< Zaburi 23 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
IEOWA jile pa i, i jota pan anane meakot.
2 Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
A kotin kamana ia nan moj kajelel o kalua ia won ni pil lamelamur.
3 hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
A kotin kamanada nen i, a kalua ia pon al pun pweki mar a.
4 Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
I lao weid nan mot en mela, i jota pan majak me jued kot, pwe kom kotin ieian ia, omui irar o lepin jaipali kamait ia la.
5 Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
Kom kotin kaonop dan ia tepel eu jalon ai imwintiti kan. Kom kotin keiekidi mon ai le, o ai dal kin wudewudok.
6 Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Pai o kalanan pan idauen ia arain ai maur, o i pan mimieta nan tanpaj en leowa kokolata.

< Zaburi 23 >