< Ufunuo 6 >

1 Kisha nikaangalia wakati Mwana-Kondoo akivunja ile lakiri ya kwanza miongoni mwa zile saba. Ndipo nikasikia mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akisema kwa sauti kama ya radi: “Njoo!”
Nibalolete imbelele hailamutula chimwina chazilamatela zimana iyaza ni zobele, imi nibazuwi chimwina chazibumbantu zihala zone hachiwamba chenzwi libalikukola sina mulumo wupalakata, “Wize!”
2 Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mweupe! Yeye aliyempanda alikuwa na upinde, naye akapewa taji, akampanda akatoka akiwa kama mshindi aelekeaye katika kushinda.
Ninalola mi kubena imbizi ituba. Mutanti wayo abakwete buta, mi abahelwe mushukwe wabubusi. Abezi nalimuhapi kwizila kuhapa.
3 Alipoivunja ile lakiri ya pili, nikamsikia yule kiumbe wa pili mwenye uhai akisema, “Njoo!”
Imbelele hailamutula chilamatela chabubeli, nibazuwi chibumbantu chihala chabubeli hachiti, “Wize!”
4 Ndipo akatokea farasi mwingine mwekundu sana. Yeye aliyempanda akapewa uwezo wa kuondoa amani duniani na kuwafanya watu wauane. Yeye akapewa upanga mkubwa.
Linu imbizi yimwi ibazwi - yabusubile bwamulilo. Mutanti wayo abahewa maata akulihindila imbali yimwi yachisi, kokuti bantu bayo nibalisandukile kulihaya chabubilala. Uzu mutanti abahelwe mupene mukando.
5 Mwana-kondoo alipoivunja ile lakiri ya tatu, nikamsikia yule kiumbe wa tatu mwenye uhai akisema, “Njoo!” Nikatazama, na mbele yangu alikuwepo farasi mweusi! Yeye aliyempanda alikuwa na mizani mkononi mwake.
Imbelele hailamutula chilamatela chabutatu, nibazuwi chibumbantu chihala chabutatu hachiti, “Wize!” Nibaboni imbizi isiha, mutanti wayo abakwete zikala zobele mwiyaza lyakwe.
6 Ndipo nikasikia kile kilichokuwa kama sauti katikati ya wale viumbe wanne wenye uhai ikisema, “Kipimo kimoja cha ngano kwa mshahara wa kibarua wa siku moja, na vipimo vitatu vya shayiri kwa mshahara wa kibarua cha siku moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!”
Nibazuwi chibali kukola sina mulumo mukati kazibumbantu zone zihala haziti. “Ikilo yimwina yabuloto iwulwa itifo yamutendo wezuba limwina, imi makilo otatwe amahila awulwa itifo yamutendo wezuba limwina.
7 Alipovunja ile lakiri ya nne, nikasikia sauti ya yule kiumbe wa nne mwenye uhai ikisema, “Njoo!”
Imbelele hailamutula chilamatela chabune, nibazuwi chibumbantu chihala chabutatu hachiti, “Wize!”
8 Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
Linu nichinaboni imbizi yeseta. Mutanti wina haili abali kusumpwa Ifu, mi Chibaka Chabafwile abamwichilille. Babahelwe maata hawulu lenkalulo imwina - yazone yenkanda, kwihaya ni mukwale, inzala ni butuku, ni kuselisa zinyolozi zenkanda. (Hadēs g86)
9 Mwana-kondoo alipoivunja ile lakiri ya tano, nikaona chini ya madhabahu, roho za wale waliochinjwa kwa ajili ya neno la Mungu na kwa ajili ya ushuhuda walioutunza.
Imbelele haiyalula chilamatela chimana iyanza, nichinabona mwikonde lakatala ihuho zabana babahaiwa chebaka lalinzwi le Ireeza ni bupaki bubabakwete.
10 Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, “Hata lini, Ee Bwana Mwenyezi, uliye mtakatifu na mwaminifu, hutawahukumu na kulipiza kisasi juu ya watu waishio duniani kwa ajili ya damu yetu?”
Babahuwi chenzwi ikando, Mubusi Yobusa zonse, yojolola ni weniti, kakuhinde inako ikuma hi kuti wize uatule abo bahala munkanda, ni kubozekeza bubi ibakeñi chamalaha etu?”
11 Kisha kila mmoja wao akapewa joho jeupe na wakaambiwa wangoje kwa muda kidogo zaidi, mpaka idadi ya ndugu zao na watumishi wenzao watakaouawa kama wao walivyouawa, itakapotimia.
Linu zumwi ni zumwi abahewa chiapalo chituba, mi nibawambilwa kuti bayelele kulindila kanini kufitela ipalo yabahikana kuninabo ni banakwabo ni bachizabo baswanela kwihaiwa chiyakwana, bobulyo fela sina mubabehailwa.
12 Nikatazama akiivunja ile lakiri ya sita. Pakatokea tetemeko kuu la nchi, na jua likawa jeusi kama nguo ya gunia iliyotengenezwa kwa singa za mbuzi, na mwezi wote ukawa mwekundu kama damu.
Imbelele haiyalula chilamatela chimana iyanza ni chimwina, nibalweli mi kubena izikinyho ikando yenkanda. Izuba libasanduki busihe bwesaka lizwile boza bwepene, imi mwezi ubasanduki sina malaha.
13 Nyota zilizo angani zikaanguka ardhini kama vile matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
Inaleli zakwiwuli nizawila munkanda, mane sina chisamu chefeige hachiwisa zihantu zacho zisenikubuzwa hachinyungwa liñungwa.
14 Anga ikatoweka kama vile karatasi isokotwavyo, na kila mlima na kila kisiwa kikaondolewa mahali pake.
Imbyumbyulu ibazwiko sina imbuka ikwete ibungelwa. Ilundu ni chinda chimwi ni chimwi chibasutiswa kuzwiswa hachibaka chateni.
15 Ndipo wafalme wa dunia, wakuu wote, majemadari, matajiri, wenye nguvu na kila mtu, mtumwa na mtu huru, wakajificha katika mapango na kwenye miamba ya milima.
Linu simwine wahansi ni bantu basepahala, ni bayezi bempi, bafumite, bena maata, ni zumwi ni zumwi bulyo, batanga ni tukuluho, babaliwungili mumahaha amabwe ni mumabwe amalundu.
16 Wakaiita milima na miamba wakisema, “Tuangukieni, mkatufiche na uso wake yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na mkatuepushe na ghadhabu ya Mwana-Kondoo!
Babawambi kumalundu ni mabwe, “Muwile hetu! Mutuwungule kuchifateho chawumwina wikele hachihuna chabusimwine ni kubukali bwembelele.
17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?”
Mukuti izuba ikando labukali bwabo chilyasika. Njeni yowola kuzima?

< Ufunuo 6 >