< Zaburi 128 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
En vallfartssång. Säll är envar som fruktar HERREN och vandrar på hans vägar.
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Ja, av dina händers arbete får du njuta frukten; säll är du, och väl dig!
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
Lik ett fruktsamt vinträd varder din hustru, därinne i ditt hus, lika olivtelningar dina barn, omkring ditt bord.
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Ty se, så varder den man välsignad, som fruktar HERREN.
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
HERREN välsigne dig från Sion; må du få se Jerusalems välgång i alla dina livsdagar,
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
och må du få se barn av dina barn. Frid över Israel!

< Zaburi 128 >