< Ufunuo 5 >
1 Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
Linu nichinabona kwiyanza lya bulyo lyozo yabekele hachipula chachilena, mumbuka iñoletwe kumambali yakubusu ni kumbali yakumasule. Ibalamikitwe ni zilamatela zikwana iyanza ni zobele.
2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?”
Chinabona iñiloi lina maata nilitabeleza chenzwi ikando, “Njeni yoswanela kwiyalula imbuka ni kulamutula chilamatela chateni?”
3 Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake.
Kakwina nanga yenke mwiulu kapa hansi mwikonde lye inkanda ya ba kuwola kwiyalula imbuka kapa kuibala.
4 Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake.
Ni balili chakuchiswa kakuti kakwina yenke ya bawaniki yo swanela kwi yalula imbuka kapa kwibala.
5 Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”
Kono zumwi wa bakulwana ni chawamba kwangu, “Kanji ulili. Lole! Undavu wamushobo wa Majuda, Muhisi wa Davida, abazundi. U wola kwiyalula imbuka ni zilamatela zateni zikwana iyanza ni obele.
6 Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.
Ni baboni Imbelele i zimene mukati kachipula chachilena ni zibumbantu zone zihala ni mukati ka bakulwana. A ba kuboneka sina ya behaitwe. a bena maziya a kwanisa iyanza ni obele ni menso a kwanisa iyanza ni obele; awo nji mahuho a kwanisa iyanza a Ireeza a batumitwe mwinkanda yonse.
7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.
A bayendi mi ni kukaonda imbuka kuzwisa kwi yanza lyachilyo lyozo ya bekele hachipula chachilena.
8 Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Linu Imbelele chiyahinda imbuka, zibumbantu zone zihala ni bakulwana bamakumi obele ni bone ba balibonahazi abo bene habusu bwakwe. Zumwi ni zumwi wabo a bakukwete i harepa ni kasuba ke gauda kezwile isense, zibali intapelo za bazumine.
9 Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema: “Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
Ba bazimbi inzimbo ihya; “U swanela kuhinda imbuka ni kwiyalula zilamatela zateni. kakuti u be haiwa, mi chamalaha ako u baulili Ireeza bantu kwizwilila kumushobo ni mushobo, impuo, bantu, ni chisi chonse.
10 Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
U ba bapangi ku ba muleneñi ni baprisita kusebelea Ireeza wetu, mi ka babuse inkanda.”
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.
Linu ni nalola mi ni nazuwa mulumo wamañeloi mangi mangi azimbukite chipula chachilena mi zibumbantu zihala ni bakulwana. Inombolo yabo ibali kuchita makiti enaikumi yamakiti enaikumi ni makiti a makiti.
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema: “Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa, kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na sifa!”
Ba bawambi chamuho mukando, “Iswanela Imbelele i behaiwaya chakutambula ziho, chifumu, butali, maata, kutompwa, ikanya ni kulumbekwa.
13 Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn )
Ni bazuwi chimwi ni chimwi chi babumbwa chibena kwiulu ni mwinkanda ni mwikonde lyenkanda ni chibena mwiwate chimwi ni chimwi kuzili chiwamba, “Kozo wikala hachipula chabulena ni kwimbelele, a lumbekwe, kutompwa, ikanya, ni maata a kubusa, kutwala ku samani.” (aiōn )
14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.
Zibumbantu zihala zone zi bawambi, “Amen” mi ni bakulwana ba balibonahazi ni kulapepa uzo yo hala buhalo busamani.