< Zaburi 44 >

1 Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametueleza yale uliyotenda katika siku zao, siku za kale.
Gode! Di da hemonega, ninia aowalali ilia esalebe eso amoga gasa bagade hou hamoi dagoi. Ninia amo hou ninina: ge amoga nabi dagoi. Amola amo ninia aowalali ilia da ninima alofele olelei.
2 Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa na ukawapanda baba zetu, uliangamiza mataifa na kuwastawisha baba zetu.
Di Disu da Dia hou hame dawa: dunu, amo Ga: ina: ne sogega gadili sefasili, amola Dia fi dunu ilia soge ganodini ha: ini fima: ne hamoi. Di da fifi asi gala eno ilima se bidi i. Be Dia fidafa dunu amo hahawane bagade gaguiwane esaloma: ne hamoi. Amo sia: ninia da nabi dagoi.
3 Sio kwa upanga wao waliipata nchi, wala si mkono wao uliwapatia ushindi; ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume, na nuru ya uso wako, kwa kuwa uliwapenda.
Dia fi dunu ilia gegesu gobihei amoga amola ilila: gasaga hame hasali. Be ilia da Dia gasaga hasali. Di da ilima esalu amola ilima asigisa, amo Di da ilima olelei. Amola ilia amo dawa: beba: le, hasali dagoi.
4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu, unayeamuru ushindi kwa Yakobo.
Di da na Hina Bagade amola na Gode. Di da Dia fidafa dunu ilima hasalasu hou iaha.
5 Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu; kwa jina lako tunawakanyaga adui zetu.
Amola ninia da Dia gasaga ninia ha lai dunu ilima hasalasisa.
6 Siutumaini upinde wangu, upanga wangu hauniletei ushindi;
Na dadi amola na gegesu gobihei da na gaga: mu, amo na dafawaneyale hame dawa: be.
7 bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu, unawaaibisha watesi wetu.
Be Di fawane da ninia ha lai amoga gaga: i dagoi, amola ninima higa: i dunu amo hasali dagoi.
8 Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa, nasi tutalisifu jina lako milele.
Ninia eso huluane mae fisili, Dima nodonanumu.
9 Lakini sasa umetukataa na kutudhili, wala huendi tena na jeshi letu.
Be wali, Dia da nini yolesi dagoi. Amola ninima ha lai amo nini hasalimusa: , logo doasi dagoi. Di da ninia dadi gagui dunu wa: i, ilima wali hame gilisili mogodigisa.
10 Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui, nao watesi wetu wametuteka nyara.
Dia nini hame fidibiba: le, ninia da ninia ha lai amoba: le hobea: i. Amola ilia da ninia gagui liligi iligili gagumusa: lai.
11 Umetuacha tutafunwe kama kondoo na umetutawanya katika mataifa.
Di da nini sibi fane legebe agoane hamoma: ne ninima gua: si. Di da nini ga fi soge amoga esaloma: ne afagogolesi.
12 Umewauza watu wako kwa fedha kidogo, wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.
Dia da Dia fidafa dunu amo bidi fonobahadi adole, amoga bidi lai. Ilia da hamedei liligi, amo Di dawa: bela: ?
13 Umetufanya lawama kwa jirani zetu, dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka.
Ninia fi gadenene fi dunu ilia da Dia ninima hamoi amoba: le niniba: le habosesesa amola oufesega: sa.
14 Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa, mataifa hutikisa vichwa vyao.
Dia hamobeba: le, fifi asi gala dunu huluane da ninima higale ba: sa. Amola ninia da hamedei liligi, ilia dawa: sa. Ilia da ninima higale, dialuma fofoga: sa.
15 Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa, na uso wangu umejaa aibu tele,
Na da eso huluane gogosianana. Na da nama ha lai amola higa: i dunu ilia nama odagia adoleba: le amola lasogole sia: beba: le na baligiliwane gogosiasa.
16 kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana, kwa sababu ya adui, ambaye anatamani kulipiza kisasi.
17 Hayo yote yametutokea, ingawa tulikuwa hatujakusahau wala hatujaenda kinyume na agano lako.
Amo hou huluane da ninima doaga: i dagoi. Be ninia da Di hame gogolei. Ninia da sema gousa: su amo Di ninima hamoi, amo hamedafa fi.
18 Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma; nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.
Ninia Dima fa: no bobogebe hame yolesi. Ninia da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamonanu.
19 Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.
Be Di da fedege agoane nini sigua ohe amoga gasomoma: ne udigili yolesi. Di da gasidafa amo ganodini esaloma: ne nini yolesi dagoi.
20 Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,
Ninia da ninia Godema nodone sia: ne gadosu amo yolesi ganiaba amola ga fi ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadoloba,
21 je, Mungu hangaligundua hili, kwa kuwa anazijua siri za moyo?
Di da amo dafawane ba: la: loba. Bai Di da ninia muguniai asigi dawa: su huluane dawa: Be ninia da Di hame yolesi.
22 Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.
Be ninia Dima fa: no bobogebeba: le, eso huluane bogosu ba: lala. Ninima ha lai dunu da dunu amo da sibi medole legelala amo defele nini medole legelala.
23 Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala? Zinduka! Usitukatae milele.
Hina Gode! Di nedigima! Dia abuliba: le golai dianabela: ? Disu wa: legadoma! Ninima higa: iba: le, eso huluane nini mae yolesima!
24 Kwa nini unauficha uso wako na kusahau taabu na mateso yetu?
Dia abuliba: le ninima wamoaligi dianabela: ? Ninia se nabasu amola bidi hamosu amo mae gogolema!
25 Tumeshushwa hadi mavumbini, miili yetu imegandamana na ardhi.
Ninia da osoboga gala: la daha. Ninia enoga hasali dagoiba: le, osobo gulu da: iya diafula.
26 Inuka na utusaidie, utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.
Nini fidila misa! Nini gaga: ma! Bai Di da mae fisili, asigidafa hou gala.

< Zaburi 44 >