< Zaburi 7 >
1 Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini. Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe, uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,
Na Hina Gode! Na Dia gaga: ma: ne Dima maha. Nama ha lai da na se bobogesa. Dia gaga: ma!
2 la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.
Dia da hame gaga: sea, nama ha lai dunu da soge laione wa: me agoane, na lale, aboda: ne asili, dunu hame esalebe sogega, fane dadega: le, na dagoi hamedafa ba: mu.
3 Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya na kuna hatia mikononi mwangu,
Na Hina Gode! Na da dunu eno amoma giadofale hamoi galea, o na sama ema hohonoi galea, o nama ha lai amoma udigili wadela: le hamoi galea, amo hou afae na da hamoi galea,
4 au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami, au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,
5 basi adui anifuatie na kunipata, auponde uhai wangu ardhini na kunilaza mavumbini.
defea, nama ha lai dunu da na doagala: le, na gagulaligimu da defea. Amola ilia da na fane salawane, na da osoboga bogola sa: imu da defea.
6 Amka kwa hasira yako, Ee Bwana, inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu. Amka, Mungu wangu, uamue haki.
Hina Gode! Di nama ha lai dunuma ougili doagala: ma. Di wa: legadole na fidima. Di da moloidafa fofada: su fawane dawa:
7 Kusanyiko la watu na likuzunguke. Watawale kutoka juu.
Amaiba: le, Di fifi asi gala dunu huluane Dima gilisila misa: ne sia: ma. Amola, Dia ilima gasa bagadewane ouligima.
8 Bwana na awahukumu kabila za watu. Nihukumu Ee Bwana, kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya uadilifu wangu, Ewe Uliye Juu Sana.
Di da fifi asi gala dunu huluane ilima Fofada: su Dunu esala. Hina Gode! Na fidima: ne fofada: ma. Na da wadela: i hou hame hamoi.
9 Ee Mungu mwenye haki, uchunguzaye mawazo na mioyo, komesha ghasia za waovu na ufanye wenye haki waishi kwa amani.
Di da moloidafa Gode esala. Di da ninia asigi dawa: su amola ninia dogo ganodini hanai hou huluane dawa: beba: le, fofada: nana. Wadela: i hamosu dunu ilia wadela: i hou hedofama. Amola, noga: i dunu ilima bidi ima.
10 Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana, awaokoaye wanyofu wa moyo.
Gode da na Gaga: su dunu. E da nowa dunu da Ea sia: nabawane hamosea, amo E da gaga: sa.
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku.
Gode da moloidafa fofada: su dunu. E da wadela: i hamosu dunu ilima fofada: nanu, se iaha.
12 Kama hakutuhurumia, atanoa upanga wake, ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.
Ilia da ilia hou hame afadenesea, E da fedege agoane Ea gobihei mema: ne debesa. E da Ea dadi dili ouligisa.
13 Ameandaa silaha zake kali, ameweka tayari mishale yake ya moto.
E da Ea gasa bagade gegesu liligi lale, ea dadi amoga dilaligili oulela.
14 Yeye aliye na mimba ya uovu na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.
Ba: ma! Wadela: i hamosu dunu da ilia dogo ganodini wadela: i hamomusa: dawa: lala. Ilia da moso hamomusa: dawa: lala, amola ogogosu bagade hamonana.
15 Yeye achimbaye shimo na kulifukua hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
Be ilia eno dunu sa: ima: ne sanisisia, ilisu da amo sani ganodini daha.
16 Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe, ukatili wake humrudia kichwani.
Amaiba: le, ilia wadela: i hou da ililima se iasu dabe iaha. Amola ilia nimi bagade hou da ililima se iasu iaha.
17 Nitamshukuru Bwana kwa ajili ya haki yake, na nitaliimbia sifa jina la Bwana Aliye Juu Sana.
Na da Hina Gode Ea moloidafa fofada: su hou ba: beba: le, Ema nodosa. Na da Hina Gode Gadodafa Ema nodone gesami hea: lala.