. Bhibeta kunoghela kufwa, lakini kifo kibeta kubhajumba.
7 Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Nzige bhawaningene ni farasi bhabhaandalibhu kwa vita. Mu mitu ghya bhene kwajhele ni khenu kama taji jha dhahabu ni pamihu pa bhene pajhele kama pa binadamu.
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
Bhajhele ni njwili kama sya bhadala ni minu gha bhene ghajhele kama gha simba.
9 Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
Bhajhele ni fifua kama fifua fya chuma ni sauti jha mababatilu gha bhene jhajhele kama sauti jha magari ghamehele ni vita fya farasi bhabhijumba kulota ku vita.
10 Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao.
Bhajhele ni mikela ghyeghinema kama kip'el'el'e; mu mikela ghya bhene bhajhele ni mikela ghya kudhuru bhanu kwa miesi mihanu.
11 Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos )
Bhajhele ni muene kama mfalme panani pa bhene malaika bha shimo lyalibelikujha ni mwishu. Lihina lyake kwa kiebrania ndo Abadoni, ni kiyunani ajhe ni lihina Apolioni. (Abyssos )
12 Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.
Ole jha kuanza jhipetili. Langayi! Baada jha e'le ghajhe maafa mabhele ghihida.
13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.
Malaika ghwa sita akakhobha tarumbeta jha muene, na napeliki sauti mu pembe jha madhabahu gha dhahabu ambagho ghajhele palongolo pa K'yara.
14 Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.”
Sauti jhikan'jobhela malaika ghwa sita jhaajhele ni tarumbeta, “bhalekesiajhi malaika bhancheche ambabho bhakhongibhu mu kiholo kibhaha Efrata.”
15 Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa.
Malaika bhala bhancheche bhajhele bhaandalibhu kwa saa ejhu maalumu, ligono elu, muesi obhu, ni kienja ekhu, bhalekibhu bhabhakomayi theluthi jha bhanadamu.
16 Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.
Idadi jha maaskari bhajhele panani pa farasi jhajhele 200, 000, 000. Nap'eliki idadi jha bhene.
17 Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
Naha ndo kyanabhuene farasi mu maono ghangu ni bhala bhabhakwelili panani pa bhene: Fifua fya bhene fyajhe fidungu kama muoto, bluu jhaghipili ni njano jhajhibeli kupya. mitu ghya farasi fyawaningene ni mitu ghya simba, ni mundomo mwa bhene bhwahomili muoto, lyosi ni salfa.
18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
Theluthi jha bhanadamu bhakomibhu ni agha mapigo madatu: Muoto, lyosi, ni salfa jhejhihomili mundomo mwa bhene.
19 Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.
Kwa kujha nghofu jha farasi jhajhele mu milomo ghiabhu ni mumikele ghya bhene ghyajhele kama lyoka, na bhajhele ni mitu ambaghyo bhatumili kubhapela majeraha bhanadamu.
20 Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
Bhanu bhabhabekili, bhala ambabho bhakhomibhu lepi ni mapigo agha, bhatubuili lepi matendo gha bhene ghwabhakhetili, wala bhalekili lepi kuabudu mapepo ni miungu ghya dhahabu, fedha, shaba, maganga ni mabehe- fenu ambafyo fibhwesya lepi kulola, kup'el'eka au kugenda.
21 Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.
Wala bhatubuili lepi uuaji ghwa bhene, uhabhi ghwa bhene, uasherati ghwa bhene au njela sya bhene sya uheji.