< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Ein song til høgtidsferderne. Or djupet ropar eg på deg, Herre!
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Herre, høyr på mi røyst, lat dine øyro merka mi bønerøyst!
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Dersom du, Herre, vil gøyma på misgjerningar, Herre, kven kann då standa?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
For hjå deg er forlatingi, at dei skal ottast deg.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Eg vonar på Herren, mi sjæl vonar, og eg ventar på hans ord.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Mi sjæl ventar på Herren meir enn vaktmenner på morgonen, vaktmenner på morgonen.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Venta, Israel, på Herren! for hjå Herren er nåden, og stor utløysing er hjå honom.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Og han skal løysa Israel frå alle deira misgjerningar.