< Zaburi 128 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
京まうでの歌 ヱホバをおそれその道をあゆむものは皆さいはひなり
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
そはなんぢおのが手の勤労をくらふべければなり なんぢは福祉をえまた安處にをるべし
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
なんぢの妻はいへの奥にをりておほくの實をむすぶ葡萄の樹のごとく汝の子輩はなんぢの筵に円居してかんらんの若樹のごとし
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
見よヱホバをおそるる者はかく福祉をえん
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
ヱホバはシオンより恵をなんぢに賜はん なんぢ世にあらんかぎりヱルサレムの福祉をみん
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
なんぢおのが子輩の子をみるべし 平安はイスラエルの上にあり