< Zaburi 128 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
Canticum graduum. Beati omnes, qui timent Dominum, qui ambulant in viis eius.
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Labores manuum tuarum quia manducabis: beatus es, et bene tibi erit.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
Uxor tua sicut vitis abundans, in lateribus domus tuæ. Filii tui sicut novellæ olivarum, in circuitu mensæ tuæ.
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Ecce sic benedicetur homo, qui timet Dominum.
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
Benedicat tibi Dominus ex Sion: et videas bona Ierusalem omnibus diebus vitæ tuæ.
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
Et videas filios filiorum tuorum, pacem super Israel.

< Zaburi 128 >