< Zaburi 71 >

1 Ee Bwana, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe.
Hina Gode! Na da Dia gaga: ma: ne Dima misi. Nama enoga maedafa hasalasima: ma!
2 Kwa haki yako uniponye na kuniokoa, unitegee sikio lako uniokoe.
Bai Di da moloidafaba: le, na fidili gaga: ma. Na sia: nabawane, na gaga: ma!
3 Uwe kwangu mwamba wa kimbilio, mahali nitakapokimbilia kila wakati; toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Dia na ougihalisima! Na gaga: musa: , na gagili salima! Di da na gagili salasu amola gaga: sudafa gala.
4 Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu, kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.
Na Gode! Wadela: i amola dodona: gi dunu da na wadela: lesisa: besa: le, na gaga: ma!
5 Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi, tegemeo langu tangu ujana wangu.
Hina Gode! Na da Dima dafawane hamoma: beyale dawa: sa! Na da na goihadini eso amoganini, Dima dafawaneyale dawa: su.
6 Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe, ulinitoa tumboni mwa mama yangu. Nitakusifu wewe daima.
Na da na esalusu huluane Dima fa: no bobogesu. Na lalelegei eso amoganini, Dia da na gaga: i. Na da eso huluane Dima nodone sia: mu.
7 Nimekuwa kama kioja kwa wengi, lakini wewe ni kimbilio langu imara.
Na da Dia hou gasawane lalegaguiba: le, dunu bagohame da Dia hou lalegagui. Bai Di da na gasa bagade gaga: su dunu galu.
8 Kinywa changu kimejazwa sifa zako, nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
Hahabe asili daeya, na da Dima nodone sia: sa amola Dia hadigi eno dunuma sisia: i laha.
9 Usinitupe wakati wa uzee, wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
Na da da: i hamoiba: le, na mae higale yolesima! Na da da: i hamone gasa hamedeiba: le, na mae higale yolesima!
10 Kwa maana adui zangu wananisengenya, wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
Nama ha lai dunu da na fane legemusa: hanai gala. Ilia da na fane legemusa: ilegele sia: daha.
11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”
Ilia da amane sia: sa, “Gode da amo dunu fisiagai dagoi. Ninia da e bobogele, gagula: di! E gaga: mu dunu da hame gala.”
12 Ee Mungu, usiwe mbali nami, njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.
Gode! Nama badiliadafa mae esaloma! Na Gode! Hedolo na fidila misa!
13 Washtaki wangu na waangamie kwa aibu, wale wanaotaka kunidhuru na wafunikwe kwa dharau na fedheha.
Dunu amo ilia da nama doagala: sa, amo hasalasili, gugunufinisima: ma! Dunu amo ilia da nama se ima: ne hamosu dunu, amo gogosiama: ma!
14 Lakini mimi, nitatumaini siku zote, nitakusifu zaidi na zaidi.
Na da eso huluane Dima dafawane hamoma: beyale dawa: lumu. Na Dima gebewane baligili nodone sia: nanumu. Dia gaga: su hou amo na dawa: mu gogolesa.
15 Kinywa changu kitasimulia haki yako, wokovu wako mchana kutwa, ingawa sifahamu kipimo chake.
Na da Dia noga: idafa hou amo eno dunuma sisia: i lamu. Be hahabe asili daeya huluane, na da Dia gaga: su amo sisia: i lamu.
16 Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja na kutangaza matendo yako makuu, nitatangaza haki yako, yako peke yako.
Ouligisudafa Hina Gode! Na da Dia gasa bagade hou amoma nodonanumu. Di fawane da noga: idafa. Dia noga: idafa hou amo na da sisia: i lamu.
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu, hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.
Dia da na goihadini esoganini nama Dia hou olelesu. Amola na da mae fisili, Dia ida: iwane hamosu hou sisia: i lala.
18 Ee Mungu, usiniache, hata niwapo mzee wa mvi, mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho, nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.
Wali na da da: i hamone, na dialuma da gago aligi gala. Be Gode! Dia na mae fisiagama! Na da Dia gasa bagade hou fifi asi gala manebe dunu ilima sisia: i lasea, Di da ani galoma: ma.
19 Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu, wewe ambaye umefanya mambo makuu. Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Gode! Dia moloidafa hou heda: le muagado doaga: sa. Di da liligi bagadedafa hahamoiba: le, dunu afae da Di agoai hame gala.
20 Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu, utanihuisha tena, kutoka vilindi vya dunia utaniinua tena.
Di da nama bidi hamosu amola se nabasu amo huluane nama iasi dagoi. Be Di da na gasa bu nama imunu. Di da na bogoi uli dogoi amo gudu mae sa: ima: ne gaga: mu.
21 Utaongeza heshima yangu na kunifariji tena.
Di da na bu baligili bagadedafa hahamonesimu, amola Di da na bu hahawane hahamonesimu.
22 Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako; Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli, nitakuimbia sifa kwa zeze.
Na da dafawane Dima sani baidama dusa nodone sia: mu. Bai Di da Isala: ili Hadigi Godedafa! Na: Gode! Na da Dia mae fisili dafawane noga: i hou amoma nodone sia: mu.
23 Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha ninapokuimbia sifa, mimi, ambaye umenikomboa.
Na sani baidama dusia, na da hahawane wele sia: mu. Na da na da: i huluane amoga gesami hea: mu. Bai Dia da na gaga: i dagoi!
24 Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki mchana kutwa, kwa maana wale waliotaka kunidhuru, wameaibishwa na kufadhaishwa.
Hahabe asili daeya huluane, na da Dia moloidafa hou sisia: i lamu. Bai dunu ilia da nama se imunusa: dawa: i, ilia da hasalasali amola gogosia: i dagoi ba: sa.

< Zaburi 71 >