< Zaburi 68 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike, adui zake na wakimbie mbele zake.
to/for to conduct to/for David melody song to arise: rise God to scatter enemy his and to flee to hate him from face: before his
2 Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo, vivyo hivyo uwapeperushe mbali, kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto, vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.
like/as to drive smoke to drive like/as to melt wax from face: before fire to perish wicked from face: before God
3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.
and righteous to rejoice to rejoice to/for face: before God and to rejoice in/on/with joy
4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake, mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu: jina lake ni Bwana, furahini mbele zake.
to sing to/for God to sing name his to build to/for to ride in/on/with plain in/on/with LORD name his and to exult to/for face: before his
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
father orphan and judge widow God in/on/with habitation holiness his
6 Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
God to dwell only house: home [to] to come out: send prisoner in/on/with prosperity surely to rebel to dwell parched
7 Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
God in/on/with to come out: come you to/for face: before people your in/on/with to march you in/on/with wilderness (Selah)
8 dunia ilitikisika, mbingu zikanyesha mvua, mbele za Mungu, Yule wa Sinai, mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.
land: country/planet to shake also heaven to drip/prophesy from face: before God this Sinai from face: before God God Israel
9 Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.
rain voluntariness to sprinkle God inheritance your and be weary you(m. s.) to establish: make her
10 Ee Mungu, watu wako waliishi huko, nawe kwa wingi wa utajiri wako uliwapa maskini mahitaji yao.
community your to dwell in/on/with her to establish: prepare in/on/with welfare your to/for afflicted God
11 Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
Lord to give: give word [the] to bear tidings army many
12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.
king Hosts to wander [emph?] to wander [emph?] and dwelling house: home to divide spoil
13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
if to lie down: lay down [emph?] between: among ash heep wing dove to cover in/on/with silver: money and pinion her in/on/with greenish gold
14 Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi, ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
in/on/with to spread Almighty king in/on/with her to snow in/on/with (Mount) Zalmon
15 Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
mountain: mount God mountain: mount Bashan mountain: mount peak mountain: mount Bashan
16 Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka, kwa nini mnakazia macho kwa wivu, katika mlima Mungu anaochagua kutawala, ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?
to/for what? to watch with envy [emph?] mountain: mount peak [the] mountain: mount to desire God to/for to dwell him also LORD to dwell to/for perpetuity
17 Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu, na maelfu ya maelfu; Bwana amekuja kutoka Sinai hadi katika patakatifu pake.
chariot God ten thousand thousand thousands Lord in/on/with them Sinai in/on/with holiness
18 Ulipopanda juu, uliteka mateka, ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu, hata kutoka kwa wale walioasi, ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.
to ascend: rise to/for height to take captive captivity to take: recieve gift in/on/with man and also to rebel to/for to dwell LORD God
19 Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu, ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.
to bless Lord day: daily day: daily to lift to/for us [the] God salvation our (Selah)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye, Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.
[the] God to/for us God to/for salvation and to/for YHWH/God Lord to/for death outgoing
21 Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake, vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.
surely God to wound head enemy his crown hair to go: walk in/on/with guilt (offering) his
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
to say Lord from Bashan to return: return to return: return from depth sea
23 ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
because to wound foot your in/on/with blood tongue dog your from enemy portion his
24 Ee Mungu, maandamano yako yameonekana, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, yakielekea patakatifu pake.
to see: see walk your God walk God my king my in/on/with holiness
25 Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda, pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.
to meet to sing (after *L(S)*) to play in/on/with midst maiden to beat
26 Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa, msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.
in/on/with assembly to bless God LORD from fountain Israel
27 Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza, wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda, hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.
there Benjamin little to rule them ruler Judah crowd their ruler Zebulun ruler Naphtali
28 Ee Mungu, amuru uwezo wako, Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako, kama ulivyofanya hapo awali.
to command God your strength your be strong [emph?] God this to work to/for us
29 Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu wafalme watakuletea zawadi.
from temple your upon Jerusalem to/for you to conduct king gift
30 Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi, kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa. Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea. Tawanya mataifa yapendayo vita.
to rebuke living thing branch: stem congregation mighty: ox in/on/with calf people to stamp in/on/with piece silver: money to scatter people battle to delight in
31 Wajumbe watakuja kutoka Misri, Kushi atajisalimisha kwa Mungu.
to come ambassador from Egypt Cush to run: run hand his to/for God
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia, mwimbieni Bwana sifa,
kingdom [the] land: country/planet to sing to/for God to sing Lord (Selah)
33 mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
to/for to ride in/on/with heaven heaven front: old look! to give: cry out in/on/with voice his voice strength
34 Tangazeni uwezo wa Mungu, ambaye fahari yake iko juu ya Israeli, ambaye uwezo wake uko katika anga.
to give: give strength to/for God upon Israel pride his and strength his in/on/with cloud
35 Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako, Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu. Mungu Asifiwe!
to fear: revere God from sanctuary your God Israel he/she/it to give: give strength and power to/for people to bless God

< Zaburi 68 >