< Zaburi 21 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, mfalme huzifurahia nguvu zako. Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake kwa ushindi unaompa!
Al la ĥorestro. Psalmo de David. Ho Eternulo, pro Via forto ĝojas la reĝo, Kaj pro Via helpo kiel forte li triumfas!
2 Umempa haja ya moyo wake na hukumzuilia maombi ya midomo yake.
Kion lia koro deziris, tion Vi donis al li; Kaj la peton de lia buŝo Vi ne rifuzis. (Sela)
3 Ulimkaribisha kwa baraka tele na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.
Vi antaŭvenas al li kun beno de bono; Vi metis sur lian kapon kronon el pura oro.
4 Alikuomba maisha, nawe ukampa, wingi wa siku milele na milele.
Vivon li petis de Vi; Kaj Vi donis al li longan vivon por ĉiam kaj eterne.
5 Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa, umeweka juu yake fahari na utukufu.
Granda estas lia honoro pro Via helpo; Gloron kaj majeston Vi metis sur lin.
6 Hakika umempa baraka za milele, umemfanya awe na furaha kwa shangwe ya uwepo wako.
Vi donas al li eternajn benojn; Vi gajigas lin per ĝojo antaŭ Via vizaĝo.
7 Kwa kuwa mfalme anamtumaini Bwana; kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.
Ĉar la reĝo fidas la Eternulon, Kaj pro favoro de la Plejaltulo li ne falos.
8 Mkono wako utawashika adui zako wote, mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.
Trovos Via mano ĉiujn Viajn malamikojn, Via dekstra trovos Viajn malamantojn.
9 Wakati utakapojitokeza utawafanya kama tanuru ya moto. Katika ghadhabu yake Bwana atawameza, moto wake utawateketeza.
Vi similigos ilin al brulanta forno, kiam Vi koleros; La Eternulo englutos ilin per Sia kolero, Kaj fajro ilin formanĝos.
10 Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani, uzao wao kutoka wanadamu.
Ilian naskitaron Vi ekstermos de sur la tero, Kaj ilian semon el inter la homidoj.
11 Ingawa watapanga mabaya dhidi yako na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,
Ĉar ili preparis malbonon por Vi, Pripensis atencon, sed ne povis ĝin plenumi.
12 kwa kuwa utawafanya wakimbie utakapowalenga usoni pao kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.
Vi devigos ilin turni al Vi la dorson, Viajn tendenojn Vi direktos kontraŭ iliajn vizaĝojn.
13 Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako, tutaimba na kusifu nguvu zako.
Leviĝu, ho Eternulo, en Via forto; Ni kantos kaj gloros Vian potencon.

< Zaburi 21 >