< Zaburi 61 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.
Gode! Na Dima diniyabe amo nabima! Amola na Dima sia: ne gadobe nabima!
2 Kutoka miisho ya dunia ninakuita, ninaita huku moyo wangu unadhoofika; uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu kuliko mimi.
Na da heawi amola fofagiba: le, na fifi lasu badiliadafa amogainini Dima wele sia: sa! Di da na wamoaligisu sogebi amoga oule masa.
3 Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu, ngome imara dhidi ya adui.
Bai Di da nama ha lai dunu, ilia na hasalasisa: besa: le gasa bagade gaga: sudafa gala.
4 Natamani kukaa hemani mwako milele, na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
Na esalabea gowane Dia Hadigi Sogebi ganodini esaloma: ma. Amola na da Dia ougiaha amo ganodini gaga: su ba: ma: ma.
5 Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
Gode! Di da na sia: ilegebe amo nabi dagoi. Amola Dia da Dima nodone sia: be ili iabe, amo nama i dagoi.
6 Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
Osobo bagade hina da mae bogole gebewane esaloma: ma! Amola e da esaloma: ne ea ode ga gasigagama!
7 Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
Gode! E da Dia midadi aligili, ea fi mae fisili eso huluane ouligilaloma: ma. Dia mae fisili asigidafa hou, amoga Dia e gaga: ma.
8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.
Amaiba: le na da Dima hahabe asili daeya huluane imunusa: ilegei amo iaha, na da eso huluane Dima nodone gesami hea: lumu.

< Zaburi 61 >