< Zaburi 49 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Sikieni haya, enyi mataifa yote, sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.
Dunu huluanedafa! Nabima! Fifi asi gala dunu huluane, bagade amola fonobahadi bagade gagui amola hame gagui, dilia huluane nabima!
2 Wakubwa kwa wadogo, matajiri na maskini pamoja:
3 Kinywa changu kitasema maneno ya hekima, usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.
Na asigi dawa: su da osodogonewane ba: mu. Na da bagade dawa: su sia: fawane sia: mu.
4 Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:
Na da malasu amo dawa: mu amola sani baidama dusia amo malasu ea bai olelemu.
5 Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja, wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,
Nama ha lai dunu ilia na eale sisiga: le disibiba: le na se nabimuba: le hame beda: sa.
6 wale wanaotegemea mali zao na kujivunia utajiri wao mwingi?
Nama ha lai da wadela: i hamosu dunu. Ilia da bagade gaguiba: le hahawane gala amola ilia bagade gaguiba: le hidale sia: sa.
7 Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuukomboa uhai wa mwingine, au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.
Osobo bagade dunu da hi esalusu bu bidiga lamu hamedei ba: sa. E da Godema ea esalusu bidi defei imunu da hamedei. Bai osobo bagade dunu ea esalusu bidi defei da baligili bagadedafa. E bogosu mae doaga: ma: ne amola eso huluane fifi ahoanoma: ne, Godema bidi imunu da baligili bagadedafaba: le, imunu hamedeidafa.
8 Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,
9 ili kwamba aishi milele na asione uharibifu.
10 Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa; wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia na kuwaachia wengine mali zao.
Bagade dawa: su dunu da gagaoui dunu defele bogosu dawa: Dunu huluane da amo hou dawa: Ilia huluane defele, ilia gagui amo ilia fa: no fifi manebe ilima ilia nana iaha.
11 Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele, makao yao vizazi vyote; ingawa walikuwa na mashamba na kuyaita kwa majina yao.
Ilia da musa: soge gagui galu. Be wali bogoi uli dogoi da ilia diasu agoai. Amo ganodini ilia da eso huluane dialumu.
12 Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu; anafanana na mnyama aangamiaye.
Dunu ea bagade hou da e hame gaga: mu. E da ohe ea bogosu defele bogomu.
13 Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe, pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.
Dunu amo da ilila: hou dafawaneyale dawa: sa amola ilia bagade gagui amoga sadi agoai ba: sa, ilima doaga: mu hou ba: la misa!
14 Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol h7585)
Ilia da sibi agoane, hobeamu gogoleiba: le, bogosu ba: mu. Fedege agoane, Bogosu da ilia sibi ouligisu dunu agoai ba: mu. Bogosu soge ganodini ilia fifi lasu amoga sedadewane dialea, ilia da: i hodo da dasamu. Amola moloidafa hamosu dunu ilia da amo wadela: i hamosu dunu hasalimu. (Sheol h7585)
15 Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol h7585)
Be Gode da na gaga: mu. Amola bogosu ea gasa amoga E da na gaga: mu. (Sheol h7585)
16 Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka,
Osobo bagade dunu da liligi bagade gagusia, amola bu baligili gagusia, mae mudale da: i dioma.
17 kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.
Bai e da bogosea, e da ea gagui liligi amo hi hame gaguli masunu. Ea gagui liligi amo bogoi uli dogoi amoga gaguli sa: imu da hamedei.
18 Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,
Dunu amolawane da hi esalusu amoga hahawane galea, amola e da bagade gaguiba: le, eno dunu da emanodosa, be e da ea aowalali ilia bogoi ilima gilisimu. Bogosu ganodini, gasi da eso huluane dialalalumu.
19 atajiunga na kizazi cha baba zake, ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.
20 Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu ni kama wanyama waangamiao.
Dunu ea bagade dawa: su amola ea bagade gagui da ea bogosu hame gaga: mu. E da ohe bogobe agoanewane bogomu.

< Zaburi 49 >