< Zaburi 44 >

1 Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametueleza yale uliyotenda katika siku zao, siku za kale.
Al la ĥorestro. Instruo de la Koraĥidoj. Ho Dio, per niaj oreloj ni aŭdis, niaj patroj rakontis al ni, Kion Vi faris en iliaj tagoj, en tempo antikva.
2 Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa na ukawapanda baba zetu, uliangamiza mataifa na kuwastawisha baba zetu.
Vi per Via mano forpelis popolojn, kaj ilin Vi enloĝigis; Popolojn Vi pereigis, kaj ilin Vi vastigis.
3 Sio kwa upanga wao waliipata nchi, wala si mkono wao uliwapatia ushindi; ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume, na nuru ya uso wako, kwa kuwa uliwapenda.
Ĉar ne per sia glavo ili akiris la teron, Kaj ne ilia brako helpis ilin; Sed nur Via dekstra mano kaj Via brako kaj la lumo de Via vizaĝo, Ĉar Vi ilin favoris.
4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu, unayeamuru ushindi kwa Yakobo.
Vi estas mia Reĝo, ho Dio; Disponu helpon al Jakob.
5 Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu; kwa jina lako tunawakanyaga adui zetu.
Per Vi ni disbatos niajn malamikojn; Per Via nomo ni piedpremos niajn kontraŭbatalantojn.
6 Siutumaini upinde wangu, upanga wangu hauniletei ushindi;
Ĉar ne mian pafarkon mi fidas, Mia glavo min ne helpos.
7 bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu, unawaaibisha watesi wetu.
Sed Vi helpas nin kontraŭ niaj malamikoj, Kaj niajn malamantojn Vi kovras per honto.
8 Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa, nasi tutalisifu jina lako milele.
Dion ni gloros ĉiutage, Kaj Vian nomon ni dankos eterne. (Sela)
9 Lakini sasa umetukataa na kutudhili, wala huendi tena na jeshi letu.
Tamen Vi nin forlasis kaj hontigis, Kaj Vi ne eliras kun nia militistaro.
10 Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui, nao watesi wetu wametuteka nyara.
Vi devigas nin forkuri de nia malamiko, Ke niaj malamantoj nin prirabu;
11 Umetuacha tutafunwe kama kondoo na umetutawanya katika mataifa.
Vi fordonas nin por formanĝo, kiel ŝafojn, Kaj inter la popolojn Vi disĵetis nin;
12 Umewauza watu wako kwa fedha kidogo, wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.
Vi vendis Vian popolon por nenio, Kaj prenis por ili nenian prezon;
13 Umetufanya lawama kwa jirani zetu, dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka.
Vi faris nin malestimataĵo por niaj najbaroj, Mokataĵo kaj insultataĵo por niaj ĉirkaŭantoj;
14 Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa, mataifa hutikisa vichwa vyao.
Vi faris nin instrua ekzemplo por la popoloj, Ke la nacioj balancas pri ni la kapon.
15 Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa, na uso wangu umejaa aibu tele,
Ĉiutage mia malhonoro estas antaŭ mi, Kaj honto kovras mian vizaĝon,
16 kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana, kwa sababu ya adui, ambaye anatamani kulipiza kisasi.
Pro la voĉo de mokanto kaj insultanto, Antaŭ la vizaĝo de malamiko kaj venĝanto.
17 Hayo yote yametutokea, ingawa tulikuwa hatujakusahau wala hatujaenda kinyume na agano lako.
Ĉio tio trafis nin, sed ni Vin ne forgesis, Kaj ni ne perfidiĝis al Via interligo.
18 Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma; nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.
Ne retiriĝis nia koro, Kaj niaj paŝoj ne deflankiĝis de Via vojo.
19 Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.
Kiam Vi batis nin sur loko de ŝakaloj Kaj kovris nin per ombro de morto,
20 Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,
Tiam se ni forgesus la nomon de nia Dio Kaj ni etendus niajn manojn al fremda dio:
21 je, Mungu hangaligundua hili, kwa kuwa anazijua siri za moyo?
Ĉu Dio tion ne trovus? Li ja scias la sekretojn de la koro.
22 Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.
Pro Vi ni ja estas mortigataj ĉiutage; Oni rigardas nin kiel ŝafojn por buĉo.
23 Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala? Zinduka! Usitukatae milele.
Leviĝu, kial Vi dormas, mia Sinjoro? Vekiĝu, ne forpuŝu por ĉiam.
24 Kwa nini unauficha uso wako na kusahau taabu na mateso yetu?
Kial Vi kaŝas Vian vizaĝon, Forgesas nian mizeron kaj nian suferon?
25 Tumeshushwa hadi mavumbini, miili yetu imegandamana na ardhi.
Nia animo estas ja ĵetita en la polvon; Nia korpo kliniĝis al la tero.
26 Inuka na utusaidie, utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.
Leviĝu; helpu kaj savu nin pro Via boneco.

< Zaburi 44 >