< Zaburi 149 >

1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
Alleluya. Synge ye to the Lord a newe song; hise heriyng be in the chirche of seyntis.
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Israel be glad in hym that made hym; and the douytris of Syon make ful out ioye in her king.
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
Herie thei his name in a queer; seie thei salm to hym in a tympan, and sautre.
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
For the Lord is wel plesid in his puple; and he hath reisid mylde men in to heelthe.
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
Seyntis schulen make ful out ioye in glorie; thei schulen be glad in her beddis.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
The ful out ioiyngis of God in the throte of hem; and swerdis scharp on `ech side in the hondis of hem.
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
To do veniaunce in naciouns; blamyngis in puplis.
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
To bynde the kyngis of hem in stockis; and the noble men of hem in yrun manaclis.
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
That thei make in hem doom writun; this is glorye to alle hise seyntis.

< Zaburi 149 >